King_mwanamalundi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2019
- 377
- 576
Mkuu ada ya British Council ni ngap?mimi nafundishia kwangu tu lakini😀
Mkuu ada ya British Council ni ngap?mimi nafundishia kwangu tu lakini😀
Jamaa ada yao imechangamka, lakini pia inategemea na level baada ya kukupa mtihani wao na kuona unafaa kuanzia level ipi, kipindi kile Mimi nilipiga jwa 560k lakini kwa Sasa itakuwa juu...Mkuu ada ya British Council ni ngap?
ulivyopiga hiyo kozi ilikusaidia mkuu,unaweza kusikia na kufunguka ngeli kama ya CNN?au unaongea kawaida tu kama ngeli ya wasukuma?Jamaa ada yao imechangamka, lakini pia inategemea na level baada ya kukupa mtihani wao na kuona unafaa kuanzia level ipi, kipindi kile Mimi nilipiga jwa 560k lakini kwa Sasa itakuwa juu...
Mkuu niliimprove sana, Barrick walikujaga kunikoma kwenye interview yao, ilibidi wanichukue tuulivyopiga hiyo kozi ilikusaidia mkuu,unaweza kusikia na kufunguka ngeli kama ya CNN?au unaongea kawaida tu kama ngeli ya wasukuma?
hahahaha hongeraMkuu niliimprove sana, Barrick walikujaga kunikoma kwenye interview yao, ilibidi wanichukue tu



nmeambiwa 650k, ila sijajua kama ndo unakuwa full package au bora liende tu ila kupitia kwako nmejifunza kitu mkuuJamaa ada yao imechangamka, lakini pia inategemea na level baada ya kukupa mtihani wao na kuona unafaa kuanzia level ipi, kipindi kile Mimi nilipiga jwa 560k lakini kwa Sasa itakuwa juu...
Kujieleza ni changamoto kwa waswahili tulio wengi mkuuI think TBS oral interview,,,dah nilianza vzur sana na introduction njaa na uchovu wa kusubir kuingia chumba cha interview na ile pannel ya watu nikajikuta napanick aicee nilijibu ovyo mpaka mama mmoja hv kwny pannel akanambia pambana baba maisha yako haya huku wengine wakicheka balaa nilivyotoka pale nikarudi mpole kwa mhindi kudadadeki![]()
Mkuu jamaa wako njema sana, na hiyo siyo full package...nmeambiwa 650k, ila sijajua kama ndo unakuwa full package au bora liende tu ila kupitia kwako nmejifunza kitu mkuu
Dah Mkuu we ni hatari, yaani umezamia jina la mtu afu vyeti ni vyakoKuna moja walitangaza msd kila wilaya kama sikosei na walikua wanahitaji watu 33 kwa sisi wa Tmk,mtafutaji nikapeleka maombi nikapigwa chini.
Ikabidi nilazimishe maana kuna dogo nilikutana naye siku ya kupeleka maombi nimemzidi kwa level zote za elimu ila yeye aliitwa na kwa bahati mbaya au nzuri kipindi hicho tayari alikua kapangiwa shule ya kufundisha huko Bukoba.
Basi bwana interview ya kwanza written ikafanyika pale DUCE,kufika pale watu kama 300 hivi nikaona isiwe kesi tukaingia (ikumbukwe nilienda kwa jina la dogo ila vyeti vyangu mwenyewe),kufika ndani maswali yote yakaja ya civics sijui national symbol,sijui multipartism ili mradi kero tu.
Nikafanikiwa kupita pale...interview iliyofuata tukafanyiwa pale MSD kwenyewe darajani kwa mbele pale ile bwana tukashangaa tunabebeshwa mabox ya dawa yani unayatoa kwenye gari unaenda kuyapanga store tena manne manne halafu ni mazito yale...( nakumbuka kuna watu kama wanne hivi walisalimu amri hata interview yenyewe hawakufanya).
Nikapita na hapa...ya mwisho sasa ikabidi ikafanyike maktaba pale posta na ni oral...kizaazaa kikaanzia hapa,ukaguzi wa vyeti ukatofautiana na majina yaliyoandikwa wale jamaa si ndio wakachimba biti la kuniweka chini ya ulinzi nikajieleza pale wakanirudishia simu zangu maana simu zetu zote zilikua chini yao wakanitimua tangu siku ile mimi na interview kama chui na paka tu....


Ningefanyaje mkuu? Halafu hilo interview la mwisho nimeliwahi kutoka Kahama kabisa sema jamaa hawakua fair tu imagine watu 300 mpaka tukabaki 50 na wanatakiwa 33 nilikua natoboa kabisaDah Mkuu we ni hatari, yaani umezamia jina la mtu afu vyeti ni vyako![]()
Yah ulipambana sana wangeweza kukufanyia consideration lakini tatizo kwenye issue kama hizo watu wanakuja kwa shughuli tofauti, wapo wanaotafuta kazi na wapo wanaokuja kwa 'kazi maalum'.Ningefanyaje mkuu? Halafu hilo interview la mwisho nimeliwahi kutoka Kahama kabisa sema jamaa hawakua fair tu imagine watu 300 mpaka tukabaki 50 na wanatakiwa 33 nilikua natoboa kabisa
I conqur mkuu.Wanalafudhi ngumu sana inahitaji umakini sana kuelewa wanazungumzia nini na wao wenyewe wapunguze speed ya uongeaji.....
Ila kama wapo wazungu tu njia ambayo niliyotumia mara 3 kupata ajira ni licha ya kuwa na quality nzuri ila pia kutia huruma, yani nagusa quality zangu na najivisha umasikini ambao hauelezeki....
Angalau wewe ndio umeweza kunishawishi nikakuelewa ila wale jamaa aisee daaah wakanichimba na biti eti halafu nilikua na safari ya ardhi na mzee ikabidi aende tu maana hata hewani sikuwa nikipatikanaYah ulipambana sana wangeweza kukufanyia consideration lakini tatizo kwenye issue kama hizo watu wanakuja kwa shughuli tofauti, wapo wanaotafuta kazi na wapo wanaokuja kwa 'kazi maalum'.
Kwa namna ulivyo penya hatua za awali huku jina sio lako, hata ingekuwa ni mimi ningekuchinjia baharini kwa usalama wangu, honestly ni ngumu sana mtu kukuamini kwenye mazingira hayo.
Lazma wakukate biti la maana ili kama umetumwa upeleke taarifa kuwa jamaa sio wa kisport sportAngalau wewe ndio umeweza kunishawishi nikakuelewa ila wale jamaa aisee daaah wakanichimba na biti eti halafu nilikua na safari ya ardhi na mzee ikabidi aende tu maana hata hewani sikuwa nikipatikana



Sio kwa roho zetu wabongo mkuuLazma wakukate biti la maana ili kama umetumwa upeleke taarifa kuwa jamaa sio wa kisport sport
Ila nadhani ungetafuta namna ya kufanya reconciliation mapema kuwa me sikuwa shortlisted lkn nimekuja tu kushow up kama mtakuwa impressed na mimi.
Na ungewaeleza mfano, nimekuja baada ya mwenzangu aliyekuwa shortlisted kupata kazi tayari na hivyo hana interest tena na kazi hii ndio maana in the first place niliingia kwa jina lake lkn me ni Mr. So and so na cv zangu hizi hapa, who knows.... may be ungeweza kuwa considered.