Tulilukuwa tukiwasiliana kwa Kiswahili kabla ya nyerere!Baba wa Taifa kwako na familia yako. Nachojivunia kwake ni kutuunganisha kuwa lugha moja ila ana UCHAFU mwingi kuliko Usafi.
Baba wa Taifa kwako na familia yako. Nachojivunia kwake ni kutuunganisha kuwa lugha moja ila ana UCHAFU mwingi kuliko Usafi.
watu wenye akili fupi kama yako hamtakiwi kwenye jamii ya watu wastaarabu, kama nchi ni ya kikristu inakuwaje rais ni mwislamu ? acha kuiga mawazo mgando
You cant tell me what to do! I am Tanzanian born and bred!
I have all the rights to say what I believe to be right!
Wewe kama unataka kutukuza udhalimu basi endelea! Mimi nasema kilicho haki!
Nyerere alikuwa ni mdini mkubwa na mvujaji wa haki za binaadamu!
Alipanga sheria kwenye bunge lililoko chini yake za kunyanyasa watu na kufunga watu jela BILA KUPITIA MAHAKAMA!
Familia zilikosa wazazi kwa sababu yake!
Leo mnakusanyika kumtukuza muovu??
Hata aibu hamuoni? Au mnata kusema haya madai yangu ni ya uongo?
Sasa sijui baina yangu mimi na wewe NI NANI MWENYE MAWAZO MGANDO??
WAPI.MIMI NIMESEMA TANZANIA NI NCHI YA KIKRISTO??
Basi Ndugu yangu unadandia treni kwa mbele! Si utakufa??
Narudia tena! Nyerere ndio muasisi wa MFUMO KRISTO! na ndio maana leo unaskia KANISA KATOLIKI LIMEMPA CHEO CHA HERI HERI!
NA WANATAKA KUMPA "UTAKATIFU"
We unadhani utakatifu anapewa kiongozi yyt wa nchi??
Sharti moja la kupewa UTAKATIFU NI KUWA" LZM UWE DEDICATED KTK MAISHA YAKO YOTE KWA AJILI YA KANISA!
Sasa kama huna elimu hio Nenda kapate elimu kwanza kabla ya kuingia kwenye thread usio iweza!
utakatifu anapewa mtu yeyote aliyeishi maisha mazuri, hata kama ni wewe ukiwa mkristu na ukaishi maisha ya ukristu vizuri unaweza ukawa mtakatifu, niambie kitu gani alichokifanya nyerere kibaya hasa cha kubagua dini hasa uislam
hapo kwenye red hujamtaja jina mtu wa kanisa aliyepewa kitengo na nyerere, vilevile nyerere ni mkatoliki kwa nini asingemuweka mkatolik maana luthereni siyo kanisa la nyerere. Pia unaposema sehemu nyingi wakristu wamejaa hapo nakubaliana kwa kuwa kwanza dini hizi mbili zililetwa na waarabu na wazungu. Tuangalie philosopy ya watu hawa katika suala la elimu. Wazungu (missionaries) walipokuwa wakijenga kanisa walijenga shule wakiamini kuwa mumini ili aelewe biblia lazima ajue kusoma lakini kwa waarabu walijenga misikiti na madrasa. Mh Kikwete mwenyewe kasomea misheni shule za kikristu, kwa hiyo uwingi wa wakristu enzi hizo katika idara mbalimbali tunaweza kutizama katika mtizamo huo na siyo kulikuwa na ubaguzi wa kidiniNtajaribu kukupa muangaza kidogo tu!
Wa namna huyo baba yako wa taifa alivyo wabagua WAISLAMU!
Sidhani kama wewe binafsi umeshawahi kuudadavua vema HUU MFUMO KRISTO KAMA ULIVYO.
NAKUOMBA UFUATANE NA MIMI KTK TAKWIMU ZIFUATAZO:-
kwanza kabisa hebu turudi nyuma kidogo!
Katika mwaka wa 1981 kumenukuliwa ktk kitabu kiitwacho " DEVELOPMENT AND RELIGION IN TANZANIA" by R.Bagan UKURASA WA 335 MATAMSHI YA NYERERE KAMA IFUATAVYO;-
"..I AM LAYMAN BUT I TRY TO DO WHAT I CAN AND WILL NOT GO AGAINST MY OWN CHURCH, I WANT TO GIVE CHURCH A BETTER CHANCE HERE, TELL THE BISHOPS THAT I HAVE ESTABLISH IN TANU A DEPARTMENT IN POLITICAL AND EDUCATIONS AND I HAVE PUT A LUTHERAN MINISTER INCHARGE, HE WAS NOT A GREATER POLITITION BUT A CHOSE HIM BECAUSE OF HIS STRONG CHRISTIAN FAITH "
MAANA YAKE" MIMI SI MJUZI WA DINI LKN HUWA NAFANYA KILE NIWEZACHO NA KAMWE SIWEZI KWENDA KINYUME NA KANISA LANGU, NATAKA KULIPA KANISA NAFASI BORA HAPA, WAAMBIE WACHUNGWAJI NIMEANDISHA IDARA KTK TANU IITWAO SIASA NA ELIMU NA NIMEMTEUA WAZIRI WA DHEHEBU LA KILUTHERAN KUWA MSIMAMIZI, NA HAKUWA MWANA SIASA HODARI BALI NIMEMCHAGUA KWA UIMARA WA IMANI YAKE YA KIKRISTO."
Sasa hapa NDUGU YANGU unaona waziwazi kuwa RAIS WA NCHI anaanzisha wizara KWA AJILI YA KULIPA NAFASI BORA KANISA na kumkabidhi Mtu, si kwa uhodari wake KISIASA, LA HASHA BALI KWA UIMARA WA IMANI YAKE YA KIKRISTO.
Tukiendelea na takwimu sasa;-
takwimu hizi NI MPAKA 2011,
TAZAMA CHEO NA JUMLA YA NAFASI SERIKALINI
UKAMISHNA- 1
WAKRISTO 1 WAISLAMU 0
WAKURUGENZI 9
WAKRISTO 7 WAISLAMU 2
NAIBU WAKURUGENZI 8
WAKRISTO 7 WAISLAMU 1
WAKAGUZI WAKUU WA KANDA. 11
WAKRISTO 10 WAISLAMU 1
MAAFISA ELIMU WA MIKOA 21
WAKRISTO 16 WAISLAMU 5
MAAFISA ELIMU WA WILAYA 125
WAKRISTO 102 WAISLAMU 23
UONGOZI WA TAASISI VYUO VIKUU 25
WAKRISTO 23 WAISLAMU 2
WAKUU WA SHULE DARESALAAM 11
WAKRISTO 11 WAISLAMU 0
WAKUU SHULE ZA KATA 215
WAKRISTO 200 WAISLAMU 15
SASA Ndugu yangu HEBU TUHAMIE KWENYE NGAZI ZA JUU SERIKALINI!.
Tuanze na NECTA (BARAZA LA MITIHANI LA TAIFA} LILILOANZISHWA 21/11/1973.
NAFASI YA WENYEKITI WA BARAZA HILI TOKA LIMEANZISHWA NI KAMA IFUATAVYO;-
1973-1977 PIUS MSEKWA.
1977-1980 I.M.KADUMA
1980-1988 N.A KUHANGA.
1988-1992 PROFESA G.R.V MMARI.
1992-1999 M.L. LUHANGA
1999-2004 PROFESA G.R.V.MMARI.
2004-2007 E.MWAIKAMBO
2007-2011 R,A,MKANDALA.[/B]
Kwa kifupi toka baraza la mitihani la taifa mpaka leo HAKUNA MUISLAMU ALISHAWAHI KUWA MWENYEKITI WA BARAZA HILO!!
HIZI NI TAKWIMU NIMEMALIZIA MPAKA 2011. Na sidhani kama kuna haja ya kukuongezea DATA ZAIDI! ZA MANAIBU NA KUENDELEA MBELE! ALMOST WOOTE NI WAKRISTO.
Hapa nilitaka kukuonjesha kidogo tu UONE NAMNA MFUMO KRISTO ULIVYO WABANA WAISLAMU KWA MIAKA MINGI SANA HASSA KWENYE NYANJA YA ELIMU.
Watu wengi wasio na elimu hukimbilia kusema kuwa WAISLAMU HAWAJASOMA! KWA HIVYO HAWASTAHIKI NAFASI KAMA HIZI!!
Ukitizama hoja hii utakuwa kuwa SIO KWELI KABISA! Tunao MAPROFESA WENGI TU WA KIISLAMU TANZANIA AMBAO HAWAKUPEWA NAFASI HATA KIDOGO HASA KTK NYANJA HII MUHIMU YA ELIMU.
NA HILI NI MOJA YA SERA ZA MFUMO KRISTO,
Ukishaweza kubana watu kwenye elimu basi ni raisi sana kuwamiliki utakavyo.
sasa hapa nimekuonjesha tu kidogo namna ya HUYO MTAKATIFU WAKO AMBAE AMEISHI MAISHA MAZURI ALIVYO WAFANYA WAISLAMU KTK SEKTA MOJA TU!
HAPO BADO KUNA NYANJA ZINGINE KAMA 19 AMBAZO SINA MUDA WA KUDHIORODHESHA ZOTE HAPA!
Kama ulikuwa hufahamu ukweli! Basi usichukue maneno yangu tu! NENDA KAFANYE UTAFITI MWENYEWE! UONE KAMA DATA HIZI NI ZA UONGO!
I HOPE YOU WILL UNDERSTAND WHY THAT BABA OF YOURS DOESN'T DESERVE ANY PRAISES!
ZeMarcopolo,
Mawazo yako ni ya kipuuzi. Josephine ni mke wangu. Hata mkisema namna gani hakuna atakayebadilisha kwa kuwa ndoa ni kati ya watu wawili. Mungu tu ndiye atakayehukumu kwa kuwa ndiye anayejua nafsi na mioyonya wanaoingia kwenye Mkataba. Mnapoteza muda kuzungumzia ndoa ya Slaa na Josephine, wakati jamii ya watanzania wanamkubali na wamempokea Josephine Kama Mke wa Dr Slaa. Ni watu Kama wewe na CCM waliofanya kila jitihada kwenye magazeti na hata kusukuma watu kwenda mahakamani. Hayo yote hayabadilishi status ya Slaa na Josephine.
Pili, swala la Josephine kuingilia masuala ya Chadema, tafadhali kwa manufaa ya wasomaji wa JF na wanachadema kwa ujumla weka hadharani ni masuala gani ameingilia, na ni kifungu gani cha Katiba kimevunjwa. Kwa wengi msiofahamu, Josephine ni mwanaharakati tangu kabla hatujafahamiana. Matunda ya kazi zake yanaonekana kwenye mitaa ya Keko, Kinondoni, na Kimaria. Dr Slaa ni mwana demokrasia, na Siko tayari kuzuia vipaji na wito wa mtu. Shughuli hizo zinategemea moyo wa mtu na Mungu wake, ndio maana si kila mtu anaweza kufanya kazi hizo. Kama ambavyo ninawashawishi, ninawasukuma, ninawajenga uwezo watanzania mbalimbali kuwahudunia watanzania wenzao, kuwashirikisha watanzania katika ujumla wao katika kazi ya ukombozi wa Taifa letu. Kila mmoja wetu ni sawa na pingili ya Chain, na wote tunahitajiana. Asiyepingana na sisi yuko na sisi, alimradi kila mmoja wetu anatumia karama alizopewa na Mwenyezi Mungu. Wote tukiwa wanyenyekevu na kutambua Hilo kazi ya ukombozi itakuwa nyepesi.
Swala la Josephine kutumia ID ya Dr Slaa, is a none Issue. Rudi kwenye post ya Josephine. Alieleza kuwa Hana access ya Internet kwenye IPAD yake. Alikuwa mnyofu kuwa julisha wasomaji na japo ID ni ya Dr Slaa, akasaini Kama Josephine. Sasa hapo issue nini? Kama kuna agenda nyuma ya hapo si itamkwe wazi badala ya kuzunguka zunguka. Ni kukosa uadilifu kutunga mambo ya kipuuzi dhidi ya mtu mwingine. Ustaarabu nimkuwa Kama mtu hakuelewa alikuwa na haki ya kuuliza lakini siyo kuhukumu, navkueneza propaganda. Katika dini zetu umbea, majungu na kudanganya au kupotosha ni dhambi. Kama kweli kuna nia njema ni muhimu kuwa wakweli na wawazi katika yote tunayofanya. Ukweli na uwazi hutufanya kuwa na uhuru wa kweli vinginevyo mtaendelea kuishi katika unafiki na utumwa wa nafsi zenu wenyewe. Nimetumia lugha kali kwa kuwa hoja za kipuuzi zinapoteza muda bila sababu, muda ukipotea kwa umbeya na majungu tunapoteza fursa za kujenga Taifa letu ambalo kila Leo linazidi kutumbukia kwenye umaskini na kero mbalimbali. Tunahitaji kuweka nguvu pamoja, bila kujali itikadi kupambana na kero ili tujenge Taifa letu. Hakuna atakayejenga Tanzania isipokuwa Watanzania,lakini watanzania watakaojenga Taifa Lao siyo haw a ambao kila kukicha wanazungumza watu, tena kwa kuchanganya uwongo na propaganda. Kama kila anayechangia angetumia sehemu ndogo sana ya ubongo wake constructively, Tanzania ndani ya muda mfupi sana itajikomboa. Amerika iliendelea kiuchumi, kimaendeleo kwa kuwa hawana muda na majungu, umbeya wala upuuzi tunaosoma kila Leo kwenye Mitandao na hasa JF. Kila mmoja anatumia muda alionao kujiendeleza na kuendeleza Taifa lake. Mitaani hutaona ushabiki na propaganda za vyama, ndio hakuna ushabiki wa kushindania bender za vyama, badala karibu kila nyumba inapepea bendera ya Taifa Lao America. Watu wako proud na Taifa Lao na union wazi kwa jinsi wanavyosifia kila kitu cha kwao. Tujifunze hatujachelewa, tubadilike vinginevyo watoto na wajukuu watatulaani kwa kutokuwajengea mazingira mazuri Kama Mungu alivyokusudia.
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...na-tuchore-mstari-tuseme-yatosha-sasa-10.html
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kwa kweli tuna kuenzi kwa mambo mengi sana lakini binafsi nianze na haya lakini wana CCM wenzangu watanikumbusha mengine.
Mwalimu naona nisikuchoshe ngoja wengine waje waongezee kama hawatagafilika wakaanza kupolomosha mimatusi kama wabunge wao...
Mafanikio gani unayo yaongelea hapa!
Hebu tafadhali usichafue mazingira hapa!
Kupanga foleni ya unga wa njano ndio mafanikio hayo?
Kugawiwa sukari nusu kilo kwa mwenzi ndio mafanikioa hayo??
Kunyimwa uhuru wa kuikemea serikali na watu kutiwa mahabusu miaka chungu mzima ndio mafanikio hayo!?
Kutuletea MFUMO.KRISTO ndio mafanikio hayo??
Ustake kunchafua hapa! Baadhi ya Wenzetu wa Afrika wameanza kuona matunda ya uhuru mara baada tu ya wakoloni kuondoka!
Sisi badala ya kufurahi wakoloni kuondoka! Wazee wetu walinza kulaani namna serikali chini ya uongozi wa huyo mkatoliki ilivyo kuwa ina wanyanyasa!
Walitamani waingereza warudi kuendelea kuwatawala!
Sasa usiongee vitu kama huna kichwa!!
Maneno meeeengi lkn kwa mtanzania mwenye kuufahamu ukweli haya maana yoyote ! Na ni uongo mtupu!
We unamsifia MDINI? NA MBAGUZI?
Nyerere ktk umri wake toka baada tu ya kupata uhuru YYT ASIEKUWA.MKRISTO KWAKE ALIKUWA NI UCHAFU TU!
Kanisa aliliweka.mbele mpaka kwenye ruzuku za serikali.
We kaa ukijaribu kudanganya watu kuwa Nyerere alikuwa mwema!
Yule alikuwa ni nyoka anae kuuma huku anakupuliza! Anakuchekea hadharani akiingia ndani anakuwekea sumu kwenye chakula!
Ikiwa unampenda kiasi cha kutetea uovu wake hadharani namna hii! Basi mfate huko KUZIMU.
Wewe ni mwalimu wa kigalatia ambae usingefika kumsifia huyu muovu ispokuwa ule MFUMO KRISTO aliuacha umekufikisha hapo ulipo na kwa kuandika description zako na wapi unapatikana NI MOJA YA KUTAFUTA SIFA ZISIZO KUWA NA MAANA!
Ukitetea uovu basi iko siku utakudhuru wewe au kizazi chako! Watch out!!
Ntajaribu kukupa muangaza kidogo tu!
Wa namna huyo baba yako wa taifa alivyo wabagua WAISLAMU!
Watu wengi wasio na elimu hukimbilia kusema kuwa WAISLAMU HAWAJASOMA!
Ukishaweza kubana watu kwenye elimu basi ni raisi sana kuwamiliki utakavyo.
Baada ya kuona idadi ya waislamu kuringanisha na wakristo inapungua kadri level ya elimu inavyoongezeka,mfano ni asilimia 15 tu ya wanafunzi wa elimu ya juu walikuwa waislamu,chuo kikuu cha UDSM kilifanya utafiti kubaini sababu ya mdororo huo. Iligundulika kuwa mfumu wa elimu wa sasa unawaathiri sana watoto wa kiislamu. Wakati mtoto hujenga uelewa wake awapo rika la shule ya msingi,miaka 6 mpaka 15 hivi,mtoto wa kiislamu hujikuta katika mifumo miwili ya Elimu inayokinzana,yaani SHULE NA MADRASA.Mwangalie mtoto wa darasa la kwanza;
- Shuleni anajifunza kuelewa,madrasa anafundishwa kukariri
- Shuleni anafundishwa kusoma Kiswahili,Madrasa anafundishwa kusoma kiarabu
- Shuleni anafundishwa kuandika herufi zilizoachana, Madrasa wanafundishwa maandishi yaliyoshikana
- Shuleni anaandika toka kushoto kwenda kulia,madrasa anatoka kulia kwenda kushoto
- Shuleni anajifunza elimu dunia, Madrasa anajifunza elimu akhera, n.k.
Kutokana na umri mdogo alionao, mzigo huu unamzidi uwezo,mtoto hulazimika kuelekeza nguvu zaidi upande ambao wazazi wake wanapendelea.Idadi kubwa ya wazazi hupendelea Madrasa,watoto wakifanya vyema kwenye elimu akhera husifiwa sana,lakini akifanya vyema shuleni na kuboronga madrasa huadhibiwa.Mazingira haya ni tofauti kwa mtoto wa kikristo,anachosoma sundayschool humsaidia darasani,maana husoma na kuandika kwa kiswahili.
wataalamu walipendekeza kuwa ikiwezekana,watoto waanze madrasa darasa la sita,na kama haiwezekani basi katika hatua za awali wasome na kuandika kwa kiswahili.Bahati mbaya pendekezo hilo lilikataliwa.Maamuzi mbadala yalifanyika wakati wa utawala wa Mwinyi ukiwepo uamuzi uliowanufaisha sana wakristo wa kuruhusu vyuo vikuu vya watu binafsi.
Utafiti uliofanyika hivi karibuni umeonyesha kuwa idadi ya wakristo wanaohitimu vyuo vikuu imeongezeka sana kulinganisha na waislamu. Vyuo vikuu vya serikali vimejaza wakristo,hata vyuo vya kidini wamejaa wakristo,seminari nzuri za kiislamu kama FEZA wamejaa wakristo,na hali huenda ikawa mbaya zaidi baada ya serikali kurudisha mitihani ya kuchuja ya darasa la 2, 4, na kidato cha pili. Amini usiamini kipindi pekee walichosoma sana waislamu kulinganisha na wakristo ni cha utawala wa Mwalimu Nyerere.
Haisaidii kutumia jazba kutatua tatizo hili,wakati mnamlaumu Nyerere,wakristo wanasonga mbele.Wakati mnatembea wenzenu wanakimbia. Adui mkubwa wa waislamu ni yule anayewaambia uongo kuwa sasa wanasoma wakati idadi yao inazidi kushuka.Ni vema wakatafakari upya pendekezo la wasomi wa UDSM. TAFAKARI