angakwaanga
Member
- Mar 14, 2015
- 34
- 3
1. Kwanini umeajiri watu wasio walimu kwa sifa zao. Mfano Godwin Monyo (ndugu wa Msajili wa vyama vya wafanyakazi) tena bila kufanyiwa usaili na bila tangazo katika gazetini / tovuti ya CWT.
2. Unazungumziaje madeni yako ya mashine za "Power tila" uliyolipa kwa kutumia pesa za chama ulipokaimu nafasi ya Katibu Mkuu?
2. Unazungumziaje madeni yako ya mashine za "Power tila" uliyolipa kwa kutumia pesa za chama ulipokaimu nafasi ya Katibu Mkuu?