Na kilimo ilisemaje? hatukuwa na shida ya ndege wala airport huko Chato. Kama kuna waliokuwa wanapanda ndege kwa laki 9, hao ndio mafisadi wenyewe.Ilani ya Ccm iliseahje kuhusu miundombinu?
Kweli mini nilimsikia alipohutubia bunge kuwa baada ya "kutangazwa mshindi" akisema amejipa kazi ya kututumbua. Na kweli hili amelifanya kwa ufanisi.Ukweli ni mchungu siku zote.Siasa za majitaka ni mbaya sana,wapinzani mna kazi kubwa sana ya kuongelea shida za Taifa hili na njia mbadala ambazo ni endelevu.Hoja yangu iko wazi sana .......Ni kwamba kwenye kampeni za Magufuli na pia kwenye ilani ya CCM hakuna ahadi ya Shibe au Mvua......Wapinzani wajikite kwenye hoja za Msingi zilizopo kwenye ilani ya CCM au pengine kwenye ilani zatherwise tuhamasishane kupiga kazi tu.
Pole.Umezoea kupata lishe kwa kutumia kulamba miguu Watawala, wenzako tuna kula jasho letu.Hata kama nikikaa masaa 24 hunilipi mshahara wala sitokuja kuomba mshahara punguani wewe.WEWE LAZIMA MAISHA KWAKO YAWE ,MAGUMU na kulia lia njaa maana hauna cha maana unachofanya zaidi ya kutumia muda wako mwingi humu JF....maana kila UZI HUMO...NA TENA WA MWANZO KUCOMMENT
Waendelee kuhangaika na Majangili yanayotumia Escrow na Lugumi na kutafuta miguu yao.Hongera CCM chama cha MajambaziMkuu acha kuhangaika na upinzan unaotumiwa na mafisad ya rich mond
NNdiye anayewatuma.hawa madongo kuandika pumba.Wapi humfrey polepole
Lowassa aliahidi hayo?Je katika hiyo ilani kulikuwa na ahadi ya njaa na ukame? Kulikuwa na ahadi za Bombadier? Kulikuwa na ahadi ya uwanja wa kimataifa Chato? Kulikuwa na ahadi ya kuvunja/kusigina Katiba? Kulikuwa na ahadi ya kutowasaidia wahanga wa tetemeko na kutafuma misaada itakayotolewa iwasaidie kujenga upya nyumba zao? Kulikuwa na ahadi...
Hii ni 2017,siyo 2016 tena.Ok ni kweli kwamba Ghala la Taifa halina chakula?Je ni kweli kwamba 2016 kaya zote Tanzania hazikuwa na chakula?
1.Kununua ndege nje ya bajeti ya serikali iliyopitishwa na Bunge.Ni sheria iipi iliyivunjwa na Magufuli?ni ahadi ipi ya Magufuli aliyoitoa kuhusu kufariji wahanga wa janga lolote litakalotokea?Keebehi unaitafsiri kivipi?ukweli ni kebehi ku rekebisha uongo ni kebehi?nini ahadi ya CCM kuhusu uchukuzi?juakalulu kweli kweli
maji takaUkweli ni mchungu siku zote.Siasa za majitaka ni mbaya sana,wapinzani mna kazi kubwa sana ya kuongelea shida za Taifa hili na njia mbadala ambazo ni endelevu.Hoja yangu iko wazi sana .......Ni kwamba kwenye kampeni za Magufuli na pia kwenye ilani ya CCM hakkuna ahaddi ya Shibe au Mvua......Wapinzani wajikite kwenye hoja za Msingi zilizopo kwenye ilani ya CCM au pengine kwenye ilani zatherwise tuhamasishane kupiga kazi tu.
kuboresha maisha ni mkusanyiko wa mambo mengi. ilani haitaji kila kitu. inaweka vipaumbele vinavyobeba dhana yote ya maendeleo...........Ukweli ni mchungu siku zote.Siasa za majitaka ni mbaya sana,wapinzani mna kazi kubwa sana ya kuongelea shida za Taifa hili na njia mbadala ambazo ni endelevu.Hoja yangu iko wazi sana .......Ni kwamba kwenye kampeni za Magufuli na pia kwenye ilani ya CCM hakkuna ahaddi ya Shibe au Mvua......Wapinzani wajikite kwenye hoja za Msingi zilizopo kwenye ilani ya CCM au pengine kwenye ilani zatherwise tuhamasishane kupiga kazi tu.
Niambie ahadi ata moja iliyotekelezwa ambay ipo kwenye ilani ya ccmUkweli ni mchungu siku zote.Siasa za majitaka ni mbaya sana,wapinzani mna kazi kubwa sana ya kuongelea shida za Taifa hili na njia mbadala ambazo ni endelevu.Hoja yangu iko wazi sana .......Ni kwamba kwenye kampeni za Magufuli na pia kwenye ilani ya CCM hakkuna ahaddi ya Shibe au Mvua......Wapinzani wajikite kwenye hoja za Msingi zilizopo kwenye ilani ya CCM au pengine kwenye ilani zatherwise tuhamasishane kupiga kazi tu.
Ni wapinzani au wananchi wanaolalamika njaa...!? Tz kila mwaka inapofika miezi ya January hadi March kuna watu wanaishiwa chakula ndo maana serikali huwa wakati kama huu mara nyingi inatoa mahindi kusaidia kaya hizo baadhi ya maeneo. Mwaka Jana walifanya hivyo baadhi ya maeneo km mikoa ya Singida...tuombe tu hali km hiyo isije ika-extend hadi miezi ya April, May na kuendelea. Hivyo wapinzani sio wanao-outcry kuhusu njaa ni wananchi wenyewe baadhi ya maeneo.Ukweli ni mchungu siku zote.Siasa za majitaka ni mbaya sana,wapinzani mna kazi kubwa sana ya kuongelea shida za Taifa hili na njia mbadala ambazo ni endelevu.Hoja yangu iko wazi sana .......Ni kwamba kwenye kampeni za Magufuli na pia kwenye ilani ya CCM hakkuna ahaddi ya Shibe au Mvua......Wapinzani wajikite kwenye hoja za Msingi zilizopo kwenye ilani ya CCM au pengine kwenye ilani zatherwise tuhamasishane kupiga kazi tu.
Jingalao acha kumdhalilisha Rais na Taasis ya Urais bhana..CCMni zao la huruma na huduma linalotambua shida za wananchi wake. Hakuna Rais anayeahidi njaa wala janga Bali neema na faraja kwa watu wake. Vyakula vitagaiwa kwa sehemu itakayopata matatizo ya kweli ya njaa. Na njaa IPO kwa kila MTU lakini chakula ndio pungufu wa nashindwa kula. Pia njaa hailetwi na vyama vya upinzani ama kutangazwa maana tumbo ndio shahidi wa njaa sio wanasiasaUkweli ni mchungu siku zote.Siasa za majitaka ni mbaya sana,wapinzani mna kazi kubwa sana ya kuongelea shida za Taifa hili na njia mbadala ambazo ni endelevu.Hoja yangu iko wazi sana .......Ni kwamba kwenye kampeni za Magufuli na pia kwenye ilani ya CCM hakkuna ahaddi ya Shibe au Mvua......Wapinzani wajikite kwenye hoja za Msingi zilizopo kwenye ilani ya CCM au pengine kwenye ilani zatherwise tuhamasishane kupiga kazi tu.
Akili utakuwa umezisahau mahaliUkweli ni mchungu siku zote.Siasa za majitaka ni mbaya sana,wapinzani mna kazi kubwa sana ya kuongelea shida za Taifa hili na njia mbadala ambazo ni endelevu.Hoja yangu iko wazi sana .......Ni kwamba kwenye kampeni za Magufuli na pia kwenye ilani ya CCM hakkuna ahaddi ya Shibe au Mvua......Wapinzani wajikite kwenye hoja za Msingi zilizopo kwenye ilani ya CCM au pengine kwenye ilani zatherwise tuhamasishane kupiga kazi tu.
Ukweli ni mchungu siku zote.Siasa za majitaka ni mbaya sana,wapinzani mna kazi kubwa sana ya kuongelea shida za Taifa hili na njia mbadala ambazo ni endelevu.Hoja yangu iko wazi sana .......Ni kwamba kwenye kampeni za Magufuli na pia kwenye ilani ya CCM hakkuna ahaddi ya Shibe au Mvua......Wapinzani wajikite kwenye hoja za Msingi zilizopo kwenye ilani ya CCM au pengine kwenye ilani zatherwise tuhamasishane kupiga kazi tu.