Tuanzishe mradi wa kuchimba mafuta

Tuanzishe mradi wa kuchimba mafuta

Jf ina wanachama wengi, nadhani hatuko pungufu ya laki 5; leo hii kila mwanachama tukiamua kujichangachanga laki laki, hatuwezi kweli kuanzisha mradi wetu wa kuchimba mafuta na kuwauzia nchi zingine tukawa tunagawana faida?​
Mafuta yapi hayo unayotaka kwenda kuyachimba?
(Petroleum jelly) Mafuta ya kupaka ama?

#joking
 
Jf ina wanachama wengi, nadhani hatuko pungufu ya laki 5; leo hii kila mwanachama tukiamua kujichangachanga laki laki, hatuwezi kweli kuanzisha mradi wetu wa kuchimba mafuta na kuwauzia nchi zingine tukawa tunagawana faida?​
Sasa akili hiyoo ndio nimeona tokea nikufahamu naona maombi ya familia yamesikika
 
Jf ina wanachama wengi, nadhani hatuko pungufu ya laki 5; leo hii kila mwanachama tukiamua kujichangachanga laki laki, hatuwezi kweli kuanzisha mradi wetu wa kuchimba mafuta na kuwauzia nchi zingine tukawa tunagawana faida?​
Sasa akili hiyoo ndio nimeona tokea nikufahamu naona maombi ya familia yamesikika
 
Hata tukianzisha huo mradi wa mafuta pesa zitakazopatikana zitaishia kwa samia tu na genge lake la wahuni.halitanufaisha watanzania kama ambavyo hatunufaiki na uuzwaji wa bandali kwa mwarabu pamoja na samia kutudanganya kuwa tungekuwa matajiri kama nchi za ulaya
 
Weka mchanganuo wa huo mradi
Hapo sasa ndio inabidi tuwe na team ya Mainjinia ya kuchimba hio Oil watakaochora mchoro mzima utavyokua na gharama zote kwa ujumla ila mimi nimeona hamna hamna kila member alaze Million 50 kwenye mfuko wetu yaan tukipiga idadi yetu humu itakua ni pesa ndefu kidogo, ebu jaribu ku-calculate uone
 
Hapo sasa ndio inabidi tuwe na team ya Mainjinia ya kuchimba hio Oil watakaochora mchoro mzima utavyokua na gharama zote kwa ujumla ila mimi nimeona hamna hamna kila member alaze Million 50 kwenye mfuko wetu yaan tukipiga idadi yetu humu itakua ni pesa ndefu kidogo, ebu jaribu ku-calculate uone
ha ha ha hiyo mil. 50 inatoka wapi?
 
Back
Top Bottom