Nikukosa kazi za kufanya bwashee 😅😅Ahahah sawa kitengo cha comment tunakuachia wewe kaka kila uzi upo 😂
Hahaha,Mimi nafaa kitengo cha kusilimisha
Transmission requestingKwa SOS sawa
Sijawai ingia nikakukosa online 😂Nikukosa kazi za kufanya bwashee 😅😅
Angalia usije ukaokokeshwa kobaziMimi nafaa kitengo cha kusilimisha
My sweet wangu FaizaFoxy mnampa kitengo gani? Asipopewa mimi sitaingia humu abadanTugawe vitengo JF ili tuendelee kuifurahi.Mimi naanza:
1. Kitengo Cha habari: Pascal Mayalla
2. Kitengo Cha 'code'- Britannica
3. Kitengo cha nidhamu- mods
4. Kitengo Cha siasa-
5.
6.
7.
8.
9
10.Kitengo Cha usomaji - wengine wote
Kama haupo kwenye kitengo maalumu basi kuwa msomaji tu
Kitengo cha praise and worship apewe lukaTugawe vitengo JF ili tuendelee kuifurahi.Mimi naanza:
1. Kitengo Cha habari: Pascal Mayalla
2. Kitengo Cha 'code'- Britannica
3. Kitengo cha nidhamu- mods
4. Kitengo Cha siasa-
5.
6.
7.
8.
9
10.Kitengo Cha usomaji - wengine wote
Kama haupo kwenye kitengo maalumu basi kuwa msomaji tu
Nije napajama tena 🤣🤣🤣 mie nakuja na nafural suit🤣🤣🤣Ili unijie na pajama na km jiwe 😹😹
Upweke bwasheeSijawai ingia nikakukosa online 😂
Ngoja nikutafutie kigor cha kimakondeeUpweke bwashee
Itakua poa mnoNgoja nikutafutie kigor cha kimakondee
ww uko makin sanaaa kufatilia watu yan karibu wote umewaweka vitengo sahihi.Wewe upewe kitengo cha ujasusi.
Sio kwamba nipo makini kufuatilia watu nakabusu, ni vile tu tu akili yangu hata nikiwa choo cha umma nikakuta kipande cha gazeti najikuta tu nakisoma🤣ww uko makin sanaaa kufatilia watu yan karibu wote umewaweka vitengo sahihi.Wewe upewe kitengo cha ujasusi.
Kikuchanganye mchaga usahau kurudi moshi mwezi 12Itakua poa mno
Sio rahisi mimi kuchanganywa bwashee , kisipofuata mfumo wangu kitajikuta tu kimejiengua chenyewe kwenye mtanange😆Kikuchanganye mchaga usahau kurudi moshi mwezi 12
Watu mnamifumo ila unaonekana wew ni mbabe sanaaSio rahisi mimi kuchanganywa bwashee , kisipofuata mfumo wangu kitajikuta tu kimejiengua chenyewe kwenye mtanange😆
Kwa nini bwashee?Watu mnamifumo ila unaonekana wew ni mbabe sanaa