Hizo hesabu mie zilinishida🤣 hesabu nazijua aise, nafundisha hesabu darasa la sita 📚📚 🎧🎧
Nasubiri jibu la hili wakuuTujaribu na hii
View attachment 3228162
Hizo ni hesabu za Ali Makundi Kamdomo wa UTO. Wanasoka wamenielewa5 + 10 = A + 7
B + A = 3 + 9
B - C = 10 - A
A=8 , B=4 , C=2
5 + 10 = 8 + 7
4 + 8 = 3 + 9
4 - 2 = 10 - 8
hivyo,
A + B + C=?
8 + 4 + 2=14
Mkuu Kiranga kwa heshima yako naomba nisaidie hii hapa🙋♀️Tujaribu na hii
View attachment 3228162
Mkuu Kiranga kwa heshima yako naomba nisaidie hii hapa🙋♀️
Sawa mkuu japo mie nlikuwa nazungumzia hiyo ya kuremove stick ( kwenye post nliyokuquote, .maana hakuna aliyejibu )Nomadix Kamaliza #10.
Ukitaka heshima weka hesabu za heshima za ku solve.
Hebu angalia hapa kwanza.
![]()
The 10 Hardest Math Problems Ever: Solutions & Explanations
Unlock the secrets behind the 10 hardest math problems in history, including the Four Color Theorem and Fermat's Last Theorem. step-by-step solutionmp.moonpreneur.com
Something went wrong in your head
Hizo za kujumlisha tu zinaumiza watu vichwa humuNomadix Kamaliza #10.
Ukitaka heshima weka hesabu za heshima za ku solve.
Hebu angalia hapa kwanza.
![]()
The 10 Hardest Math Problems Ever: Solutions & Explanations
Unlock the secrets behind the 10 hardest math problems in history, including the Four Color Theorem and Fermat's Last Theorem. step-by-step solutionmp.moonpreneur.com
🙏👍✔️🤝solution:
let;🔺 = X
🟦 = Y
🟡 = Z
equation ya kwanza
5 + 10 = X + 7
X + 7 = 15
X = 15 - 7
X = 8
equation ya pili
Y + X = 3 + 9
Y + X = 12
( X = 8 )
Y + 8 = 12
Y = 12 - 8
Y = 4
equation ya tatu
y - Z = 10 - X
( X = 4, Y = 4 )
4- Z = 10- 8
4 - Z = 2
-Z = 2 - 4
-Z = -2
Z = 2
( X = 8, Y = 4, Z = 2 )
🟡 +🔺 + 🟦 = Z + X + Y
= 2 + 8 + 4
= 14
Kwaiyo:
🟡 + 🔺 + 🟦 = 14