Tueshimu viapo vyetu vya ndoa

Tueshimu viapo vyetu vya ndoa

Wilson Gamba

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2013
Posts
819
Reaction score
908
Abari wana jamvi? Itakumbukwa nilishawahi kuongelea hili ktk moja ya mada hapa jamvini. Kwa kweli tulio kwenye ndoa inabidi kutunza viapo vyetu ili kuishi kwa amani na usalama ktk ndoa zetu.ikumbukwe kwa sasa ili ndilo lenye kuleta mizozo mingi kwenye ndoa zetu na ata kupelekea kuvunjika na kuacha familia zetu hasa wanetu kupata shida mbalimbali,ushauri wangu jioni hii ni kuwaomba tudumishe hili kwa ajili ya kuimalisha amani na kujenga familia zenye kumcha mungu na upendo hadi pale mungu anapoamua kuwatenganisha,nawatakia siku njema yenye mapendo ya kimungu na utii wa sheria zake& pia kudumisha maombi ktk famila zetu.mungu awabariki.
 
Ubarikiwe, ila tukumbuke kuziombea pia ndoa zetu ili zidumu maana shetani nae yuko nyuma nyuma anafuatilia ili azivuruge. So mbali ya kuheshimu viapo vya ndoa, MAOMBI ni muhimu.
 
Abari wana jamvi? Itakumbukwa nilishawahi kuongelea hili ktk moja ya mada hapa jamvini. Kwa kweli tulio kwenye ndoa inabidi kutunza viapo vyetu ili kuishi kwa amani na usalama ktk ndoa zetu.ikumbukwe kwa sasa ili ndilo lenye kuleta mizozo mingi kwenye ndoa zetu na ata kupelekea kuvunjika na kuacha familia zetu hasa wanetu kupata shida mbalimbali,ushauri wangu jioni hii ni kuwaomba tudumishe hili kwa ajili ya kuimalisha amani na kujenga familia zenye kumcha mungu na upendo hadi pale mungu anapoamua kuwatenganisha,nawatakia siku njema yenye mapendo ya kimungu na utii wa sheria zake& pia kudumisha maombi ktk famila zetu.mungu awabariki.

Uko sahihi mno naungana nawe katika hili
 
Mi sikumbuki ni viapo gan!ngoja nikaamulize mke wangu...loading error...
 
Back
Top Bottom