Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
Kwa Kinachoendelea sasa Taifa linapita wakati mgumu na busara isipotumika nadhani tutasambalatika.Kuna uadui na chuki zisizo kifani na chanzo ni huyu ndugu yangu na wanaomtuma. Atokee mmoja tu mwenye Hekima amwambie Msiba tumechoka sana na tunahitaji kujikomboa na anachokiamini na kukitumikia...
Haina haja ya kumwambia..yulr anamalizwa km alivyomalizwa Azory..shenzy kbs..