The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 18,159
- 51,092
Aisee!Sasa kwanini ubahatishe na hizo chanjo wakati kinga ya asili " nyungu" ipo?
Aisee!Sasa kwanini ubahatishe na hizo chanjo wakati kinga ya asili " nyungu" ipo?
Mkuu kachukue ubongo wako kwa jiwe, unapata tabu sana kuishi bila ubongo hata kama ni ajiraHizo chanjo hazina uhakika wa 100%
Ngoja waendelee na majaribio kwanza!
Yule jamaa mwenye PhD fake mbona huwa unasema ni mwanasayansi, au huwa unaongopa ili mkono uende kinywani?Afrika kuna wanasayansi bwashee?
Labda ile Afrika ya waarabu.
Wewe unayemuelekeza mbona haueleweki.sema "nataka chanjo ya covid 19!"
Bwashee nenda China chanjo wanazo za kuwatosha Ufipa wote bila malipo!Kelele za chuLA hazimzuii mamba kunywa mayi , chanjo itakuja tuu...
Utasafiri na nyungu zako!Jana nimesikia ktk taarifa ya Habari Raisi wa EU (umoja wa ulaya) akisisitizwa kuanzishwa HARAKATI kwa sheria ya ‘chanjo ya COVID 19’ kwa wasafiri watakao ingia kwenye nchi hizo ili kulinda raia wao,nikawaza kwa sauti sheria hii inaweza kuwa na Athari gani kwa nchi zilizoamua njia tofauti ?
Mbona una upeo mdogo wa kufikiri!Mbona haueleweki, lengo la Post yako ni nini.
Jikinge bwashee at least hutakufa kibudu.Sikiliza video hii hadi mwisho kila utaamua mwenyewe, kama chanjo ni muhimu au sio muhimu.View attachment 1716174
Sitaki kurumbana nawe, tafuta anayejua matumizi ya alama ! Akueleweshe. Sawa nina uwezo mdogo wa kufikiri, wewe nani alikuambia tunataka chanjo ya Corona na umeamua kumshangaa, vinginevyo ondoa ! Ili nikuelewe.Mbona una upeo mdogo wa kufikiri!
Hata ulichoandika hakieleweki.Sitaki kurumbana nawe, tafuta anayejua matumizi ya alama ! Akueleweshe. Sawa nina uwezo mdogo wa kufikiri, wewe nani alikuambia tunataka chanjo ya Corona na umeamua kumshangaa, vinginevyo ondoa ! Ili nikuelewe.
Jo wewe ni kiazi mbatata ujueBwashee nenda China chanjo wanazo za kuwatosha Ufipa wote bila malipo!
Ondoa alama !, hii ni alama ya mshangao ili hoja yako isiwe mshangao, unapoelekezwa kubali makosa na fuata maelekezo, ujuaji mwingi hausaidii.Hata ulichoandika hakieleweki.
Kaa chini fikiri kwanza.
Mie niliugua bila kujua ila nilikuja kujua baadae kuwa kutokusia harufu ni dalili ya covid, so kwangu covid sio tishio, malaria ndio hatariJikinge bwashee at least hutakufa kibudu.
Ulipata ya mwaka jana.Mie niliugua bila kujua ila nilikuja kujua baadae kuwa kutokusia harufu ni dalili ya covid, so kwangu covid sio tishio, malaria ndio hatari