ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,568
- 44,777
Kuna watu sio tu ni waovu, na wakosaji, bali wamevuka hiyo mipaka hadi kufikia hatua ya kuleta mizaha mpaka kwenye mambo matukufu ya Mungu, kudhihaki, kukejeli, kukashfu Neno la Mungu, na wokovu kwa ujumla kwao ni jambo la kawaida.
Watu wanaifanyia biblia comedy kwenye majukwaa na watu wamelipa kiingilio, wameketi pale chini wanacheka na kufurahia.
Biblia ni kitabu cha story za vichekesho? Wanaonekana kwenye tv au youtube.
Na wengine wanatunga hizi memes za status Na wengine wanasambaza. Mambo hayo Ni machukizo.
Sote tunakosea ila Sasa tusifike stage ya kuleta mizaha kwenye mambo matakatifu ili kusudi ufurahishe watu tu.
Mfano Kuna mtu kapost eti "vile umeenda mbinguni halafu umekuta kitabu cha dhambi kimepotea" hiko kibwagizo kina picha Kama watu wanacheka na kufurahia.
Bnafsi naona sio sahihi ni mbinu tu za adui kutusahaulisha mambo ya msingi.
Watu wanaifanyia biblia comedy kwenye majukwaa na watu wamelipa kiingilio, wameketi pale chini wanacheka na kufurahia.
Biblia ni kitabu cha story za vichekesho? Wanaonekana kwenye tv au youtube.
Na wengine wanatunga hizi memes za status Na wengine wanasambaza. Mambo hayo Ni machukizo.
Sote tunakosea ila Sasa tusifike stage ya kuleta mizaha kwenye mambo matakatifu ili kusudi ufurahishe watu tu.
Mfano Kuna mtu kapost eti "vile umeenda mbinguni halafu umekuta kitabu cha dhambi kimepotea" hiko kibwagizo kina picha Kama watu wanacheka na kufurahia.
Bnafsi naona sio sahihi ni mbinu tu za adui kutusahaulisha mambo ya msingi.