Ukweli ni mchungu siku zote.Siasa za majitaka ni mbaya sana,wapinzani mna kazi kubwa sana ya kuongelea shida za Taifa hili na njia mbadala ambazo ni endelevu.Hoja yangu iko wazi sana .......Ni kwamba kwenye kampeni za Magufuli na pia kwenye ilani ya CCM hakkuna ahaddi ya Shibe au Mvua......Wapinzani wajikite kwenye hoja za Msingi zilizopo kwenye ilani ya CCM au pengine kwenye ilani zatherwise tuhamasishane kupiga kazi tu.
Kwa hiyo kukitokea janga kama Tsunami utasema serikali haitahudumia wananchi kwa kuwa tsunami haipo kwenye ilani ya CCM. Jiongezeni kidogo mnapoandika. Hata kama akili ziko fyongo azima kwa jirani ili uandike kitu cha maana.