Tanayzer
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 3,009
- 7,309
mbona kama unalazimisha mambo mzee, kama ni upumbavu wao kuamini katika Mungu, wewe unakuhangaisha nini huo upumbavu?Mafurahisha sana nyie watu
Kwahiyo Mungu kashindwa kujitetea hadi mnakuja kulialia huku? Acheni upumbavu
Nasema upumbavu sababu hamjifunzi tu bado mmeendelea kushikilia hizi hekaya