TTCL mnachemka tena, ila offer zenu nzuri

TTCL mnachemka tena, ila offer zenu nzuri

ofisa

JF-Expert Member
Joined
May 15, 2011
Posts
4,362
Reaction score
4,101
Mimi ni mdau wa mambo ya mawasiliano na nina tabia ya kupita pita huku na huku kupata chochote kile kinachonifaa. Niliona kama wamekuja tena upya nikanunua line yao nilichokiona naona wanachemka tena.

Kwanza line zao hukaa kwenye simu ya 4G tu tofauti na hapo haifanyi kazi. Pili pamoja na line kukaa kwa 4G pekee mitandao yao ikiwa chini ya 3G inakata network hata kama ni wao wenyewe ndio walioshusha kutoka 4G to 3G.

Tatu coverage yao ya 4G si maeneo mengi hivyo hukata mara kwa mara.
NNE ukinunua vocha kutoka sim banking haiji.
ILA OFFFER ZAO ZIKO VIZURI.
 
Mimi ni mdau wa mambo ya mawasiliano na nina tabia ya kupita pita huku na huku kupata chochote kile kinachonifaa.
Niliona kama wamekuja tena upya nikanunua line yao nilichokiona naona wanachemka tena.
kwanza line zao hukaa kwenye simu ya 4G tu tofauti na hapo haifanyi kazi.
pili pamoja na line kukaa kwa 4G pekee mitandao yao ikiwa chini ya 3G inakata network hata kama ni wao wenyewe ndio walioshusha kutoka 4G to 3G.
Tatu coverage yao ya 4G si maeneo mengi hivyo hukata mara kwa mara.
NNE ukinunua vocha kutoka sim banking haiji.
ILA OFFFER ZAO ZIKO VIZURI.
Mi nahisi hili tatizo ni kwa baadhi ya watu tu.Hapa nilipo natumia 3G ya TTCL kupost JF.Na jana nimenunua vocha ya 5000 via CRDB simbanking imekuja bila tatizo
 
Sio kweli kwamba ni 4G pekee ila mtandao wa TTCL upo kwa 4G & 3G. Kwa sasa hivi kiukweli sidhani kama kuna mtu anasimu chini ya 3G halafu akawa ni mtumiaji wa Internet kwahiyo unaposema wemechemka mie sikuelewi. Simu a 2G kiukweli hazipo sokoni zinapotea kabisa.
Ningewashangaa sana TTCL kama wangewekeza kwenye 2G ambayo ni technolojia ya zamani sana na kiuhalisia duniani imepitwa na wakati sanasana imebakia Africa tu.
 
Sio kweli kwamba ni 4G pekee ila mtandao wa TTCL upo kwa 4G & 3G. Kwa sasa hivi kiukweli sidhani kama kuna mtu anasimu chini ya 3G halafu akawa ni mtumiaji wa Internet kwahiyo unaposema wemechemka mie sikuelewi. Simu a 2G kiukweli hazipo sokoni zinapotea kabisa.
Ningewashangaa sana TTCL kama wangewekeza kwenye 2G ambayo ni technolojia ya zamani sana na kiuhalisia duniani imepitwa na wakati sanasana imebakia Africa tu.
Nadhani hujui vizuri 2G 3G na 4G. TTCL baada ya kuanza na 3g kikamilifu wao wakakimbilia 4G ambayo watumiaji wake kwa sasahivi sidhani kama watafika 200 kila mkoa. Ukweli mtafute technical yeyote wa TTCL friendly atakupa ukweli. Wamechemka mbaya mno.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi nimeamua kuvunjilia mbali laini yao,nilipata hasira mnooo.yaan net hukata kila baada ya dk mbili
 
Nami ni mtumiaji hii TTCL nipo nayo takribani miezi 4 hivi,tatizo la huu mtandao network coverage hasa kwa watu tunaoishi pembezoni mwa dar

Kwa mfano mimi mwenyewe naishi mbagala chamazi/dovya huku kwetu naitumia ttcl nikiwa karibu na mnara wa halotel tu yaaani mita 100 kutoka mnarani,kinachonifanya kwa sasa nishindwe kuhama ni ofa zao za
 
Nami ni mtumiaji hii TTCL nipo nayo takribani miezi 4 hivi,tatizo la huu mtandao network coverage hasa kwa watu tunaoishi pembezoni mwa dar

Kwa mfano mimi mwenyewe naishi mbagala chamazi/dovya huku kwetu naitumia ttcl nikiwa karibu na mnara wa halotel tu yaaani mita 100 kutoka mnarani,kinachonifanya kwa sasa nishindwe kuhama ni ofa zao za
Ofa zao zipoje Mkuu?
 
Ofa zao zipoje Mkuu?
800MB Sh. 500/day, 400MB sh. 250/day, 7GB 5,000/month,

Angalia hapa Chini Dada!

IMG_20170709_151337_625.JPG
IMG_20170709_150834_157.JPG
IMG_20170709_151645_425.JPG
 
Mimi ni mdau wa mambo ya mawasiliano na nina tabia ya kupita pita huku na huku kupata chochote kile kinachonifaa. Niliona kama wamekuja tena upya nikanunua line yao nilichokiona naona wanachemka tena.

Kwanza line zao hukaa kwenye simu ya 4G tu tofauti na hapo haifanyi kazi. Pili pamoja na line kukaa kwa 4G pekee mitandao yao ikiwa chini ya 3G inakata network hata kama ni wao wenyewe ndio walioshusha kutoka 4G to 3G.

Tatu coverage yao ya 4G si maeneo mengi hivyo hukata mara kwa mara.
NNE ukinunua vocha kutoka sim banking haiji.
ILA OFFFER ZAO ZIKO VIZURI.
Nimeweka laini ya TTCL kwenye hii Vodafone vtd 300 na inapiga Nazi kama kawa
 
Speed yao ya Internet ktk 3G ni nzuri kuliko Voda?
 
Nadhani hujui vizuri 2G 3G na 4G. TTCL baada ya kuanza na 3g kikamilifu wao wakakimbilia 4G ambayo watumiaji wake kwa sasahivi sidhani kama watafika 200 kila mkoa. Ukweli mtafute technical yeyote wa TTCL friendly atakupa ukweli. Wamechemka mbaya mno.

Sent using Jamii Forums mobile app

3G na 4G zote zinafanya kazi ila wao target yao kubwa ni wateja wao watumie 4G!
4G pekee ndo itakayowafanya ku make difference kwenye soko maana watatoa huduma maeneo mengi kwa speed nzuri kuliko competitors wao!
Ulitaka waanze na 3G kikamilifu ili iweje sasa,wakati tayari tuna 3G ya halotel ina cover almost 95% ya vijiji vyote vya TZ na hicho ndo kilichowafanya Halotel ku make difference sokoni!

Mimi naona target yao ya ku invest kwenye 4G ni target nzuri sana ki biashara maana wana competitor mmoja ambaye ni Tigo ambaye ame cover hata mikoa isiyo majiji!

Kwa level walioko TTCL wanashindana na Tigo katika Coverage ya 4G huku Vodacom wakiwa na 4G DSM tu kama sikosei na Smile wakiwa wame target majiji makubwa tu!

swala la wateja 200 kila mkoa naona unatunga uvumi usiokuwepo,ni matter ya awareness tu 4G ndo inaenda kuwa habari ya mjini hata nje ya DSM!

Kwa sasa hadi simu ya 120,000/= inakamata 4G kwa hiyo jamaa ni wajanja I bet hawajachemka in next few years 4G ndo itakua Mainstay na hapo ndo utaona hiyo mitandao ambayo haitaki ku invest kwenye 4G itakavyochemka!

Kwa ambao wanasema TTCL haina 3G labda waseme wako mkoa/wilaya gani tofauti na hapo nachelea kusema hawajawai kutumia TTCL wanasema habari za kwenye vijiwe vya kahawa!

Screenshot_2.png


Screenshot_3.png
 
3G na 4G zote zinafanya kazi ila wao target yao kubwa ni wateja wao watumie 4G!
4G pekee ndo itakayowafanya ku make difference kwenye soko maana watatoa huduma maeneo mengi kwa speed nzuri kuliko competitors wao!
Ulitaka waanze na 3G kikamilifu ili iweje sasa,wakati tayari tuna 3G ya halotel ina cover almost 95% ya vijiji vyote vya TZ na hicho ndo kilichowafanya Halotel ku make difference sokoni!

Mimi naona target yao ya ku invest kwenye 4G ni target nzuri sana ki biashara maana wana competitor mmoja ambaye ni Tigo ambaye ame cover hata mikoa isiyo majiji!

Kwa level walioko TTCL wanashindana na Tigo katika Coverage ya 4G huku Vodacom wakiwa na 4G DSM tu kama sikosei na Smile wakiwa wame target majiji makubwa tu!

swala la wateja 200 kila mkoa naona unatunga uvumi usiokuwepo,ni matter ya awareness tu 4G ndo inaenda kuwa habari ya mjini hata nje ya DSM!

Kwa sasa hadi simu ya 120,000/= inakamata 4G kwa hiyo jamaa ni wajanja I bet hawajachemka in next few years 4G ndo itakua Mainstay na hapo ndo utaona hiyo mitandao ambayo haitaki ku invest kwenye 4G itakavyochemka!

Kwa ambao wanasema TTCL haina 3G labda waseme wako mkoa/wilaya gani tofauti na hapo nachelea kusema hawajawai kutumia TTCL wanasema habari za kwenye vijiwe vya kahawa!

View attachment 576610

View attachment 576612
Kaka, speed yao ya 3G imekaaje? Nataka ninunue chip yao.
 
Back
Top Bottom