Nomadiq
JF-Expert Member
- Jan 5, 2025
- 7,924
- 20,912
Ni kukosa pesa tu mwanangu
haha sawa bwashee siongezi neno!Ni kukosa pesa tu mwanangu
haha sawa bwashee siongezi neno!Kula bia masta nakuja lipa
Mno mwamba wanywa pombe tuna upendo wakuingia mbinguni halafu digidigi wengine ndio watafuata, gademiiit.haha sawa bwashee siongezi neno!
haha ni kweli gademiitMno mwamba wanywa pombe tuna upendo wakuingia mbinguni halafu digidigi wengine ndio watafuata, gademiiit.

Nisikunyime sifa zako mtani ,wewe ni kati ya walionivutia kujiunga JamiiForums, hatuwezi kuizungumzia jf bila kukutaja wewe bro👏😀😀😀🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Dr hyperkid kuichukia pombe bila sababu za msingi🤔mangwajima wasisahaulike
walevi wanachafua mazingira nduguDr hyperkid kuichukia pombe bila sababu za msingi🤔
Kaka leo nakunywa 200 usd peke yangu nachafua vipi zaidi ya kuchangia uchumi wa dunia🤔🤔🤔🤔🤔walevi wanachafua mazingira ndugu
Nauza nini 😒Kitengo cha BIASHARA Evelyn Salt
Mkuu leo nimepata 25k tu dah! Una session ya YAKUZ YAVUZ lini nijoinKitengo cha BIASHARA Evelyn Salt
SaltNauza nini
Ongea na secretary hapo Evelyn salt 😂😂😂😂🙌🙌🙌Mkuu leo nimepata 25k tu dah! Una session ya YAKUZ YAVUZ lini nijoin
😀
😅😅 Poor Brain akipigwa aje aseme wanajeshi ni wakorofiNauza nini 😒