Ya kukera yapo km matusi nk lkn siyapagi nafasi kbs kisa na mkasa loh!!Aiseeh uko vizuri basi
Nipo chini ya mti hapa nimejilaza kwenye mkeka na mto nimeegamia aku babu napata mburudiko tu jeiefuWapi huwa unaenda mkuu?
?????Ya kukera yapo km matusi nk lkn siyapagi nafasi kbs kisa na mkasa loh!!
Na hiyo ndio raha ya jamii forum pale unapocheka kwa kusoma tu
Mazuri ni mengi sanaKwa nini?
HahahahOhooo umeshaombwa pesa mara moja hii...ID yake please
mizonga>>>>MizingaHawa waomba pesa , maarufu kama wapiga mizonga huwa nawapenda sana,
Ni pm namba yake,
Ataliwa kwa gharama ya shilingi elfu ishirini ambayo ni pesa ya kulipia chumba na usafiri.
watu kwa Assist hawajamboHahahah



Sijawahi kumpa mwanamke ninaekutana naye mtandaoni zaidi ya 5000,na kuliwa analiwa bila shida..yaani wewe 20000, ila hongeraHawa waomba pesa , maarufu kama wapiga mizonga huwa nawapenda sana,
Ni pm namba yake,
Ataliwa kwa gharama ya shilingi elfu ishirini ambayo ni pesa ya kulipia chumba na usafiri.
Sema tu ni sehemu gani hapa public ndio utaona PM inavyopata Wateja..na ndio raha ya JF piaYan raha zote humu....Niko kwenye kabar kamtaani2 peke yangu hubby kasafiri napata vibia vya baridiiiii kamziki bila kusahau Jf yan macho yote kwenye cm![]()
HahahahahahSema tu ni sehemu gani hapa public ndio utaona PM inavyopata Wateja..na ndio raha ya JF pia
Joseverest, Hahaha naona mkuu umetoa la moyoniwatu kwa Assist hawajambo
ndio ukweli kabisa mkuu...watu wa assist nomaJoseverest, Hahaha naona mkuu umetoa la moyoni
Kumbuka kuwahi kurudi nyumbaniYan raha zote humu....Niko kwenye kabar kamtaani2 peke yangu hubby kasafiri napata vibia vya baridiiiii kamziki bila kusahau Jf yan macho yote kwenye cm![]()
Uwiiii sasa hivi narudiKumbuka kuwahi kurudi nyumbani