Kwani hili swali hili nililo kuuliza linataka niende shule gani au kowango gani cha shule ? Kama wewe uie enda shule limekushinda ? Kam shule zenyewe zinatoa wanafunzi kama wewe bora sijaenda tu shule.Ulienda shule kweli?
Hivi kijana unafikiria kweli ? Kwanza kitu ambacho hakipo wewe unakijiaje kama hakipo ?
Sasa umejuaje kama hakipo ? Hili swali hujaliona ? Au ndiyo mnaandika andika tu kisa umeshiba ugali. Jibu swali nililo kuuliza.Nathibitishaje kitu ambacho hakipo.
Acha mbwembwe kijana, tuambie umejuaje kama Mola hayupo, na utuanbie ili kitu kiwe hakipo unakijuaje na kina sifa gani ?Ingekua hesabu ningeweza kuthibitisha hasi, kwenye probability unaweza kuthibitisha negative, lakini assumption is constant.
Ona upuuzi wako, yaani jambo tayari limeshawekewa "Constant" unajifaragua kama unathibitisha hapo au kuna ithibati hapo. Sasa leo nakufundisha ili ukawaambie na wenzako jambo lolote ambalo ndani yake kuna "Assumptions" ujue watunzi walishindwa kung'amua jambo hilo wakaamua kuficha jambo ili kufikia lengo au makubaliano yao.
Sasa hili mbona rahisi sana, wewe tuambie unakijiaje kitu ambacho hakijawahi kuwepo ? Au unaota nini kijana. Embu kwa akili yako tu ya kawaida kotu ambacho hakijawahi kuwepo unakidiriki vipi yaani unakijuaje juaje ?Sasa mungu hawajawi kuwepo, hawahi kuonekana, hajawahi kusikkika ukiachia hizi hadithi za wanaoitwa mitume na manabii, unataka nimthibishe?
Vijana mnatupa tabu san kuwaelewesha mambo mepesi kama haya. Yaani akili zenu zimeshikiliwa na wajinga fulani waovu waovu wazandiki.
Kwahiyo wanayoyasema mitume na manabii ya uongo, embu chukua uongo mmoja kisha uukanushe kwa ithibati, ukiweza naacha kitumia hii ID, tena itakuwa vizuri zaidi kama ukijikita kwa Mtume Muhammad.
Sijaenda shule niende shule ili iweje ? Sasa wewe ulie enda shule mbona umekuwa mjinga kiasi hiki ? Hizi shule zinawafanya muwe mazwazwa sana.Hivi ulienda shule kweli ama ndio sampuli ile ile mnaoenda shule kusoma mfaulu mitihani?
Nimekuuliza swali rahisia sana thibitisha na utuambie umejuaje kama hayupo, unaleta dibaji ooooh, mara kitu hakipo hakithibitishiko, sasa umejuaje kama hakipo ?
Nirudi shule gani ? Nikasome nini ? Nirudi shule uliyosomela wewe ?Kwa ujinga ulio nao bora niwasaidie wake zangu kumenya vitinguu wazidi kunipenda.Rudi shule uongeze maarifa.