Tufungulie 'Baraba' lakini mwondoshe 'huyu'

Tufungulie 'Baraba' lakini mwondoshe 'huyu'

Subconscious

Member
Joined
Feb 9, 2018
Posts
47
Reaction score
44
Sentensi hii huonesha asili ya mwanadamu ilivyo.
Wengi tunang'ang'ania vitu vibaya, viovu na vyenye kuleta shida maishani mwetu huku tukivipotezea
Vitu vyema, vizuri na vyenye kuleta ukombozi kwenye utumwa tulionao!
 
lakini mkuu, vitu vibaya ndio vizuri.
watu wanasema pesa ni mbaya lakina hao hao wanaamka asubuhi na kurudi usiku kwa kutafuta pesa.
 
lakini mkuu, vitu vibaya ndio vizuri.
watu wanasema pesa ni mbaya lakina hao hao wanaamka asubuhi na kurudi usiku kwa kutafuta pe


lakini mkuu, vitu vibaya ndio vizuri.
watu wanasema pesa ni mbaya lakina hao hao wanaamka asubuhi na kurudi usiku kwa kutafuta pesa.
vitu vibaya ndio vizuri! Kivipi? Mb
lakini mkuu, vitu vibaya ndio vizuri.
watu wanasema pesa ni mbaya lakina hao hao wanaamka asubuhi na kurudi usiku kwa kutafuta pesa.
watu wanaposema pesa ni mbaya, ni wazi hawajui wanachokiongea
 
Kitu kibaya ni vile unavyo ona kwa mtazamo wako au jamii yako inavyo kuzunguka mfano Ushoga kwangu Mimi nikitu kibaya sana lakini jamii zingine sio kibaya.Mimi Nina amini katika imani yangu ya Ki Afrika hila wengine wanaona unakumbatia ubaya kwa sababu hupo nje dini za kisasa..
 
Back
Top Bottom