JS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2009
- 2,064
- 499
WanaJF mwaendeleaje na misukosuko ya maisha??
Sasa kuna hii taasisi TSPCA sina uhakika ni ya Serikali au ina affiliation yoyote na Serikali au ni ya binafsi. Ningependa kujuzwa hapo. Na kama imeenea Tanzania nzima au ni Dar es salaam tu peke yake pale Upanga ambako hakuna hata geti/fensi inayoeleweka.
Pili, najua hii taasisi ni ya kutetea maswala ya wanyama kutetea haki za wanyama wa kila aina na pia kuwalinda. Kwa nchi zilizoendea taasisi kama hizo ziko busy kweli kweli wanyama waliogongwa na magari au walioumia au wanaonyanyasika wanaripotiwa na kikosi kazi kinaenda eneo la tukio na kuwa-rescue in one way or the other kwa kushirikiana na raia.
Lakini kwa hapa kwetu taasisi hii imekuwa dormant kufanya kazi zake zinazopaswa.
nasema hivi kwa sababu sioni chochote kinachofanywa na bahati mbaya/nzuri mimi napenda sana wanyama (with an exception of a snake ambao are really scary naeza zimia nikimuona tu hivi lakini ni mnyama pia na haki zake:fear::fear::fear.
Paka na mbwa kila siku wanagongwa huko mabarabarani (highways) magari yanapita yanawakanyaga mpaka wanaisha kabisa hakibaki kitu. kila mtu anaondoka na kipisi cha mnyama huyo kwenye tairi yake (and guess what wale ndugu zangu waosha magari wanasugua matairi ya magari hayo hayo na brush zao bila any protection mtu anaeza pata kaugonjwa ka-ajabu kama mnyama huyo alikuwa na magonjwa).
Kuna tatizo la mbwa na paka wanaoranda randa hovyo na mbuzi na kondoo sijui ng'ombe maeneo mengine ya manispaa.
Sasa wandugu hii TSPCA imekuwa ikifanya nini haswa kama kazi zake haifanyi??
Sasa kuna hii taasisi TSPCA sina uhakika ni ya Serikali au ina affiliation yoyote na Serikali au ni ya binafsi. Ningependa kujuzwa hapo. Na kama imeenea Tanzania nzima au ni Dar es salaam tu peke yake pale Upanga ambako hakuna hata geti/fensi inayoeleweka.
Pili, najua hii taasisi ni ya kutetea maswala ya wanyama kutetea haki za wanyama wa kila aina na pia kuwalinda. Kwa nchi zilizoendea taasisi kama hizo ziko busy kweli kweli wanyama waliogongwa na magari au walioumia au wanaonyanyasika wanaripotiwa na kikosi kazi kinaenda eneo la tukio na kuwa-rescue in one way or the other kwa kushirikiana na raia.
Lakini kwa hapa kwetu taasisi hii imekuwa dormant kufanya kazi zake zinazopaswa.
nasema hivi kwa sababu sioni chochote kinachofanywa na bahati mbaya/nzuri mimi napenda sana wanyama (with an exception of a snake ambao are really scary naeza zimia nikimuona tu hivi lakini ni mnyama pia na haki zake:fear::fear::fear.
Paka na mbwa kila siku wanagongwa huko mabarabarani (highways) magari yanapita yanawakanyaga mpaka wanaisha kabisa hakibaki kitu. kila mtu anaondoka na kipisi cha mnyama huyo kwenye tairi yake (and guess what wale ndugu zangu waosha magari wanasugua matairi ya magari hayo hayo na brush zao bila any protection mtu anaeza pata kaugonjwa ka-ajabu kama mnyama huyo alikuwa na magonjwa).
Kuna tatizo la mbwa na paka wanaoranda randa hovyo na mbuzi na kondoo sijui ng'ombe maeneo mengine ya manispaa.
Sasa wandugu hii TSPCA imekuwa ikifanya nini haswa kama kazi zake haifanyi??