Tuambie kitu ulichofanyiwa utotoni kikakuletea madhara hadi leo

thewajibu

JF-Expert Member
Jan 14, 2017
226
293
Wana JF,

Kama kuna kitu ulichowahi kufanyiwa utotoni kikakuathiri hadi leo unaweza kisema hapa ili kukuza uelewa kwa jamii, wazazi na wazazi watarajiwa.

Naanza na mimi: Nilipokuwa shule ya msingi nilikuwa napenda mpira wa miguu siku moja tukaenda kucheza mechi ya kirafiki shule fulani kwa kuwa nilikuwa napenda mpira nilitembea kwa miguu hadi mahali husika, mchezo ulipoisha nilirudi nyumbani bila tatizo ilikuwa Ijumaa kesho yake pindi nasalimia wakubwa nilikamatwa na kupewa motisha hasi ya viboko visivyo na idadi vya miguuni.

Ilinichukuwa muda kutembea vizuri kuanzia hapo hadi leo si shabiki wala mpenzi wa mpira, nilichobakiza ni kuangalia mapango na mapambo ya makampuni yaliyo uwanjani.

Angalia usiue kipaji cha mwanao cha kutengeneza Bombadia ukalitia hasara Taifa ya kununua ndege nje.
 
Mimi nilikuwa nikiwapa taarifa ndugu zangu za maendeleo ya shule hata nikiwa wa kwanza walikuwa wananibeza na kuninyima huduma za unform na madaftar nikaanza kujitegemea mwenyewe huduma za shuleni kwa kuuza mapera nikiwa darasa la nne baadaye nikajifunza uchoraji kwa jamaa mmoja hivi kule mbeya mjini kwa kweli sanaa ya uchoraji ikawa inaniingizia kipato na kufanya nidorore kielimu nikiwa darasa la sita sababu hapo nilikuwa nawaza kodi ya chumba vilevile nikiugua niliku cpati huduma ya matibabu sababu maangu alikufa baada ya kutengana na baba nikawa naishi na bibi kuanzia mwaka 1989 nikiwa na miaka miwil kwa kweli ndugu walininyanyapaa sana asante Mungu now wananiona wa maana sana sababu napata vijicent..
 
Mimi nilikuwa nikiwapa taarifa ndugu zangu za maendeleo ya shule hata nikiwa wa kwanza walikuwa wananibeza na kuninyima huduma za unform na madaftar nikaanza kujitegemea mwenyewe huduma za shuleni kwa kuuza mapera nikiwa darasa la nne baadaye nikajifunza uchoraji kwa jamaa mmoja hivi kule mbeya mjini kwa kweli sanaa ya uchoraji ikawa inaniingizia kipato na kufanya nidorore kielimu nikiwa darasa la sita sababu hapo nilikuwa nawaza kodi ya chumba vilevile nikiugua niliku cpati huduma ya matibabu sababu maangu alikufa baada ya kutengana na baba nikawa naishi na bibi kuanzia mwaka 1989 nikiwa na miaka miwil kwa kweli ndugu walininyanyapaa sana asante Mungu now wananiona wa maana sana sababu napata vijicent..
Hongera mkuu utotoni kuna changamoto
 
Nililelewa na Mama wa kambo alikuwa mkali sana kitu kidogo tu napigwa,nikiagizwa kitu nimpelekee kama yupo jikoni basi nikimpa tu kama sijarudi nakofi nashukuru Mungu,kutokana na Woga nikawa kila akinituma kitu nimpelekee mikono ikawa inatetemeka haijiamini,kwahiyo mpaka Leo Nina tatizo hilo mikono inatetemeka muda mwingi japokuwa najitahidi kujicontrol watu wasinotice ,pia aliwahi kuniunguza na moto kwenye vidole vya mikono na miguu kwa kosa la kutokufunga bomba la chooni,kwasasa ni MTU mzima Nina kazi yangu nzuri sabab nilijitahidi kusoma ili nifaulu niende shule za mbali niepuke mateso yake,matokeo yake yeye ndo amekuwa tegemezi kwangu,kwani hakubarikiwa kupata Mtoto yoyote na najitahidi kumsaidia kadri ninavyoweza sababu nilikwishaamua kumsamehe!!
 
Nililelewa na Mama wa kambo alikuwa mkali sana kitu kidogo tu napigwa,nikiagizwa kitu nimpelekee kama yupo jikoni basi nikimpa tu kama sijarudi nakofi nashukuru Mungu,kutokana na Woga nikawa kila akinituma kitu nimpelekee mikono ikawa inatetemeka haijiamini,kwahiyo mpaka Leo Nina tatizo hilo mikono inatetemeka muda mwingi japokuwa najitahidi kujicontrol watu wasinotice ,pia aliwahi kuniunguza na moto kwenye vidole vya mikono na miguu kwa kosa la kutokufunga bomba la chooni,kwasasa ni MTU mzima Nina kazi yangu nzuri sabab nilijitahidi kusoma ili nifaulu niende shule za mbali niepuke mateso yake,matokeo yake yeye ndo amekuwa tegemezi kwangu,kwani hakubarikiwa kupata Mtoto yoyote na najitahidi kumsaidia kadri ninavyoweza sababu nilikwishaamua kumsamehe!!
Athari zakisaikolojia ngumu kutibika mkuu lkn hongera kwa kuwa na moyo kwa mama wa kambo hadi sasa
 
Mimi nilikuwa nikiwapa taarifa ndugu zangu za maendeleo ya shule hata nikiwa wa kwanza walikuwa wananibeza na kuninyima huduma za unform na madaftar nikaanza kujitegemea mwenyewe huduma za shuleni kwa kuuza mapera nikiwa darasa la nne baadaye nikajifunza uchoraji kwa jamaa mmoja hivi kule mbeya mjini kwa kweli sanaa ya uchoraji ikawa inaniingizia kipato na kufanya nidorore kielimu nikiwa darasa la sita sababu hapo nilikuwa nawaza kodi ya chumba vilevile nikiugua niliku cpati huduma ya matibabu sababu maangu alikufa baada ya kutengana na baba nikawa naishi na bibi kuanzia mwaka 1989 nikiwa na miaka miwil kwa kweli ndugu walininyanyapaa sana asante Mungu now wananiona wa maana sana sababu napata vijicent..
.mkuu pole sana aisee..ulfanikiwa kuendelea na elimu.?
 
Nililelewa na Mama wa kambo alikuwa mkali sana kitu kidogo tu napigwa,nikiagizwa kitu nimpelekee kama yupo jikoni basi nikimpa tu kama sijarudi nakofi nashukuru Mungu,kutokana na Woga nikawa kila akinituma kitu nimpelekee mikono ikawa inatetemeka haijiamini,kwahiyo mpaka Leo Nina tatizo hilo mikono inatetemeka muda mwingi japokuwa najitahidi kujicontrol watu wasinotice ,pia aliwahi kuniunguza na moto kwenye vidole vya mikono na miguu kwa kosa la kutokufunga bomba la chooni,kwasasa ni MTU mzima Nina kazi yangu nzuri sabab nilijitahidi kusoma ili nifaulu niende shule za mbali niepuke mateso yake,matokeo yake yeye ndo amekuwa tegemezi kwangu,kwani hakubarikiwa kupata Mtoto yoyote na najitahidi kumsaidia kadri ninavyoweza sababu nilikwishaamua kumsamehe!!
.hongera sana..Mungu azidi kukubariki..
 
Mimi mama yangu na baba yangu walikua wazima na walikua uwezo wakunilea. Sasa cjui kwanini walikua wananipeleka kwa watu tofauti tofauti. Mara mjomba, mama mdogo, binamu shanganzi. Mpaka namaliza la saba nililewa nawatu kama tisa. Nasijui kwanini nimimi tu maana nina ndugu zangu wengine wao walilewa nao. Sasa kitu ambacho kimeniathir kutokua na mapenzi ythati kwa mtu, hata mtu anipende vipi. Huwa namchukulia poua akiwemo mama yanga mme Wangu. Najaribu kuficha hii tabia watu wasigunduwe. Pia baba yangu kafa mwaka juzi ila hata tonne lachoozi hakuna. Watoto wangu najitahidi kuwapenda lakini bado. Maana hata apigwe na house girl naona tu poua. Au mtu akinumiza naona kawaida. Au kunisema vibaya sishituki wala kukasirika.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom