Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,310
- 105,640
Huyu nina wasiwasi hata hiyo lugha haielewi.
Angeielewa hata kidogo angeona hata aibu na kusepa, huku akisoma mi point yote hiyo polepole.
Hawa wengine najibizana nao si kwa sababu ya kuwaelewesha wao, bali kuna watu wengine kama wewe watafuatilia mjadala na kuona machicha yako wapi na tui liko wapi.
Asante kwa kufuatilia.