Tuambie jinsi ulivyompata mwenzi wako

Tuambie jinsi ulivyompata mwenzi wako

jamaa angepanga vizurii uongo wake
Halafu member wa 2009, mtu kama alikuwa na access ya internet mwaka huo sasa hivi atakuwa amekuakua kidodogo, watu kama hao tunategemea walau wataleta topic za maana ila wapi wanafanya mambo yaleyale ya watoto wa sekondari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom