Hapo geita nyie vigagura hamjambo?Tatizo kuna majini sana
Maji au majini?Majini wote wafungwe jela.Tatizo kuna majini sana
Wanazingua sana wazenji. Mimi naumia sana.Naona safari hii watanganyika mmedhamiria kweli kweli kutemana na muungano!!
iKile kisiwa kimekaa kimkakati Sana lakini serikali imekisusa kabisa kile kisiwa ikitokea kwa mfano wamekuja wazungu waka kinunua waka kipiga "sabuni na wavu" vizuri tutakisahau kabisa, lakini bahati mbaya sana hakuna mtu ndani ya serikali ya ccm anae iwazia mema nchi yetu ya Tanganyika
Umeshawahi kukutana nayoTatizo kuna majini sana
Abra kadabraaaa🤣🤣🤣Tatizo kuna majini sana
Kunywa ARV zako ukalaleHaiwezi kuizidi Zanzibar kwa sababu Zanzibar ni brand kubwa kwa sas huko ulimwenguni kote.
ivi unajua kwamba Zanzibar ni maarufu huko duniani kuliko hata Tanzania?
Acha shobo na wanaume weweKunywa ARV zako ukalale
Muungano wa kimalaya malaya huuNaona safari hii watanganyika mmedhamiria kweli kweli kutemana na muungano!!