Tuirse: Wengi wanapitia hii hali kimya kimya

Tuirse: Wengi wanapitia hii hali kimya kimya

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,515
Reaction score
830,013
Ni aina fulani ya uchovu wa kina wa nafsi-aina ya uchovu wa kihisia au kiroho ambao unaweza kutoka kwa maumivu ya moyo, kutendwa, huzuni, au kuchoshwa tu na maisha, ... Bila kupata faraja ama kwa sababu ya kubeba mzigo huo mzito kwa muda mrefu sana.

Introverts wengi kwa kukosa ujasiri wa kutafuta msaada hupitia hii hali na huwa na madhara makubwa kiroho na kimwili
Muda huu ninapoandika kuna watu wako
Nyumbani
Kazini
Safarini
Bar

JF wanapitia hii changamoto.. Na inawatafuna taratibu bila suluhu.. Matokeo yake hali hii ikizidi bila tiba unaweza kuwakuta wamejidhuru ama wamewadhuru wengine
JF tunao hawa watu.. Yani kuponya maumivu yao wao ni Ku comment shit kwenye mada za wengine ama kutafuta ugomvi usio na sababu
 
Ni aina fulani ya uchovu wa kina wa nafsi-aina ya uchovu wa kihisia au kiroho ambao unaweza kutoka kwa maumivu ya moyo, kutendwa, huzuni, au kuchoshwa tu na maisha, ... Bila kupata faraja ama kwa sababu ya kubeba mzigo huo mzito kwa muda mrefu sana.
Introverts wengi kwa kukosa ujasiri wa kutafuta msaada hupitia hii hali na huwa na madhara makubwa kiroho na kimwili
Muda huu ninapoandika kuna watu wako
Nyumbani
Kazini
Safarini
Bar
JF wanapitia hii changamoto.. Na inawatafuna taratibu bila suluhu.. Matokeo yake hali hii ikizidi bila tiba unaweza kuwakuta wamejidhuru ama wamewadhuru wengine
JF tunao hawa watu.. Yani kuponya maumivu yao wao ni Ku comment shit kwenye mada za wengine ama kutafuta ugomvi usio na sababu
Aah Sasa tuwasaidiaje? Lukas Mwashambwa anakosa kweli!
 
Ni aina fulani ya uchovu wa kina wa nafsi-aina ya uchovu wa kihisia au kiroho ambao unaweza kutoka kwa maumivu ya moyo, kutendwa, huzuni, au kuchoshwa tu na maisha, ... Bila kupata faraja ama kwa sababu ya kubeba mzigo huo mzito kwa muda mrefu sana.

Introverts wengi kwa kukosa ujasiri wa kutafuta msaada hupitia hii hali na huwa na madhara makubwa kiroho na kimwili
Muda huu ninapoandika kuna watu wako
Nyumbani
Kazini
Safarini
Bar

JF wanapitia hii changamoto.. Na inawatafuna taratibu bila suluhu.. Matokeo yake hali hii ikizidi bila tiba unaweza kuwakuta wamejidhuru ama wamewadhuru wengine
JF tunao hawa watu.. Yani kuponya maumivu yao wao ni Ku comment shit kwenye mada za wengine ama kutafuta ugomvi usio na sababu
Yaani kama vile unanielezea mimi.

Hapa nimejifungia ndani tu hata kazini sijaenda.

Ila hapo kwenye kujidhuru ndo siwezi maana nina roho ngumu sana. Lakini pia kuanzisha magomvi na vurugu si jadi yangu. But I see myself slowly dying inside.
 
Ni aina fulani ya uchovu wa kina wa nafsi-aina ya uchovu wa kihisia au kiroho ambao unaweza kutoka kwa maumivu ya moyo, kutendwa, huzuni, au kuchoshwa tu na maisha, ... Bila kupata faraja ama kwa sababu ya kubeba mzigo huo mzito kwa muda mrefu sana.

Introverts wengi kwa kukosa ujasiri wa kutafuta msaada hupitia hii hali na huwa na madhara makubwa kiroho na kimwili
Muda huu ninapoandika kuna watu wako
Nyumbani
Kazini
Safarini
Bar
JF wanapitia hii changamoto.. Na inawatafuna taratibu bila suluhu.. Matokeo yake hali hii ikizidi bila tiba unaweza kuwakuta wamejidhuru ama wamewadhuru wengine

JF tunao hawa watu.. Yani kuponya maumivu yao wao ni Ku comment shit kwenye mada za wengine ama kutafuta ugomvi usio na sababu
 
Yaani kama vile unanielezea mimi.

Hapa nimejifungia ndani tu hata kazini sijaenda.

Ila hapo kwenye kujidhuru ndo siwezi maana nina roho ngumu sana. Lakini pia kuanzishwa magomvi na vurugu si jadi yangu. But I see myself slowly dying inside.
1751442326864.jpg
pole sana
 
Ni aina fulani ya uchovu wa kina wa nafsi-aina ya uchovu wa kihisia au kiroho ambao unaweza kutoka kwa maumivu ya moyo, kutendwa, huzuni, au kuchoshwa tu na maisha, ... Bila kupata faraja ama kwa sababu ya kubeba mzigo huo mzito kwa muda mrefu sana.

Introverts wengi kwa kukosa ujasiri wa kutafuta msaada hupitia hii hali na huwa na madhara makubwa kiroho na kimwili
Muda huu ninapoandika kuna watu wako
Nyumbani
Kazini
Safarini
Bar

JF wanapitia hii changamoto.. Na inawatafuna taratibu bila suluhu.. Matokeo yake hali hii ikizidi bila tiba unaweza kuwakuta wamejidhuru ama wamewadhuru wengine
JF tunao hawa watu.. Yani kuponya maumivu yao wao ni Ku comment shit kwenye mada za wengine ama kutafuta ugomvi usio na sababu
Tena Kwa uzuriii TU.
Waisome,
MamaSamia2025
Lucha
Mtoto wa Shule
 
Ni aina fulani ya uchovu wa kina wa nafsi-aina ya uchovu wa kihisia au kiroho ambao unaweza kutoka kwa maumivu ya moyo, kutendwa, huzuni, au kuchoshwa tu na maisha, ... Bila kupata faraja ama kwa sababu ya kubeba mzigo huo mzito kwa muda mrefu sana.

Introverts wengi kwa kukosa ujasiri wa kutafuta msaada hupitia hii hali na huwa na madhara makubwa kiroho na kimwili
Muda huu ninapoandika kuna watu wako
Nyumbani
Kazini
Safarini
Bar

JF wanapitia hii changamoto.. Na inawatafuna taratibu bila suluhu.. Matokeo yake hali hii ikizidi bila tiba unaweza kuwakuta wamejidhuru ama wamewadhuru wengine
JF tunao hawa watu.. Yani kuponya maumivu yao wao ni Ku comment shit kwenye mada za wengine ama kutafuta ugomvi usio na sababu
Wapo wengi sana. Je hawa ndio wale wanaitwa Narsistic personality?
 
Tetesi zinasema Kylie Page amefariki kutokana na hizo mambo za kujichoka na uhafifu wa afya ya akili.
Wewe unadhani kutoa Sex movies zaidi ya 200 ni mchezo? Wale watu wakiwa nje wanajionesha wana furaha( Fake facial expressions) lakini wanatembea na maumivu. Wako sawa na machawa.

Drug abuse and drug overdose
 
Back
Top Bottom