Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,467
- 65,789
Nakuonaga tu upo kibish zaidKwa nini bwashee?
Nakuonaga tu upo kibish zaidKwa nini bwashee?
Kumbe? Ngoja nibadilike aseeNakuonaga tu upo kibish zaid
Ni mchakato wa mda mrefu kubadilikaKumbe? Ngoja nibadilike asee
Ila sioni kama kubisha ni vibayaNi mchakato wa mda mrefu kubadilika
Wala sio vibaya ata mm huwa nabisha piaIla sioni kama kubisha ni vibaya
Mimi ni humu tu live ni mkimya sana , kwa mtu nisie mjua kiundan😅Wala sio vibaya ata mm huwa nabisha pia
Iyo ni kweli kumzoea mtu ngumu sana nashaaga watu kwenye bus mtu umemkuta kwenye siti lakin wanaongea kama washawai kutanaMimi ni humu tu live ni mkimya sana , kwa mtu nisie mjua kiundan😅
Kuna mmoja kazi yake kuandika "naunga mkono hoja"!🫸🫷😝😝😝😝
Hiyo kwangu mpaka nilewe marafiki zangu wanapenda nilewe mda wote , wanaona nakua mchangamfu na rafiki zaidi😅Iyo ni kweli kumzoea mtu ngumu sana nashaaga watu kwenye bus mtu umemkuta kwenye siti lakin wanaongea kama washawai kutana
Sasa mm pombe situmii nakua kimyaa tu nakushangaaHiyo kwangu mpaka nilewe marafiki zangu wanapenda nilewe mda wote , wanaona nakua mchangamfu na rafiki zaidi😅
Kuna ukimya halafu kuna ukimya wa dharauSasa mm pombe situmii nakua kimyaa tu nakushangaa
Aahahah sasa hapo utaamua wewe kutafsiri ila sinaga dharau ila watu wana nielezea ivyo kwa watyKuna ukimya halafu kuna ukimya wa dharau
Watu ndio wapo sahihi wewe hauwezi jijuaAahahah sasa hapo utaamua wewe kutafsiri ila sinaga dharau ila watu wana nielezea ivyo kwa waty
Kwahy na wewe unaungana nao?Watu ndio wapo sahihi wewe hauwezi jijua
Ndio uhalisia wa mambo , watakua wanakuona mtoto wa kishua na ni snitch 😅Kwahy na wewe unaungana nao?
Hapana sasa mfano juzi mtu ana jisifia kisa kaunda suti nikamuangalia nikamwambia sasa izo kaunda suti unanitia nazo mimi? Wengine tushaziunguzaga na pasi makusudi 😂😂😂 kaenda nitangaza kwa watu na dharau sana ananitafutia angle 😂😂Ndio uhalisia wa mambo , watakua wanakuona mtoto wa kishua na ni snitch 😅
Mbona kaunda suti tamu tu bwasheeHapana sasa mfano juzi mtu ana jisifia kisa kaunda suti nikamuangalia nikamwambia sasa izo kaunda suti unanitia nazo mimi? Wengine tushaziunguzaga na pasi makusudi 😂😂😂 kaenda nitangaza kwa watu na dharau sana ananitafutia angle 😂😂
Kweli tamu na nzuri ila sasa yeye kuvaa ivyo anajiona usalama yaan mtu fulani mkubwaaaMbona kaunda suti tamu tu bwashee
Hata wewe umekosea- kitengo cha uchawa apewe nani sasa?Paschal mayala muondoe hapo
Abaki kuwa mpenzi msomaji tu.
Weka wa ufukweni
Kitengo cha dini Meneja Wa Makampuni