fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,416
- 7,969
Kwa sasa ni muhimu tuhalalishe biashara ya ngono, ambapo itafanyika kwa mujibu wa sheria na itawekewa kanuni na miongozo makini kuhusu afya, usalama, kodi na usimamizi.
Hii itaingizia nchi kipato kikubwa kupitia kodi na hata watalii wataongezeka.
Hii itaingizia nchi kipato kikubwa kupitia kodi na hata watalii wataongezeka.