Video: Dr. Slaa ndani ya Washington D.C., USA

Video: Dr. Slaa ndani ya Washington D.C., USA

Ili watu waamini kuwa ni kauli za Slaa inabidi awe anahojiwa live tu. Akiandika kwenye mitandao watu hawawezi kujua kama ni yeye au Josephine.

Umeonae , hizi habari za kutuandikia kwenye mitandao si upuuzi huu kwani anaogopa ni kuwa live.
 
Mahojiano na Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr. Willbrod Slaa Part 1 - YouTube
Mahojiano na Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr. Willbrod Slaa Part 2 - YouTube

JE UNADHANI NI MOJA YA AINA YA VIONGOZI MAKINI TUNAOHITAJI NA TUTAKAOJUTA TUKIWAKOSA KATIKA TANZANIA YA LEO HASA KWA MABADILIKO MAKUBWA NA YA HARAKA TUNAYOHITAJI ILI KWENDA SAMBAMBA NA MABADILIKO YA KIUCHUMI NA USAWA KWA WATANZANIA WOTE. TOA MAONI YAKO KAMA MTU MAKINI USIYESUKUMWA NA USHABIKI WA KICHAMA, KIMASLAHI AU MAKUNDI YENYE MALENGO TOFAUTI KWA MAENDELEO YENYE USAWA KWA WATANZANIA WOTE.
Mahojiano na nani, what a partial topic is this?
 
Ili watu waamini kuwa ni kauli za Slaa inabidi awe anahojiwa live tu. Akiandika kwenye mitandao watu hawawezi kujua kama ni yeye au Josephine.

Mkuu...kwa hili unayo point...yulw mwanamke amenisikitisha sana..alafu bado hatambui kama amekosea anadharau watu anawaita wajinga...ameniudhi sana.Ninaamini kwa asilimia 70 ID ya dr slaa hua anaitumia huyo mwanamke..kwa sababu hata flow ya mawazo inakuwa haina akili
 
Mkuu...kwa hili unayo point...yulw mwanamke amenisikitisha sana..alafu bado hatambui kama amekosea anadharau watu anawaita wajinga...ameniudhi sana.Ninaamini kwa asilimia 70 ID ya dr slaa hua anaitumia huyo mwanamke..kwa sababu hata flow ya mawazo inakuwa haina akili

utakuwa unaumwa mavi wewe gamba
 
Wala hata hajasikiliza kitu, hawa si unajua ni kama misukule tu, wapo hapa kusifia na kutetea wakiongoza na mbeba sumu

njaa mbaya wewe gamba,propaganda za kijinga haziwasaidii kitu.2015 tunakata ngebe
 
Ajibu kwanza shutuma dhidi ya josephine hapa

wakati mnahangaika na mitandao,sisi tupo field tunamwaga sumu.tunawaelewesha watz juu ya hujuma zenu katika mustakabali wa maisha yao.2015 tunamaliza kazi
 
Hotuba imetulia kwani inatetea Watanzania. Nashindwa kuwaelewa Vibonzo wanaoponda hata kabla hawajasikiliza.

Ningelimuunga mkono hata Ndungai, Lusinde, Lowassa nk kama angelisimama na kutetea Watanzania na kukemea maovu.
 
ZeMarcopolo,
Mawazo yako ni ya kipuuzi. Josephine ni mke wangu. Hata mkisema namna gani hakuna atakayebadilisha kwa kuwa ndoa ni kati ya watu wawili. Mungu tu ndiye atakayehukumu kwa kuwa ndiye anayejua nafsi na mioyonya wanaoingia kwenye Mkataba. Mnapoteza muda kuzungumzia ndoa ya Slaa na Josephine, wakati jamii ya watanzania wanamkubali na wamempokea Josephine Kama Mke wa Dr Slaa. Ni watu Kama wewe na CCM waliofanya kila jitihada kwenye magazeti na hata kusukuma watu kwenda mahakamani. Hayo yote hayabadilishi status ya Slaa na Josephine.

Pili, swala la Josephine kuingilia masuala ya Chadema, tafadhali kwa manufaa ya wasomaji wa JF na wanachadema kwa ujumla weka hadharani ni masuala gani ameingilia, na ni kifungu gani cha Katiba kimevunjwa. Kwa wengi msiofahamu, Josephine ni mwanaharakati tangu kabla hatujafahamiana. Matunda ya kazi zake yanaonekana kwenye mitaa ya Keko, Kinondoni, na Kimaria. Dr Slaa ni mwana demokrasia, na Siko tayari kuzuia vipaji na wito wa mtu. Shughuli hizo zinategemea moyo wa mtu na Mungu wake, ndio maana si kila mtu anaweza kufanya kazi hizo. Kama ambavyo ninawashawishi, ninawasukuma, ninawajenga uwezo watanzania mbalimbali kuwahudunia watanzania wenzao, kuwashirikisha watanzania katika ujumla wao katika kazi ya ukombozi wa Taifa letu. Kila mmoja wetu ni sawa na pingili ya Chain, na wote tunahitajiana. Asiyepingana na sisi yuko na sisi, alimradi kila mmoja wetu anatumia karama alizopewa na Mwenyezi Mungu. Wote tukiwa wanyenyekevu na kutambua Hilo kazi ya ukombozi itakuwa nyepesi.

Swala la Josephine kutumia ID ya Dr Slaa, is a none Issue. Rudi kwenye post ya Josephine. Alieleza kuwa Hana access ya Internet kwenye IPAD yake. Alikuwa mnyofu kuwa julisha wasomaji na japo ID ni ya Dr Slaa, akasaini Kama Josephine. Sasa hapo issue nini? Kama kuna agenda nyuma ya hapo si itamkwe wazi badala ya kuzunguka zunguka. Ni kukosa uadilifu kutunga mambo ya kipuuzi dhidi ya mtu mwingine. Ustaarabu nimkuwa Kama mtu hakuelewa alikuwa na haki ya kuuliza lakini siyo kuhukumu, navkueneza propaganda. Katika dini zetu umbea, majungu na kudanganya au kupotosha ni dhambi. Kama kweli kuna nia njema ni muhimu kuwa wakweli na wawazi katika yote tunayofanya. Ukweli na uwazi hutufanya kuwa na uhuru wa kweli vinginevyo mtaendelea kuishi katika unafiki na utumwa wa nafsi zenu wenyewe. Nimetumia lugha kali kwa kuwa hoja za kipuuzi zinapoteza muda bila sababu, muda ukipotea kwa umbeya na majungu tunapoteza fursa za kujenga Taifa letu ambalo kila Leo linazidi kutumbukia kwenye umaskini na kero mbalimbali. Tunahitaji kuweka nguvu pamoja, bila kujali itikadi kupambana na kero ili tujenge Taifa letu. Hakuna atakayejenga Tanzania isipokuwa Watanzania,lakini watanzania watakaojenga Taifa Lao siyo haw a ambao kila kukicha wanazungumza watu, tena kwa kuchanganya uwongo na propaganda. Kama kila anayechangia angetumia sehemu ndogo sana ya ubongo wake constructively, Tanzania ndani ya muda mfupi sana itajikomboa. Amerika iliendelea kiuchumi, kimaendeleo kwa kuwa hawana muda na majungu, umbeya wala upuuzi tunaosoma kila Leo kwenye Mitandao na hasa JF. Kila mmoja anatumia muda alionao kujiendeleza na kuendeleza Taifa lake. Mitaani hutaona ushabiki na propaganda za vyama, ndio hakuna ushabiki wa kushindania bender za vyama, badala karibu kila nyumba inapepea bendera ya Taifa Lao America. Watu wako proud na Taifa Lao na union wazi kwa jinsi wanavyosifia kila kitu cha kwao. Tujifunze hatujachelewa, tubadilike vinginevyo watoto na wajukuu watatulaani kwa kutokuwajengea mazingira mazuri Kama Mungu alivyokusudia.


Ili watu waamini kuwa ni kauli za Slaa inabidi awe anahojiwa live tu. Akiandika kwenye mitandao watu hawawezi kujua kama ni yeye au Josephine.
 
Dr.W.Slaa,

Hayo mengine yote uliyoeleza hapo kwenye jibu lako kwangu nimetafsiri kama ni kuhalalisha udhaifu wako kwa Josephine na tatizo kubwa ninaloliona ni kutokana na wewe kuwa nje ya mambo ya mahusiano na mwanamke kwa kipindi kirefu kutokana na shughuli zako za kanisani. Ila moja la msingi ambalo umeligusia ni hilo la kuacha ushabiki wa kisiasa na kujikita kwenye kuijenga nchi.

Hapa nadhani wewe ndio uwe mstari wa mbele kuelimisha makamanda hasa Mbowe, Lissu, Mnyika na Msigwa kuwa waache maandamano yao na badala yake wahamasishe wananchi kujibidiisha kwenye kazi, kujipatia kipato na kujiletea maendeleo. Hapa ndipo nitaona umuhimu wa ziara yako nchini Marekani, otherwise, its a bullshit.
 
Last edited by a moderator:
Wewe nawe akili yako ndogo...unafikiri kila mtu anaefikiria objectively ni gamba...badilikeni vijana muone mambo kwa upana wake.

Mkuu watu hawataki kuhojiwa asilani,ukitaka kufikiria nje ya box tu basi utakutana na kashfa na kupewa uanachama wa chama hapo hapo..it is good pia kujua ukweli wa nafsi za watu!!!!!!

Hii ndio aina ya watu wanaotaka kupewa nchi,jazba na name calling ndio ajenda,inasikitisha sana kuona mapenzi ya chama yanatumika kuziba mianya ya kujua ukweli.
 
Ajibu kwanza shutuma dhidi ya josephine hapa

Kwani na wewe unamtamani josephine..?Mbona upo obsessed sana na mama yako..?Hii ndio shida ya vijana na wazee wa CCM kula viagra ,cholestrol na streroids nyingine bila mpangilio..akili zao huwa zipo sehemu isisyo sahihi...muda wote ni milipuko,mihemko na mambo yasiyotokana na fikra.
 
Back
Top Bottom