Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
Kwa Kinachoendelea sasa Taifa linapita wakati mgumu na busara isipotumika nadhani tutasambalatika.Kuna uadui na chuki zisizo kifani na chanzo ni huyu ndugu yangu na wanaomtuma. Atokee mmoja tu mwenye Hekima amwambie Msiba tumechoka sana na tunahitaji kujikomboa na anachokiamini na kukitumikia...
Siyo upuuzi tu,ni utaahira.mkikaa kwenye vikao vyenu vya ndani mkumbushane kuwa huu mnaofanya ni upuuzi.
Jamaa tabia zake kama nyati unawajua nyatiHivi mliosoma na Musiba alikua anatabia gan shuleni jaman .au alilelewa kimaskin sana jamani
Mkuu, sipendi sana mambo ya UKABILA but kuna wakati hua nashindwa kujizuia; Huo mstari wako wa mwisho kuhusu watoto wa msiba; nimekaa na kufanya kazi na makabila tofauti tofauti, ukweli wajaluo na hilo kabila la msiba wengi wao ni wanafiki, wafitini, wachonganishi na wana roho mbaya sana hata kuua. So hata watoto wake nao watakua hivyo hivyo tu.Pole sana hata kwa maelezo mafupi haya yanatosha sana najua wapo masikio wazi na macho kodo kujua utaandika nini ili wajipange tena.
Hakuna kitu cha ajabu kama kutafuta attention kwa watu wakujue mimi sikuwahi kumjua mtu huyo kabla.
Nadhani hata watoto wake wakikukua watajua baba yao uzee wake kaumaliza kwa njaa mbaya sana..
Kwa watanzania: Watu kama ndugu huyu wapo, tuzikatae kazi zao na wanaowatuma kwa nguvu zote; tusikubali kuletewa migawanyo inayokwepeka. Tuwakemee pale tunapoweza lakini tukibaini kuwa wana nguvu ya ziada, tumwombe Mungu akatende muujiza wake!
Once again, asanteni sana na Mungu asimame nasi katika kuijenga nchi yetu, Tanzania.
Jamaa tabia zake kama nyati unawajua nyati
Huyu anajiita mwanaharakati huru amabaye anaruhusiwa kuongea lolote na kundika choche anachotaka. yeye mzalendo wa kweli na mweye akili kuliko wengine ''in other words he is above the laws, to write and speak ill of others ''Pole sana Max. Kinachonishangaza ni huyu Musiba kuachwa anaropoka ropoka hovyo kwa kuwatuhumu watu huku yeye wala hahojiwi.
Polisi walitakiwa wamuhoji huyo Musiba na ikiwezekana gazeti lake lifungiwe kabisa. Huwa anatuhumu watu bila ushahidi kabisa na anaachwa tu.
Musiba ni nani nchi hii ?
Pole sanaNdugu wana JF na watanzania kwa ujumla,
Nachukua fursa hii kuwashukuru wote mlioguswa kusikia nimeitwa na Jeshi la Polisi kwa mahojiano baada ya magazeti mawili leo kunihusisha na linalodaiwa kuwa ‘Genge la Watu wanaopanga mikakati ya kumuua Cyprian Musiba”.
Genge hili lilihusisha wanasiasa, taasisi za serikali, watu binafsi (nikiwemo mimi) na hadi viongozi wa Taasisi za Serikali.
Si mara ya kwanza magazeti haya kufanya hivi kwangu na kwa watu wengi (ingawa kwangu imekuwa ikirudiwa kwa angle tofauti tofauti).
Naam, niliitwa saa 3 asubuhi (ingawa habari yenyewe ilitoka siku hiyo hiyo) na nikaambiwa nijitahidi niwe nimefika kabla ya saa 5; nikajitahidi kuitikia wito na kufika mnamo saa 4 na dk 30 asubuhi pale Makao Makuu ya Jeshi la Polisi.
Nikiri, jopo la wachunguzi wa Jeshi la Polisi walioshiriki kwenye mahojiano nami walionyesha weledi katika kazi yao na hivyo kupelekea mimi na mwanasheria wangu kutoa maelezo yaliyohitajika katika sakata hili.
Nilihoji maswali ya msingi juu ya tuhuma ambazo zimekuwa zikitolewa na bwana huyu na nikahoji kinachopelekea mara zote vyombo vya dola kumwacha aendelee kuumiza watu. Aidha, nikiri pia kuwa maswali yote niliyouliza yalijibiwa kwa staha na undani wa mahojiano yetu nachelea kuuweka bayana kwani naweza kuvuruga uchunguzi.
Niseme: Nawashukuruni nyote mlioguswa na kunitafuta kwa njia mbalimbali kunitia moyo au kutaka kujua mnaweza kusaidiaje. Wengine mlijitoa kuwa tayari kwa dhamana kama ingehitajika, kitendo kilichonifariji kuwa watu wanaelewa tunasimamia nini na kwanini tunaendelea kukisimamia.
Kwa watanzania: Watu kama ndugu huyu wapo, tuzikatae kazi zao na wanaowatuma kwa nguvu zote; tusikubali kuletewa migawanyo inayokwepeka. Tuwakemee pale tunapoweza lakini tukibaini kuwa wana nguvu ya ziada, tumwombe Mungu akatende muujiza wake!
Once again, asanteni sana na Mungu asimame nasi katika kuijenga nchi yetu, Tanzania.
Maxence
Hata wewe mpiga pambio unajuwa kabisa huu ni uonevuPole kwa yaliyotokea.
Mkuu Wajaluo hasa wa Kenya ni hatari mno..ila naomba unisaidie kabila la MusibaMkuu, sipendi sana mambo ya UKABILA but kuna wakati hua nashindwa kujizuia; Huo mstari wako wa mwisho kuhusu watoto wa msiba; nimekaa na kufanya kazi na makabila tofauti tofauti, ukweli wajaluo na hilo kabila la msiba wengi wao ni wanafiki, wafitini, wachonganishi na wana roho mbaya sana hata kuua. So hata watoto wake nao watakua hivyo hivyo tu.
Nilihoji maswali ya msingi juu ya tuhuma ambazo zimekuwa zikitolewa na bwana huyu na nikahoji kinachopelekea mara zote vyombo vya dola kumwacha aendelee kuumiza watu. Aidha, nikiri pia kuwa maswali yote niliyouliza yalijibiwa kwa staha na undani wa mahojiano yetu nachelea kuuweka bayana kwani naweza kuvuruga uchunguzi.
Maxence
Ahsante na pole sana kwa usumbufu ulioupata.Mwishoa wa siku ushindi utapatikana kwa sababu siku zote yupo mmoja tu anayeamua kwa haki.Mtegemee yeye.Hili tukio linashangaza sana
Kwa Kinachoendelea sasa Taifa linapita wakati mgumu na busara isipotumika nadhani tutasambalatika.Kuna uadui na chuki zisizo kifani na chanzo ni huyu ndugu yangu na wanaomtuma. Atokee mmoja tu mwenye Hekima amwambie Msiba tumechoka sana na tunahitaji kujikomboa na anachokiamini na kukitumikia...
Pole Max,Ndugu wana JF na watanzania kwa ujumla,
Nachukua fursa hii kuwashukuru wote mlioguswa kusikia nimeitwa na Jeshi la Polisi kwa mahojiano baada ya magazeti mawili leo kunihusisha na linalodaiwa kuwa ‘Genge la Watu wanaopanga mikakati ya kumuua Cyprian Musiba”.
Genge hili lilihusisha wanasiasa, taasisi za serikali, watu binafsi (nikiwemo mimi) na hadi viongozi wa Taasisi za Serikali.
Si mara ya kwanza magazeti haya kufanya hivi kwangu na kwa watu wengi (ingawa kwangu imekuwa ikirudiwa kwa angle tofauti tofauti).
Naam, niliitwa saa 3 asubuhi (ingawa habari yenyewe ilitoka siku hiyo hiyo) na nikaambiwa nijitahidi niwe nimefika kabla ya saa 5; nikajitahidi kuitikia wito na kufika mnamo saa 4 na dk 30 asubuhi pale Makao Makuu ya Jeshi la Polisi.
Nikiri, jopo la wachunguzi wa Jeshi la Polisi walioshiriki kwenye mahojiano nami walionyesha weledi katika kazi yao na hivyo kupelekea mimi na mwanasheria wangu kutoa maelezo yaliyohitajika katika sakata hili.
Nilihoji maswali ya msingi juu ya tuhuma ambazo zimekuwa zikitolewa na bwana huyu na nikahoji kinachopelekea mara zote vyombo vya dola kumwacha aendelee kuumiza watu. Aidha, nikiri pia kuwa maswali yote niliyouliza yalijibiwa kwa staha na undani wa mahojiano yetu nachelea kuuweka bayana kwani naweza kuvuruga uchunguzi.
Niseme: Nawashukuruni nyote mlioguswa na kunitafuta kwa njia mbalimbali kunitia moyo au kutaka kujua mnaweza kusaidiaje. Wengine mlijitoa kuwa tayari kwa dhamana kama ingehitajika, kitendo kilichonifariji kuwa watu wanaelewa tunasimamia nini na kwanini tunaendelea kukisimamia.
Kwa watanzania: Watu kama ndugu huyu wapo, tuzikatae kazi zao na wanaowatuma kwa nguvu zote; tusikubali kuletewa migawanyo inayokwepeka. Tuwakemee pale tunapoweza lakini tukibaini kuwa wana nguvu ya ziada, tumwombe Mungu akatende muujiza wake!
Once again, asanteni sana na Mungu asimame nasi katika kuijenga nchi yetu, Tanzania.
Maxence
Hongera sana kwa ujasirri. Nadhani ni Mungu tu ndie Atalitegemeza taifa letu na kuliweka imara ktk mapito haya. Tuombe sana kwani tunapita katika kipindi kigumu mno