Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 27,542
- 34,871
Rwanda na Burundi migogoro yao ilikuwa ya ndani ilihali Drc Mashariki migogoro yao ilichangiwa sana na nchi jirani (Rwanda na Uganda) hivyo itakuwa rahisi wao kupunguza mivutano huko Kivu.Rwanda na Burundi wako ndani ya Jumuiya ya Afrika Mashariki lakini migogoro yao imetushinda Tanzania, Kenya na Uganda mpaka leo. Imetuletea gharama kubwa na upotezaji mwingi wa muda na rasilimali, unadhani Kongo ambayo ni nchi kubwa ndiyo tutaiweza ?