Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
Ujamaa ni umasikini na udikteta.Katika kitu ambacho natamani sana ni kuiona Afrika imekuwa nchi moja na kufuata siasa ya ujamaa na kujitegemea hapo ndo itakuwa mwisho wa New world oder plans na tutaizika rasmi. Ingawa naona 2037 inakuja kwa kasi kuliko kasi yetu ya kuziunganisha nchi hizi za Africa. Nitakuwa wa kwanza kwenda kuuzingira mlima Kilimanjaro tuombeane uzima tu. VIVA NYERERE (Mungu akupumzishe kwa amani)
MAGUFULI4LIFE.
Afrika tuachane na ujamaa tukumbatie ubepari.
Ndio suluhu ya matatizo yetu.