Tubadili gia, list ni ndefu

Tubadili gia, list ni ndefu

[emoji15] [emoji15] [emoji106] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji116] [emoji124] [emoji124]
 
kunamshikaji wangu alinambia yeye aliweka post facebook,ilakunajamaa yake akamtonya akamwambia system sasa hivi kwasisi tusio naushawishi unafichwa mahali na kesi hakuna wala hutokaa uende mahakamani na huenda ndugu zako wasijue uko gereza gani ..!!!Anyway Hofu ituongoze kusema ukweli unao chukiwa
Yametimia
 
Kwanza nielezee masikitiko yangu ya kufutwa mada ya "wakiamuakukupata watakupata tuu" sikuona tatizo kwenye ile mada pengine moderator anaweza kusema neno
Lakini sasa ni wazi hamkani si shwari tena.

Ishu ya kukamatwa mara kadhaa kwa Tundu Lissu, na hii ya jana ambayo mpaka sasa haijulikani kapelekwa wapi. ...itufungue macho kwa kina zaidi.

Inabidi kubadili gia hata kama kukosoa kwetu kuna nia ya kujenga, list ni ndefu na hatujui nani atafuatia.

Lissu ni public figure yanamtokea haya hebu jiulize mimi au wewe je?

Hatupaswi kukata tamaa Hatupaswi kurudi nyuma lakini vema kubadili gia kwakuwa safari bado ndefu na tunapanda mlima"wakiamua kukupata watakupata tu sikuona tatizo kwenye ile mada pengine moderator anaweza kusema neno
Lakini sasa ni wazi hamkani si shwari tena

Ishu ya kukamatwa mara kadhaa kwa Tundu Lissu, na hii ya jana ambayo mpaka sasa haijulikani kapelekwa wapi. ...itufungue macho kwa kina zaidi.

Inabidi kubadili gia hata kama kukosoa kwetu kuna nia ya kujenga, list ni ndefu na hatujui nani atafuatia

Lissu ni public figure yanamtokea haya hebu jiulize mimi au wewe je?

Hatupaswi kukata tamaa Hatupaswi kurudi nyuma lakini vema kubadili gia kwakuwa safari bado ndefu na tunapanda mlima
Wewe ndiyo unaandika haya leo? Unacjochea watu kufanya nini? Hatari sana. Kweli nchi hii haina watu wenye akili. Yaani wewe umeshahukumu na unamfahamu tayari mtekaji kumbe? Kwa nini police wasikutafute uwasaidue kumoata Roma kama ndiyo hivyo? Mpaka nakuogopa mkuu. Usiku mwema.
 
Wewe ndiyo unaandika haya leo? Unacjochea watu kufanya nini? Hatari sana. Kweli nchi hii haina watu wenye akili. Yaani wewe umeshahukumu na unamfahamu tayari mtekaji kumbe? Kwa nini police wasikutafute uwasaidue kumoata Roma kama ndiyo hivyo? Mpaka nakuogopa mkuu. Usiku mwema.
Tayari ni alfajiri ndugu, halafu hebu hariri post yako isomeke vema
 
Wewe ndiyo unaandika haya leo? Unacjochea watu kufanya nini? Hatari sana. Kweli nchi hii haina watu wenye akili. Yaani wewe umeshahukumu na unamfahamu tayari mtekaji kumbe? Kwa nini police wasikutafute uwasaidue kumoata Roma kama ndiyo hivyo? Mpaka nakuogopa mkuu. Usiku mwema.

Tayari ni alfajiri ndugu, halafu hebu hariri post yako isomeke vema
 
.
IMG-20180315-WA0083.jpg
 
*NEWS ALERT*
*MWANDISHI WA HABARI ERICK KABENDERA AVAMIWA NYUMBANI KWAKE MBWENI JIJINI DAR ES SALAAM*
Dar es Salaam!

Mwandishi wa Habari za kiuchunguzi Erick Kabendera, amevamiwa leo majira ya jioni na watu wasiojulikana. Watu hao baada ya kuvamia nyumba hiyo walitoweka na mwandishi huyo na hadi sasa hajulikani alipo huku simu zake zote zikiwa hazipatikani.Kwa mujibu wa taarifa za awali kutoka kwa ndugu, watu hao ambao walikuwa sita walijitambulisha lakini hawakutoa vitambulisho vyao. Watu hao walieleza kuwa wanampeleka mwandishi huyo kituo cha polisi Oysterbay.

Kabla ya hapo simu za Erick Kabendera zilikuwa hazipatikani na alipopiga simu Vodacom aliambiwa hayo ndio maelekezo kutoka TCRA.

THRDC tayari imemtuma wakili wake Kituo cha polisi Oysterbay kufwatilia tukio hilo na tutawajuza kadri tutakavyokuwa tunapata taarifa.

*TAARIFA ZAIDI*

*ANAANDIKA ANSBERT NGURUMO*


UPDATES KUHUSU ERICK KABENDERA KUTEKWA

Jana Vodacom walizima simu yake kwa madai kuwa walielekezwa na TCRA. Erick alijulisha baadhi ya watu wake kwa kutumia mawasiliano mengine.

Aliwasiliana nami pia, nikaondoa namba yake hiyo katika group hili.

Leo jioni walipomvamia nyumbani kwake alitumia simu nyingine kupigia watu kadhaa juu ya hali hiyo. Baadhi yao walielekea kwake, wakakuta ameshachukuliwa.

Lakini majirani kadhaa walikusanyika na kuwazonga "watekaji," ndipo wakajitambulisha kuwa wao in polisi. Ikabidi wamchukue rasmi kipolisi.

Vyanzo vya kipolisi viliwambia jirani yake mmoja kuwa Erick atapelekwa kituo cha Oysterbay.

Polisi aliyepangiwa faili LA Erick anaitwa DUMA:+255754611599.

Walimchukua kwa kutumia gari lisilo la polisi. Walipofika Mbweni kituo cha polisi wakabadili na kumuingiza kwenye gari la polisi.

Baadhi ya jamaa na rafiki zake waliofika Oysterbay wameambiwa hayupo.

Zitto Kabwe ni mmoja wa watu waliojulishwa taarifa hii na kufika nyumbani kwa Erick na baadaye Oysterbay Polisi.

Anasema:

"Nimefika kituo cha polisi cha Oysterbay nimeambiwa kuwa Erick Kabendera hayupo. Imepigwa sauti kwa mahabusu wote Erick hakuwepo. Nimeonana na RCO wa Kinondoni ameniambia kuwa hana kesi yeyote ya Erick Kabendera."

Jitihada za kumtafuta zinaendelea katika vituo vingine vya polisi - Mbweni, Kawe, Goba nk.

Walizima simu yake ili wamteke kimya kimya asipate kutoa taarifa. Bahati nzuri alikuwa na mfumo mwingine wa mawasiliano.

Jitihada za awali za kuwatambua na kutunza kumbukumbu zinafanyika.

Mitandao ya kimataifa na kitaifa tayari imejulishwa suala hili, na dunia nzima sasa inafuatilia kwa karibu suala la Erick Kabendera kutekwa.

*Mwisho wa Nukuu.*

Watetezi TV
Dar es Salaam
29.07.2019
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom