Tuelimishane kuhusu "Wind turbine energy system"

Hammy Js

JF-Expert Member
Sep 20, 2017
3,054
3,255
Habari Wakuu
Naomba tuelimishane mambo kadhaa kuhusu huu mfumo wa nishati inayotumia upepo (Wind turbine energy system).
1. Mahitaji/vifaa gani hasa (muhimu) vinavyohitajika ktk mfumo huu.
2. Kwa DSM vifaa vinapatikana wapi ? (Tukijua na bei ya kila kifaa itakuwa vyema zaidi kwa anayefahamu)
3. Kama kuna expert wa huu mfumo pia anaweza akatupa mawili matatu na sisi tukafaidika
Natanguliza shukrani wakuu.
 
Sawa.
Reliability ya mfumo huu ni ndogo kuliko mfumo wa umeme wa jua.
Kwa kifupi kinachohitajika ni wind turbine (Pangaboi), Generator ya DC iwe ni 12 au 24 Vorts, Battery, Power invetor, na Flexible cables au cords.

Kama mada inavyo jieleza. Nishati ya muhimu hapa ni upepo ambapo utazungusha Pangaboi . Na pangaboi itazungusha Generator kupitia shaft. Na Generator itafua umeme utakao charge battery . Baada ya umeme kutoka kwenye battery utaingia kwenye Invetor na kubadilishwa mkondo toka DC 12/ 24 Volts na kupelekwa AC 220/ 240 Volts ambapo ndo utafaa kwa matumizi ya kawaida ya majumbani. Pia umeme huo wàweza tumika bila invetor ilimradi tu uwe na vifaa (Applience) vya DC

Changamoto ipo kwenye upepo. Je eneo husika lina upepo??? Unavuma kwa kasi ipi?? (m/s or Km/hr) unavuma kwa muda gani (Time length), Na unavuma muda upi (Mchana, jioni, Asubuh, usiku)

Kuna jamaa wapo ubungo external upande wa kushoto kama unatoka Buguruni. Wapo jirani na BW. Mkapa export processing zone wana Turbine zinazunguka pale ila sijui kama ni za kazi gani.

Pia kwa upande wa DC generator nadhani upatikanaji wake ni mgumu ila nadhani zipo madukani pia zipo Kweny Labs za umeme DIT. Ila kama ni shida Unaweza tumia Altanetor za Gari coz nazo ni DC generator
 
Sawa.
Reliability ya mfumo huu ni ndogo kuliko mfumo wa umeme wa jua.
Kwa kifupi kinachohitajika ni wind turbine (Pangaboi), Generator ya DC iwe ni 12 au 24 Vorts, Battery, Power invetor, na Flexible cables au cords.

Kama mada inavyo jieleza. Nishati ya muhimu hapa ni upepo ambapo utazungusha Pangaboi . Na pangaboi itazungusha Generator kupitia shaft. Na Generator itafua umeme utakao charge battery . Baada ya umeme kutoka kwenye battery utaingia kwenye Invetor na kubadilishwa mkondo toka DC 12/ 24 Volts na kupelekwa AC 220/ 240 Volts ambapo ndo utafaa kwa matumizi ya kawaida ya majumbani. Pia umeme huo wàweza tumika bila invetor ilimradi tu uwe na vifaa (Applience) vya DC

Changamoto ipo kwenye upepo. Je eneo husika lina upepo??? Unavuma kwa kasi ipi?? (m/s or Km/hr) unavuma kwa muda gani (Time length), Na unavuma muda upi (Mchana, jioni, Asubuh, usiku)

Kuna jamaa wapo ubungo external upande wa kushoto kama unatoka Buguruni. Wapo jirani na BW. Mkapa export processing zone wana Turbine zinazunguka pale ila sijui kama ni za kazi gani.

Pia kwa upande wa DC generator nadhani upatikanaji wake ni mgumu ila nadhani zipo madukani pia zipo Kweny Labs za umeme DIT. Ila kama ni shida Unaweza tumia Altanetor za Gari coz nazo ni DC generator
shukran sana mkuu ,ubarikiwe
 
Back
Top Bottom