Mimi sikuchemsha oral, nilichemsha practical. Miaka ile namaliza six Kama mwezi mshkaji wangu mmoja akaniambia Kuna kazi pahala huna hata haja yabkupeleka barua Wala CV. Akanielekeza nikaenda maeneo ya kijitonyama.
Kufika nikawakuta jamaa wapo smart wadada na wakaka wananyonga Tai. Nikasema yah hapa patanifaa. Nikajiyambulisha na kuwaeleza shida yangu. Wakaniambia nenda kwa HR chumba flani, nikamkuta mdada hr yupo na mkurugenzi wa kampuni. Wapo smart hatari...
Nimemaliza diploma 2015 nachek chek mishe nikakutana na tangazo la kaz kwa gazeti bhana kumbe na machalii zng wengne wameona post "sales & marketing officer"[emoji23] nikasema mimi IT hii kaz haiwez nishinda nikaenda bhana.
Nimefika naangalia maeneo yenyew ya florida pale nasema hii ofisi iko wap kumbe kuna kagorofa kuna kachumba kapo akatoka jamaa kavaa tai na moka hyo upande imelika akili ikanicheza, nikasema hii kaz ya ma-stage show nin..?[emoji34][emoji23] Muhun nkazama ndan.
Nikaambiwakaandae Cv na barua nikasema kaz ya aina gan hii maana kuna wengine wamevaa mashati ya Satini yanang'aa kisenge, muhun nikabonyea stationery chap Cv si iko kwa simu nikaprint chap...nikarud walivoona mpaka diploma nnayo wakafurahia sana kwamba bhana ww utapanda cheo baada ya muda.
Mi nkarud magetoni kula sana Valeur na Ganja nkasema muhun nimepata kazi kiujanja mi ndo chalii mjanja usiku nikazima kuja kushtuka huyo nikakoga chap kidala kwa fasi Florida pale pemben ya pin point.
"Karibu bwana
Papaa007 uko tayar kwa kazi kumekucha..asubuh njema kabsa hii siku ya leo j5 embu njoo tuanze kuset mambo ya kazi aisee nimeingia room flan nkakutana na sabun, birika, thermos, vyombo ya home...Jicho likanitoka kwanza yes Muhun mla Ganja leo unauza vyombo njian[emoji23].
Nkajisemea mi kidume napambana nikakabizziwa jomba mmoja wa kirangi aisee anarusha ndula hatar tembea mpaka mitaa ya njiro,uswahilin, sombetini nkaona kwel nimepatikana tukafika mitaa ya ngalimited relin tukaingia nyumban lwa mtu flan yule mRangi akadondosha saani chini "oohh mamq sahan haivunjiki nunua bei ni 5000 tu sahan utatumia mpaka wajukuu"
yule mama alisimama akasema mnaingia nyumba za watu kuna wagonjwa mnarusha saana chin zinalia kama bomu akaingia ndan tukajua pesa alitoka na maji ya moto fasta nikawah kusepa Mrangi akaipata ya mgongo kuanzia pale kazi za kijinga jinga hapana aisee hata kama ni kuhustle.
Sent using
Jamii Forums mobile app