Habari wana JF, katika harakati za kutafuta ajira unaweza kupata nafasi ya kufanya interview kwa ajili ya ajira, share nasi interview ambayo hutokaa huisahau katika maisha yako
Mimi yangu ilikuwa hivi, baada ya kumaliza elimu ya sekondari na kutofanikiwa kuendelea na masomo kwa muda nikaamua nijikite kutafuta ajira, nilifanikiwa kufanya interview 2 ambazo sitokaa nizisahau
Ya kwanza ilikuwa tigo customers service wenyewe wanaita PCCI, nilikuwa na wenge sijawahi kufanya hizo mambo niliwahi mapema kabisa nilivyofika kwenye kile chumba nikakutana na wale wanaohoji wa 3 nikasema hapa nikichomoka sijui, nikaulizwa kwanini unaitaka hii kazi nikajibu kwa kuzunguka weee mara maisha ya mtaani magumu mara sina hela walibaki wanacheka tu na ndo ikawa tamati yangu
Ya pili kuna bro alikuwa Engineer alinifanyia mpango kwenye kampuni flani hivi ya ujenzi walikuwa wanataka Storekeeper, nikajua nitakuwa pekee yangu kufika nakuta tupo 2 mimi na mdada kuna jamaa mfanyakazi akasema tulitegemea aje mmoja lakini kama mpo wawili sio mbaya tutafanya ka interview kadogo, akaanza yule mdada baadae nikafata mimi baada ya mahojiano madogo nikatoka nikaambiwa nisubirie nje then akatoka akanambia kusema ukweli mdogo wangu interview umefaulu lakini wewe bado mdogo sana muachie yule dada hii kazi anamajukumu nikamwambia bro mimi mwenyew naitaka hii kazi akaondoka nilichukia nikamfikishia ujumbe yule bro aliyenipa mchongo akasema huyo jamaa anapenda sana wanawake huenda aliona ampe yule
Habari wana JF, katika harakati za kutafuta ajira unaweza kupata nafasi ya kufanya interview kwa ajili ya ajira, share nasi interview ambayo hutokaa huisahau katika maisha yako
Mimi yangu ilikuwa hivi, baada ya kumaliza elimu ya sekondari na kutofanikiwa kuendelea na masomo kwa muda nikaamua nijikite kutafuta ajira, nilifanikiwa kufanya interview 2 ambazo sitokaa nizisahau
Ya kwanza ilikuwa tigo customers service wenyewe wanaita PCCI, nilikuwa na wenge sijawahi kufanya hizo mambo niliwahi mapema kabisa nilivyofika kwenye kile chumba nikakutana na wale wanaohoji wa 3 nikasema hapa nikichomoka sijui, nikaulizwa kwanini unaitaka hii kazi nikajibu kwa kuzunguka weee mara maisha ya mtaani magumu mara sina hela walibaki wanacheka tu na ndo ikawa tamati yangu
Ya pili kuna bro alikuwa Engineer alinifanyia mpango kwenye kampuni flani hivi ya ujenzi walikuwa wanataka Storekeeper, nikajua nitakuwa pekee yangu kufika nakuta tupo 2 mimi na mdada kuna jamaa mfanyakazi akasema tulitegemea aje mmoja lakini kama mpo wawili sio mbaya tutafanya ka interview kadogo, akaanza yule mdada baadae nikafata mimi baada ya mahojiano madogo nikatoka nikaambiwa nisubirie nje then akatoka akanambia kusema ukweli mdogo wangu interview umefaulu lakini wewe bado mdogo sana muachie yule dada hii kazi anamajukumu nikamwambia bro mimi mwenyew naitaka hii kazi akaondoka nilichukia nikamfikishia ujumbe yule bro aliyenipa mchongo akasema huyo jamaa anapenda sana wanawake huenda aliona ampe yule dada kwa kusudi flani.
Wewe yako unayoikumbuka ilikuaje?
Nakumbuka nilidanya interview mwaka 2014 pale Sugar Board of Tanzania Sukari House na baada ya kufanya ile interview mdau mmoja akanitafuta siku kadhaa baadae akaniambia hongera kwa kupata kazi nikawa nasubiri mkataba ila kwa bahari mbaya yule Boss DG wa pale aliyekuwepo mwaka huo aliporudi akampa ile kazi dada mmoja ambaye baba yake alikuwa member wa Bodi of Directors wa pale. Basi nikasubiri weeeeeeeeeee sikuona kitu ikawa ndio nitolee ila alhamdulilah Mungu alisikia kilio changu na siku sio nyingi JPM akamla kichwa DG. Roho ikatulia
dada kwa kusudi flani.
Wewe yako unayoikumbuka ilikuaje?