Tuisusie bank ya CRDB?

OgwaluMapesa

JF-Expert Member
May 24, 2008
10,942
428
Jana katika uzinduzi wa kampeni za NCCR-mageuzi imethibitisha bank mojawapo kujihusisha na siasa za kawe hii inatokana na Mkurugenzi wake kuwa na maslahi katika jimbo hilo na wanatumia branch ya Mbezi kufanya uhuni huo.

Bila kuitaja jina la bank hiyo utafiti wangu umegundua bank zenye matawi mbezi ni CRDB na NBC. Wakurugenzi wenye maslahi na Kawe ni CRDB (Kimei anakaa mbezi) na NBC (Mafuru na anakaa Bunju). Ila tofauti ya wakurugenzi hawa wawili ni kuwa huyu wa CRDB yeye anajihusisha na Siasa za chama tawala, ambayo inapelekea matokeo ya utafiti ku conclude CRDB ndio bank inayotumiwa.

Je tuisusie bank hii au wanaisa tuungane kushinikiza Kimei atoke?
 
Teh teh ngoja nicheke,

Watanzania tungekuwa twaenda na ku record mambo ni hili amabalo ntawakumbusha wakati JK anafungua branch mmoja huko wilaya moja huko Mkoani Kilimanjaro na JK kwa maneno yake niliyo yasikia kupitia TBC1 taarifa ya habari ya saaa mbili kuwa CRDB na CCM ni damu damu,

Jamani kwa mtu kama JK ambae ni rais wa nchi ajue kuna wakati siasa ni siasa na wkati wa utekerezaji wa ziara za serikali iwe ni za serikali na siasa inatakiwa iwekando jamani, mjue CRDB ni bank ya wananchi(wasiokuwa na itikadi za kichama na wenye itikadi zao)sasa sielewi kanini kiongozi mkuu wa nchi anachomekea siasa hapo??ila zamani ilikuwa imeanzishwa kwa ajiri ya maendeleo vijiji sasa mwaiingiza kwa siasa this mean ni udictetor uliowazi kabisa, kwa hio si shangai kwa yaliyotokea kwenye mkutano wa NCCR.

Kumbukeni kwa nini hii inatokea kama mnakumbua kipindi cha kuanza kufichua uozo wa ufisadi CRDB ndio bank iliyo julikana kwa kufanya transaction za ajabu kutoka bank na kwena mahali with cash money na mambo mengi. leo hii sitoshangaaa mtu akiseam CRDB imeikopesha CCM mkopo wa ku run campaign kwani huku kuweka mambo hadharaini ndio chanzo chakuonekana haya. sasa sijui ni siasa au ni kuwarubuni na kuwaraghai watanzania kwa manufaa ya viongozi wachache??
 
Back
Top Bottom