Tufunguane ubongo

Tufunguane ubongo

Awali uliielezea kirahisi sana ndio maana nikawa nashangaa kwanini ubongo wangu haufikirii ipasavyo?

Sasa hapo kwenye gharama, unawezakujikuta gharama ya kuzalisha, bora ununue tu kama alivyochangia ERoni

Ila kuna kitu nimeambulia na ubongo wangu umefunguka (hii sitanii na wala si masihara). Nimepata ufunuo
Ukiingia kwenye hii biashara na ukataka uzalishe kwa wingi, na ili upate faida itakubidi ununue nondo kiwandani kwa tani
 
Kuna mshikaji alisomea automobile engineering NIT sasa alikuwa anadis sana mafundi wa garage za kawaida anasema mafundi wa miembeni kuna gari ikaja pata shida aliezea mambo kibao ishu ilikuwa ni communication ya microcontrollers akafika hadi kwenye CAN watu wakamwambia acha porojo wewe ikaitwa boda akapelekwa mbona alitafutana. Kutumia tu Multimeter ilikuwa kimbembe.

Kitu kukileta kwenye uhalisia kuna njia zake siyo from scratch tuu.

Mfano ukiona mtu anasolder kama rahisi sanaaa solder wewe sasa ujawahi shika hata gun unatazama YouTube tu.
 
Wenzetu wa Pakistan, Wa hindi wanafanya sana hizi kazi ki -'local', ata hii mitungi ya gesi wanatengeneza kwenye mazingira ya kawaida sana, ambapo ata sisi tunaweza tukiamua kufungua ubongo.​
 
Upo sahihi back then nikiwahi uza reki unanunua reki tano zinakaa miezi 6 ndo zinaisha uhitaji wake mdogo mno njo na wazo lingine tuone hebu
Kuhusu masoko, kuna watu waliosomea na wakaiva kweli kweli, soko lako kubwa litakuwa ni mashule, vyuo, magereza n.k
 
Ebu chukua nondo za milimita 6, vikatekate viwe vipande vidogo, chukua

flat bar uikate kwa kipimo maalumu.
Chukua vile vipande vidogo vidogo vya nondo vichomelee kwenye flat bar.

Hicho ulichokitengeneza, kiweke kwenye mpini; hapo tayari utakuwa umetengeneza reki.

Kwa kifupi, utakuwa na kiwanda cha kutengeneza reki na wewe utakuwa Real CEO (aliye jiajiri).​
Una welding machine? Au unachomelea kwa kuni?
 
Kuna mshikaji alisomea automobile engineering NIT sasa alikuwa anadis sana mafundi wa garage za kawaida anasema mafundi wa miembeni kuna gari ikaja pata shida aliezea mambo kibao ishu ilikuwa ni communication ya microcontrollers akafika hadi kwenye CAN watu wakamwambia acha porojo wewe ikaitwa boda akapelekwa mbona alitafutana. Kutumia tu Multimeter ilikuwa kimbembe.

Kitu kukileta kwenye uhalisia kuna njia zake siyo from scratch tuu.

Mfano ukiona mtu anasolder kama rahisi sanaaa solder wewe sasa ujawahi shika hata gun unatazama YouTube tu.
Ni kuamua kufungua ubongo tu kama mleta mada anavyosema. Vitu kama welding au soldering binafsi nimejifunzia YouTube, I'm not pro lakini kazi zangu ndogo nafanya bila shida.

Changamoto hatufungui bongo zetu!
 
Kuna mshikaji alisomea automobile engineering NIT sasa alikuwa anadis sana mafundi wa garage za kawaida anasema mafundi wa miembeni kuna gari ikaja pata shida aliezea mambo kibao ishu ilikuwa ni communication ya microcontrollers akafika hadi kwenye CAN watu wakamwambia acha porojo wewe ikaitwa boda akapelekwa mbona alitafutana. Kutumia tu Multimeter ilikuwa kimbembe.

Kitu kukileta kwenye uhalisia kuna njia zake siyo from scratch tuu.

Mfano ukiona mtu anasolder kama rahisi sanaaa solder wewe sasa ujawahi shika hata gun unatazama YouTube tu.
Hizi fani za ujuzi, zinahitaji utundu ili uwe vizuri.

Mfano, mtu aliyesoma mechanical engineering, anatakiwa aandae michoro kutoka kichwani ya mashine mbalimbali, ampatie mchomeleaji , watengeneze mashine, na baadaye wawauzie wananchi.

Mfano: mashine za kukoboa, kufyatua matofari, lift n.k​
 
Aaah! Vipande vya nondo unavichomeka au unachomelea? Kama kuchomeka, sijaona hatua ya kutoboa flat bar na kuweka vizuizi vya vipande vya nondo visichomoke.

Na namna ya maungio ya mpini na flatbar haijatolewa ufafanuzi.

Hizo nondo hazinolewi kuwa na ncha?
Anazan n kazi rahisi hvyo.na hzo nondo na flat bar zinakujaje hapo bila kununua .bado cutting disk.red oxde,rangi yakupiga reck ipendeze ,umeme,stick,..km c fundi umlipe bado fundi .reck moja inakost matengenezo mpk ufundi labda elfu 20 ...jee sokon utaiuza kwa bei gan ili upate faida ww na ofc iweze kujiendeshaa..

Bado c rahisi km mleta mada anavyozan mkuu
 
Tufunguane ubongo, tusiruhusu ubongo kuwa locked; unaweza kuamua kununua mashine na zipo za kila bei kutokana na ukubwa, au unaweza kumpatia mtu mwingine achomelee.​

Ukiingia kwenye hii biashara na ukataka uzalishe kwa wingi, na ili upate faida itakubidi ununue nondo kiwandani kwa tani
19a95ddaa5cf58a2fcd5a61d9e2d0066.jpg
 
Ni kuamua kufungua ubongo tu kama mleta mada anavyosema. Vitu kama welding au soldering binafsi nimejifunzia YouTube, I'm not pro lakini kazi zangu ndogo nafanya bila shida.

Changamoto hatufungui bongo zetu!
Yah sahihi mkuu ndiyo maana yangu inahitaji kujifunza na ku practice mara kwa mara zaidi ndiyo inakaa sasa ila baadhi ya watu wengi sana wakisoma wanaona kama tayari wamemaliza.
 
Anazan n kazi rahisi hvyo.na hzo nondo na flat bar zinakujaje hapo bila kununua .bado cutting disk.red oxde,rangi yakupiga reck ipendeze ,umeme,stick,..km c fundi umlipe bado fundi .reck moja inakost matengenezo mpk ufundi labda elfu 20 ...jee sokon utaiuza kwa bei gan ili upate faida ww na ofc iweze kujiendeshaa..

Bado c rahisi km mleta mada anavyozan mkuu
Tunaona ni vigumu kwa sababu bado hujafungua ubongo
 
Hizi fani za ujuzi, zinahitaji utundu ili uwe vizuri.

Mfano, mtu aliyesoma mechanical engineering, anatakiwa aandae michoro kutoka kichwani ya mashine mbalimbali, ampatie mchomeleaji , watengeneze mashine, na baadaye wawauzie wananchi.

Mfano: mashine za kukoboa, kufyatua matofari, lift n.k​
Na ndiyo engineer inatakiwa iwe hivyo kitu kianzie kwenye karatasi kiwe na specs fulani ili kije kwenye uhalisia japo tuwe wawazi ma engineer wetu wengi wanawahi kuridhika sana kwenye utendaji bado sana.
 
Back
Top Bottom