NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,288
- 12,789
Toka nijiunge JF miaka kenda sijawahi kuona thread yoyote ya kutoa pongezi kuwa mwanamke/mwanaume kapata mchumba humu Jamii Forums.
Huko kwenye jukwaa la love connect kuna nyuzi nyingi sana za wadada /wakaka wakitafuta wenza wao, tena wengine wakilalamika kabisa kuwa wameshaandika mara nyingi bila mafanikio yoyote.
NALIA NGWENA aka afsa ubashiri kama wanavyoniita huko Jukwaa la Michezo, na mimi niliona niandike uzi wa kutafuta rafiki/mchumba ili aje kutuliza moyo wangu na mimi mgumu nisuuzike nafsi.
Lakini Mambo hayakuwa kama nilivyotegemea /juhudi zangu ziligonga mwamba sikuona chochote kule Private message (PM) kiufupi ni empty set tu.
Nilibadili gia nikaona labda wadada hawataki bado wanakula ujana, nikachenji gia nikaandika namtaka mama wa makamo lakini juhudi zangu hazijazaa matunda sijaona chochote Pm, zaidi ya kushambuliwa na vijana wa hovyo wakisema kuwa nataka kitonga/ mama wakunilea ili apunguze ukali wa maisha yangu.
Kama Kuna wadada/wakaka walishafanikiwa kupata wachumba humu waje hapa wanipe morali mgumu NALIA NGWENA na wenzangu tunaotafuta mbususu humu kwa udi na uvumba ili tutulize mioyo yetu swafi kabisa, waje kutoa ushuhuda hapa, au hakuna kinachoendelea humu nikucholana tu nakuchekana tuambiane tujue jamani.
Huko kwenye jukwaa la love connect kuna nyuzi nyingi sana za wadada /wakaka wakitafuta wenza wao, tena wengine wakilalamika kabisa kuwa wameshaandika mara nyingi bila mafanikio yoyote.
NALIA NGWENA aka afsa ubashiri kama wanavyoniita huko Jukwaa la Michezo, na mimi niliona niandike uzi wa kutafuta rafiki/mchumba ili aje kutuliza moyo wangu na mimi mgumu nisuuzike nafsi.
Lakini Mambo hayakuwa kama nilivyotegemea /juhudi zangu ziligonga mwamba sikuona chochote kule Private message (PM) kiufupi ni empty set tu.
Nilibadili gia nikaona labda wadada hawataki bado wanakula ujana, nikachenji gia nikaandika namtaka mama wa makamo lakini juhudi zangu hazijazaa matunda sijaona chochote Pm, zaidi ya kushambuliwa na vijana wa hovyo wakisema kuwa nataka kitonga/ mama wakunilea ili apunguze ukali wa maisha yangu.
Kama Kuna wadada/wakaka walishafanikiwa kupata wachumba humu waje hapa wanipe morali mgumu NALIA NGWENA na wenzangu tunaotafuta mbususu humu kwa udi na uvumba ili tutulize mioyo yetu swafi kabisa, waje kutoa ushuhuda hapa, au hakuna kinachoendelea humu nikucholana tu nakuchekana tuambiane tujue jamani.