TTCL imesababisha nifukuzwe Kazi

TTCL imesababisha nifukuzwe Kazi

TTCL tulishaizika zaman sana..wamebaki tanesco tu nako wangeruhusu uwekezaji..tungewazika pia...af usiwe unaamin taasisi ya serikali wanafanya kazi kivivu sana
 
Looo pole sana kwa maswaibu yaliyokukuta, kama ni kweli ni vema ungewasiliana na wahusika (TTCL) moja kwa moja lakini kwa jinsi ninavyoijua TTCL kama mtumiaji wa huduma zake nina mashaka na maelezo yako,huenda umetumwa na wabaya wa TTCL kuichafu maana inawakimbiza haswa kweli kwenye soko la data hapa nchini.
 
Pole sana.
Hivi ni kweli ulishauri matumizi ya kitu ambacho wewe mwenyewe hujawahi kukitumia?
Steve Jobs aliwahi kusema (kwa tafsiri isiyothibitishwa);"Hakuna haja ya kuajiri watu wenye akili kama bado watategemea tuwapangie cha kufanya.Tunaajiri watu wenye akili ili watuambie nini kifanyike".

Ulikuwa na option pia ya kupigia marafiki wanaofahamu hayo masuala ili wakupe hints.Ingekusaidia sana kupata cha kumshauri huyo mzungu wako.

Hata hivyo usijali sana.Ni hatua za kujifunza.Baada ya hili utakuwa bora zaidi kuliko awali.
 
Sikupi pole sababu umetudanganya na story yako hii kuwa umefukuzwa kazi
 
Wewe ulikuwa kibarua au ni muajiriwa...!!??
Mbona unayazungumza mambo mazito kiwepesi wepesi tu...!!??


Umehoji vyema sana Mkuu.

Afu kitu kingine kinachotia ladha ya 'chai' kwenye bandiko hili ni kwamba International company ya kizungu haina Stable Internet Provider ?!!!

Na hiyo 'sababu' ya kufukuzwa kazi hai-click akilini.

-Kaveli-
 
Mimi Nilikuwa ni system adm wa kampun moja ya wazungu hapo Masaki, sasa jana bosi wangu alikuwa na mkutano wa online na mkurugenzi mkuu ambae yupo marekani,

so kutokana na umuhimu wa hayo maongezi yao ikabidi bosi wangu aniombe ushauri kuhusu ni mtandao gani ambao una strong internet connection,

kutokana na matangazo ya TTCL ya siku hizi, nikaona hawa jamaa watakuwa wamebadilika sana, kumbe Dah Nilikuwa naingia choo cha kike, nikamshauri bosi wangu kwa mbwembwe nyingi kuwa TTCL ni best kampany.. mmh nikapewa pesa za kwenda kununua line ya TTCL, nikaenda moja kwa moja makao makuu pale Samora, kufika pale nikanunua line kwa sh 2000 na muda wa maongezi....

Huwezi kuamini ishu ya kusajili line tu ilinichukua masaa 3 mpaka bosi akawa ananipigia simu kwamba vipi tena mbona unachelewa?

Ikabidi niondoke kurudi offisini na yule mhudumu akaniambia niweke line kwenye simu na itafunguka tu yenyewe, nikafika ofisin nikampatia bosi wangu ile line na nikampa maelezo kuwa aweke kwenye simu na itafunguka tu yenyewe....

Dah mpaka saa 12 jioni hakuna kitu, bahati Mzuri nilichukua namba ya yule dada alienihudumia nikampigia simu, jibu lake ndio niliishiwa pozi zote...

Akasema kesho asubuhi niende na hiyo line oh my god bosi akaanza kubadilika rangi akaanza kupiga simu kwa wazungu wenzake na kila mzungu akawa anatoa lawama kwangu kuwa why nilichagua TTCL ikiwa wenyewe tu wafanyakazi wa TTCL hawatumii huo mtandao....

So kwa hasira bosi kanifukuza kazi coz nimempa ushauri wa kampuni ambayo Nilikuwa najua fika kuwa huduma zake ni mbovu,

Ushauri wangu kwa TTCL ni kwamba fungeni hiyo kampuni yenu mpaka hapo ambapo mtakuwa tayari kuingia kwenye soko la ushindani.

Mkuu unadhani ushauri wako wa kuwaomba wafunge kampuni yao bosi wako atakurudisha kazini?
 
huyu namuona ni muongo sababu ...90% ya bank zote tanzania wanahudumia TTCL 90% YA mashirika na taasisi ziwe za kiserikali au private wanahudumia wao kwenye data ....wanawauzia voda,smile,airtel kupitia NICTBB....inawezekana kama ni kweli anayoyasema huyo aliemuhudumia sio mtu wa mwisho kuna ma supervisor wao pale kwa ushindani wa soko la data kwa tanzania sidhani kama hio ingechukua mda mrefu...labda mleta mada ana agenda binafsi hayo mashirika mengine yanatangaza 4g wakati 3G YENYEWE yameshindwa ....tukianza kutafuta madhaifu ya haya mashirika basi ttcl ina nafuu.....ttcl wako vizuri sana kwenye data na wana facility zote kwenye mobile voice ndio wanataka kuingia kwa sasa ingawa wamechelewa mno
 
Pole ndugu yangu kwa mkasa wa kukufukuzisha kazi. Hao TTCL hata siwaamini kwa sekunde.
 
Kwa kweli TTCL naona kama vile inahujumiwa...
 
Wapeleke mahakamani kwa makosa haya;
1. Kukurubuni kupitia matangazo yao.
2. Kukupotezea muda
3. Kukusababishia hasara
4. Kukusababishia msongo wa mawazo.
Unaweza kuongezea mengine hadi yakafika mia. Ukishinda hiyo kesi umasikini bye.
 
Unanunua line ya TTCL kwa 2000 ufanye mawasiliano USA??? Walau ungesema ulienda kununua device zao za 4G kwa ajili ya kufanya hayo mawasiliano walau ningekuamini lakini line ya simu???? Hiyo line then uipeleke kuweka kwenye device gani??? Muongo mkubwa wewe
 
Mimi Nilikuwa ni system adm wa kampun moja ya wazungu hapo Masaki, sasa jana bosi wangu alikuwa na mkutano wa online na mkurugenzi mkuu ambae yupo marekani,

so kutokana na umuhimu wa hayo maongezi yao ikabidi bosi wangu aniombe ushauri kuhusu ni mtandao gani ambao una strong internet connection,

kutokana na matangazo ya TTCL ya siku hizi, nikaona hawa jamaa watakuwa wamebadilika sana, kumbe Dah Nilikuwa naingia choo cha kike, nikamshauri bosi wangu kwa mbwembwe nyingi kuwa TTCL ni best kampany.. mmh nikapewa pesa za kwenda kununua line ya TTCL, nikaenda moja kwa moja makao makuu pale Samora, kufika pale nikanunua line kwa sh 2000 na muda wa maongezi....

Huwezi kuamini ishu ya kusajili line tu ilinichukua masaa 3 mpaka bosi akawa ananipigia simu kwamba vipi tena mbona unachelewa?

Ikabidi niondoke kurudi offisini na yule mhudumu akaniambia niweke line kwenye simu na itafunguka tu yenyewe, nikafika ofisin nikampatia bosi wangu ile line na nikampa maelezo kuwa aweke kwenye simu na itafunguka tu yenyewe....

Dah mpaka saa 12 jioni hakuna kitu, bahati Mzuri nilichukua namba ya yule dada alienihudumia nikampigia simu, jibu lake ndio niliishiwa pozi zote...

Akasema kesho asubuhi niende na hiyo line oh my god bosi akaanza kubadilika rangi akaanza kupiga simu kwa wazungu wenzake na kila mzungu akawa anatoa lawama kwangu kuwa why nilichagua TTCL ikiwa wenyewe tu wafanyakazi wa TTCL hawatumii huo mtandao....

So kwa hasira bosi kanifukuza kazi coz nimempa ushauri wa kampuni ambayo Nilikuwa najua fika kuwa huduma zake ni mbovu,

Ushauri wangu kwa TTCL ni kwamba fungeni hiyo kampuni yenu mpaka hapo ambapo mtakuwa tayari kuingia kwenye soko la ushindani.
Huwa tunafanya Due Diligence kwanza we unkurupuka kwa kusikia matangazo. Pole sana.
 
huyu namuona ni muongo sababu ...90% ya bank zote tanzania wanahudumia TTCL 90% YA mashirika na taasisi ziwe za kiserikali au private wanahudumia wao kwenye data ....wanawauzia voda,smile,airtel kupitia NICTBB....inawezekana kama ni kweli anayoyasema huyo aliemuhudumia sio mtu wa mwisho kuna ma supervisor wao pale kwa ushindani wa soko la data kwa tanzania sidhani kama hio ingechukua mda mrefu...labda mleta mada ana agenda binafsi hayo mashirika mengine yanatangaza 4g wakati 3G YENYEWE yameshindwa ....tukianza kutafuta madhaifu ya haya mashirika basi ttcl ina nafuu.....ttcl wako vizuri sana kwenye data na wana facility zote kwenye mobile voice ndio wanataka kuingia kwa sasa ingawa wamechelewa mno

Inawezekana ni kweli. Pamoja na kuwa huenda ana elimu ya IT lakini never ever dhani kitu ambacho hujakitumia kitaenda straight. Mara nyingi hawa mafundi wanasema ku=irahisi unga sijui kitu gani fanya hivi sasa we unadhani ni rahisi ukienda kwenye reality inakuwa vigumu. Ila mleta Uzi kwa kweli hilo ni fundisho kubwa. Bahati mbaya labda kipato pia si kizuri kwani ulitakiwa mara moja kubadilika kutumia gharama zako binafsi kuhakikisha huyo bosi wako anapata mawasiliano kwa gharama yoyote ile na huyo mtu kutoka Marekani. Wenzetu huwa hawana Mswalie mtume kwenye mambo ya kazi / biashara kwani hapo Kampuni imeskwisha onekana sio reliable. Na kama ni kweli I hope hulalamiki bali unaonyesha uzembe wa TTCL lakini na wa kwako pia. Tumepata fundisho hapo!
 
Looo pole sana kwa maswaibu yaliyokukuta, kama ni kweli ni vema ungewasiliana na wahusika (TTCL) moja kwa moja lakini kwa jinsi ninavyoijua TTCL kama mtumiaji wa huduma zake nina mashaka na maelezo yako,huenda umetumwa na wabaya wa TTCL kuichafu maana inawakimbiza haswa kweli kwenye soko la data hapa nchini.

hata mimi Nilikuwa na mawazo kama yako na hiki ndio kimenikuta
 
Unanunua line ya TTCL kwa 2000 ufanye mawasiliano USA??? Walau ungesema ulienda kununua device zao za 4G kwa ajili ya kufanya hayo mawasiliano walau ningekuamini lakini line ya simu???? Hiyo line then uipeleke kuweka kwenye device gani??? Muongo mkubwa wewe

kama kitu ujui nyamaza sio Lazima ucoment sasa ningenunua lain kwa laki moja wakati inauzwa elf 2000?
 
Pole sana,ila kwa mtizamo wangu mimi uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana,ndio maana TTCL wakakuingiza mkenge.Ingawa TTCL wana matatizo,lakini na wewe una matatizo.Kwa uzoefu wako wa utendaji wa TTCL, you should not have gone for them.Hata hivyo this is typical of today's young man and women.You have very simple minds.Ila pole sana,tafuta kazi nyingine.
Mimi Nilikuwa ni system adm wa kampun moja ya wazungu hapo Masaki, sasa jana bosi wangu alikuwa na mkutano wa online na mkurugenzi mkuu ambae yupo marekani,

so kutokana na umuhimu wa hayo maongezi yao ikabidi bosi wangu aniombe ushauri kuhusu ni mtandao gani ambao una strong internet connection,

kutokana na matangazo ya TTCL ya siku hizi, nikaona hawa jamaa watakuwa wamebadilika sana, kumbe Dah Nilikuwa naingia choo cha kike, nikamshauri bosi wangu kwa mbwembwe nyingi kuwa TTCL ni best kampany.. mmh nikapewa pesa za kwenda kununua line ya TTCL, nikaenda moja kwa moja makao makuu pale Samora, kufika pale nikanunua line kwa sh 2000 na muda wa maongezi....

Huwezi kuamini ishu ya kusajili line tu ilinichukua masaa 3 mpaka bosi akawa ananipigia simu kwamba vipi tena mbona unachelewa?

Ikabidi niondoke kurudi offisini na yule mhudumu akaniambia niweke line kwenye simu na itafunguka tu yenyewe, nikafika ofisin nikampatia bosi wangu ile line na nikampa maelezo kuwa aweke kwenye simu na itafunguka tu yenyewe....

Dah mpaka saa 12 jioni hakuna kitu, bahati Mzuri nilichukua namba ya yule dada alienihudumia nikampigia simu, jibu lake ndio niliishiwa pozi zote...

Akasema kesho asubuhi niende na hiyo line oh my god bosi akaanza kubadilika rangi akaanza kupiga simu kwa wazungu wenzake na kila mzungu akawa anatoa lawama kwangu kuwa why nilichagua TTCL ikiwa wenyewe tu wafanyakazi wa TTCL hawatumii huo mtandao....

So kwa hasira bosi kanifukuza kazi coz nimempa ushauri wa kampuni ambayo Nilikuwa najua fika kuwa huduma zake ni mbovu,

Ushauri wangu kwa TTCL ni kwamba fungeni hiyo kampuni yenu mpaka hapo ambapo mtakuwa tayari kuingia kwenye soko la ushindani.
 
Back
Top Bottom