binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 9,209
- 23,162
Watu mmeumizwa jamani poleni sana, Yeye aliye mponyaji awaponye majeraha yenu, Amen.
Espy na HS nawaelewa sana maana nilikuwa mwalimu kwa miaka kama 4 hivi kwenye shule zetu hizi za kata , ukiishi na wanafunzi utaelewa ni kwa jinsi gani watoto wanapitia changamoto kwenye makuzi yao.
Ni wajibu wetu wazazi wa sasa kulibadilisha hili, tuwe responsible ingali tuna uhai bado.
Espy na HS nawaelewa sana maana nilikuwa mwalimu kwa miaka kama 4 hivi kwenye shule zetu hizi za kata , ukiishi na wanafunzi utaelewa ni kwa jinsi gani watoto wanapitia changamoto kwenye makuzi yao.
Ni wajibu wetu wazazi wa sasa kulibadilisha hili, tuwe responsible ingali tuna uhai bado.