lup
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 2,514
- 2,743
Mimi niko hapa kwenye mawe marefu karibu na ziwa huku kabaridi kanapiga,Niko pekee yangu na ka huawei kangu,
Napitia jamii forum pole pole ili kuiweka siku yangu ya furaha,nakuta nyuzi mpya na za zamani pia naanzisha zangu na watu wa maeneo tofauti tunaanza kujibisha kwa heshima halafu ghalfa naingia PM, nakuta ujumbe mpya safi...
Tunajikuta tunajibisha na kujenga urafiki wa nyuma ya keyboard..
Shida kubwa ni pale mtu anaku-PM halafu ujumbe wa tatu tu anakutumia namba na mzinga wa 10,000/- yaani najiuliza kuchati na wewe tu lazima nilipie ..
JAMII FORUM BWAANA RAHA SANA.

Napitia jamii forum pole pole ili kuiweka siku yangu ya furaha,nakuta nyuzi mpya na za zamani pia naanzisha zangu na watu wa maeneo tofauti tunaanza kujibisha kwa heshima halafu ghalfa naingia PM, nakuta ujumbe mpya safi...
Tunajikuta tunajibisha na kujenga urafiki wa nyuma ya keyboard..
Shida kubwa ni pale mtu anaku-PM halafu ujumbe wa tatu tu anakutumia namba na mzinga wa 10,000/- yaani najiuliza kuchati na wewe tu lazima nilipie ..
JAMII FORUM BWAANA RAHA SANA.

kawaida mkuu