Tugawane nchi katikati

Alubati

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2016
Posts
6,867
Reaction score
15,811
Tugawane nchi katikati mikoa 13 kila upande ili kila mtu aishi kwa amani anapopenda, CCM wabaki na kipande chao (pamoja na Zanzibar)waishi kwa hii katiba yao na mifumo yao ya maisha , majeshi yao na watu wao wanaoipenda, na sisi twende na kipande chetu cha mikoa 13 ,tukaunde majeshi yetu, katiba yetu , na vitu vyetu tunavyotaka.
Kuishi maisha kama ya sasa kwakweli tumechoka, kila mtu aende upande wake. Mbona sudani kuna kusini na kaskazini? Na sisi tugawane.
 
Na hakika upande wowote tutakao elekea hakika tutawazidi CCM kwenye Kila sphere of life...

Watakuja kuomba misaada ya hali na Mali..

Tutajiita TANGANYIKA FREE STATE....wenyewe waendelee na jina lao...na mambo yao.

NB. Siku Paul makonda akiwa RAISI WA TANZANIA NDIO SIKU IYO NTABEBA VYANGU NA KUHAMA HII NCHII HATUWEZI ONGOZWA NA KILA MTU.
 
Tugawane mbao๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„
 
This is a sin that knows no limit. Kumbuka, hata ndani ya kusini kuna kaskazini na kusini. Similarly, ndani ya kaskazini kuna kusini na kaskazini.

When the common enemy is no longer there, friends can afford to be enemies of each other. Hiki ndicho kilichotokea South Sudan!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ