Hapa subiri nieke sawa kidogo tuelewane..... ukiambiwa. Kitu kinatumia 4G.... mana yake ni kwamba kina uwezo wa kutumia 3G pia kina uwezo wa kutumia 2G... ni km speed ya gari ukiambiwa ina speed 140km/h mana yake ina uwezo pia wa kutembea speed ya 80km/h pia ina uwezo wa kutembea speed 20km/h.....
Walipochemka TTCL ni hapa kwamba network coverage yao almost (sehemu nyingi) ni moja km hupati network ya 4G huna mawasiliano huwezi kupata hata network ya 2G... Tofauti na mitandao mengine(km tigo ,zantel airtel , voda n.k) ambayo km sehemu network ndogo haiwezi kushika 3G au 4G lkn itashika japo 2G.....
Sent using
Jamii Forums mobile app