Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 40,357
- 62,601
- Thread starter
- #21
Ukiingia kwenye hii biashara na ukataka uzalishe kwa wingi, na ili upate faida itakubidi ununue nondo kiwandani kwa taniAwali uliielezea kirahisi sana ndio maana nikawa nashangaa kwanini ubongo wangu haufikirii ipasavyo?
Sasa hapo kwenye gharama, unawezakujikuta gharama ya kuzalisha, bora ununue tu kama alivyochangia ERoni
Ila kuna kitu nimeambulia na ubongo wangu umefunguka (hii sitanii na wala si masihara). Nimepata ufunuo