Truth about Ebola

Truth about Ebola

sio suala la kua vilaza ila watu waliokaa kusubiri amri yoyote ije watekele...mimi kwa sasa siwaamini viongozi wa Tanzania
 
Waafrika ni vilaza wakutupwa na hii kitu itatugharimu maisha yetu yote.

We jiulize kwa mfano eti vyandarua vya msaada vimewekewa dawa inayofanya kazi 5 consecutive years pamoja na kufuliwa kwake halafu eti haina madhara kwa mtu anayelala humo kila siku.Are you mad?

Hivi mna akili kweli nyinyi?

Halafu wanalengwa wajawazito na watoto under 5,hapa lazima Kuna kitu kiko-targeted na ni miongo kadhaa ijayo tutaona outcomes zake.

'Mzungu wa kumwamini ni aliyekufa tu' --Mugabe.
 
Unajua nn mpendwa, huu ugonjwa ni porojo tu...swali kama kweli upo huko west africa kwanini wapeleke wanajeshi wa kutosha wenye zana za kivita nzito badala ya kupeleka madaktari wengi? Pia congo ilikuwepo ebola then ikaondoka....je sababu iliyofanya ebola izaliwe congo na pia ife huko huko congo ni ipi? God bless Africa, God save Africa...

Kweli kabisa maana unasikia Amerika imeongeza wanajeshi badala ya madaktari, na msf inalalamika kuwa only 1% ya kilichoombwa kukabiliana na ebola imepatikana. Ila uwezo wa kutuma troops upo! Armed military troops na ebola wapi na wapi!?
 
Unajua nn mpendwa, huu ugonjwa ni porojo tu...swali kama kweli upo huko west africa kwanini wapeleke wanajeshi wa kutosha wenye zana za kivita nzito badala ya kupeleka madaktari wengi? Pia congo ilikuwepo ebola then ikaondoka....je sababu iliyofanya ebola izaliwe congo na pia ife huko huko congo ni ipi? God bless Africa, God save Africa...
ninacho fahamu wanashi hutuma popote kwene majanga ,kwa ajili ya utiifu wao,sumeona kuna nchi mojawapo wauguzi wameishia kugoma, na kwenye nukta ya kuingiza watu Cuba imepeleka watu kwa mamia na tunajua fika Cuba si mshirika wa Obama wala Bwana Ushoga na hana hulka za kivamizi!
Porojo tu hizo mkuu!
 
Watanzania kwa sababu nchi yetu imejaa usanii tunafikiri na watu wengine duniani ni wasanii.Ebola ipo tumuombe Mungu ipatiwe dawa
 
Let hallucinations go with the deads.Propagation,in the critical issues like the one we're dealing with,won't help us!
 
hawa wanaosomea watu albadir wakadhurika, hebu wasomewe hawa wamarekani manake wamezidi

Hahahaa until the philosophy which holds one race supervisor and another inferior is totally destroyed.

And this will only be achieved by Africans themselves get united and be as one.
 
Shocking government documents, reprinted in a new book by a leading public health authority, reveal that the AIDS and Ebola viruses did not likely originate from African monkeys left alone in the wild. Instead, Dr. Leonard Horowitz, a Harvard graduate, and independent investigator, concludes that the viruses, that now threaten humanity's survival, most likely evolved from early cancer virus experiments in which top military-pharmaceutical scientists infected monkeys with viral genes from other animals. Such contaminated monkeys were then used to develop viral vaccines tested on humans simultaneously in New York City and Central Africa. The first researcher to meticulously document this "man-made theory" on AIDS's origin, Dr. Horowitz stunned a large audience at the XI International Conference on AIDS in July, when he presented a scientific summary report of his investigation.

Reference 1: http://www.blackherbals.com/Emerging_Viruses.html

Reference 2: SIGHTINGS

Reference 3: [url]http://www.tetrahedron.org/news/nr20001019.html


[/URL]
 
Na mmeletewa chanjo eti ya Rubella hapo bongo watu wachomwe kuanzia 18 mpaka 24!! Haya nendeni kama simple sense hamna! Mimi kwakweli simpeleki mwanangu na wala siendi!

Sababu sielewi vizuri kwanini sasa? Rubella imemuua nani? Huu ugonjwa ni "mild" ni self limiting. Asilimia kubwa mno ya watoto wanaopata inapotea yenyewe bila tiba, wanaoumwa hadi kufa ni wachache wenye upungufu wa kinga mwilini. Sasa imekueje hii chanjo ikazaniwe sasa? Wapi tumesikia ripoti yeyote ya mlipuko?
Wataalamu gani wamefanya tafiti yeyote ya Rubella nchini au jirani? Ziko wapi ripoti au ni kisa kasema mzungu nasi tunakimbilia tu.

Mimi sijakubali, nyie chomeni!
 
Hahahaa until the philosophy which holds one race supervisor and another inferior is totally destroyed.

And this will only be achieved by Africans themselves get united and be as one.

until, the philosophy which holds one race superior, and another, inferior, is totally and permanently discredited and abandoned...
 
Yes it was crystal. All you have to do is look into epidemiology, diseases& their history. Viruses don't jump species that way. Aids/ Ebola/CMV/EBV &many other viruses which are the precursors &/or cause of many cancers was discovered/created in government labs while trying to create biological weapons back in the 50's, 60's& 70's. Look up Leonard Horowitz or Dr. Nancy Turner Banks. They have written well documented books which contain the contracts& other documents that prove it.
 
Waafrika ni vilaza wakutupwa na hii kitu itatugharimu maisha yetu yote.

We jiulize kwa mfano eti vyandarua vya msaada vimewekewa dawa inayofanya kazi 5 consecutive years pamoja na kufuliwa kwake halafu eti haina madhara kwa mtu anayelala humo kila siku.Are you mad?

Hivi mna akili kweli nyinyi?

Halafu wanalengwa wajawazito na watoto under 5,hapa lazima Kuna kitu kiko-targeted na ni miongo kadhaa ijayo tutaona outcomes zake.

'Mzungu wa kumwamini ni aliyekufa tu' --Mugabe.

Na chakushangaza zaidi hata tukipewa nyenzo za kutusaidia hatutumii. Sources zote zinakwambia Rubella ni "mild" infection ambayo HAIUI kirahisi.
Na hakuna source hata 1 inayoonyesha sisi tuna tatizo ya hilo gonjwa! Mimi WaAfrica wananishangaza sana. Halafu bado unakuta mods wa JF wanafuta comments zinazo diriki kuuliza na kutia shaka!
 
Ebola ilikuwa kongo miaka na miaka na huku kuna vita, uganda nao ebola ilikuwepo mbona sio kama west africa mwafrika anakufa mzungu anapona bado ndege zinatoka west to america na ulaya maskini africa
 
Yes it was crystal. All you have to do is look into epidemiology, diseases& their history. Viruses don't jump species that way. Aids/ Ebola/CMV/EBV &many other viruses which are the precursors &/or cause of many cancers was discovered/created in government labs while trying to create biological weapons back in the 50's, 60's& 70's. Look up Leonard Horowitz or Dr. Nancy Turner Banks. They have written well documented books which contain the contracts& other documents that prove it.

Nikiwa nafanya degree yangu ya kwanza nchi fulani mwaka 2004 nili post na kusema hivyo kipindi hio kwenye darhotwire na youngafricans. Zilikua ndio discussion forum za enzi hizo 2003/2004.
Mwalimu wangu wa virology alinipinga, ila tulibishana darasani kwa kutumia point zake yeye mwenyewe na theories kadhaa kuthibitisha kuwa HIV ina sifa nyingi za kuwa man made virus na sio natural evolving virus.


Na je unajua karibia asilimia 20 ya wazungu a.k.a Caucasians wana kinga/ natural immunitynya HIV kutokana na mutation ya surface protein CCR5? Sasa jiulize wamepateje immunity ya ugonjwa unaosemekana umeanza Africa, wakati tunajua immunity/kinga hupatikana baada ya mtu kukumbana na hicho kirusi ili mwili ujenge kinga.

Ila, as long as tutaendelea kuwategemea wao kwa ukombozi wa matatizo yetu daima tutaangamizwa. Mbona wa China waHindi hili janga halijawapiga kama sisi? Au wenzetu wanafanyana na ndomu tu? Sasa sijui wamewezeje kuzaliana kwa mabillioni.

Ila nilichokuja gundua ni kwamba kwa sisi waAfrica hata kama wote wakiambiwa na wakijua hatuna uwezo wa kufanya chochote sababu hatuna nguvu ya umoja. Ni ajabu sana lakini mzungu ana uwezo mkubwa sana wakutufanya tulumabne wenyewe kwa wenyewe na tushindwe kuaminiana wenyewe kwa wenyewe lakini tumwamini mzungu.
 
Miaka 10 iliyopita nilikuwa na uwezo mdogo sana wa uelewa kuhusu mambo yanayotokea dunia hii,hivyo nilipinga bila ya kuhoji vitu vingi ambavyo kwangu vilikuwa vipya wakati huo mfano;
-HIV/AIDS si ugonjwa halisi-mimi nilipinga lakini nilijihoji mambo machache,
-Cancer/saratani inatibika vizuri sana bila wasiwasi-mimi nilipinga bila kuhoji lolote,
-Kisukari kinatibika vizuri tu-mimi nilipinga bila kuhoji lolote.

Nikapata nafasi na muda wa kuhoji na kufanya utafiti kwa miaka sita sasa.Nilichokigundua ni kwamba;
-HIV/AIDS si ugonjwa halisi na hamna mlinganyo kama huo HIV=AIDS hivyo HIV si kitu cha kuogopa,nina watu nawafahamu hawatumii ARVs miaka 20,10,7 na 2 sasa,najua watu watasema kwamba hao ni carriers.Nafahamu watoto huzaliwa bila HIV wakati mama zao wamepimwa wanavyo,najua kuna watu watasema kwa sababu mama alikuwa anatumi ARVs.
-Cancer/saratani inatibika,najua kuna watu wataanza kupinga kama mimi kipindi kile.Mimi sina muda wa kupingana ila nina muda wa kumthibitishia yule aliye tayari kuelewa,kama uko tayari niulize nitakujibu.''If nature creates problem then nature creates solution''.
-Kisukari kinatibika,usibishe,uliza ueleweshwe ili ujiokoe wewe na ndugu/marafiki zako,serikali haiwezi kukuambia haya.

EBOLA:Totaly a propaganda and fake disease.Nina mengi ya kuongea hapa nisije jaza kurasa watu wakashindwa kusoma,najua sisi weusi ni wavivu wa kusoma habari mpaka mwisho.Ukitaka ukweli niulize,tofauti yangu na walio wengi ni kwamba mimi nafanya tafiti siongei tu kutoka hewani.Niko tayari kumuelewesha yule aliye tayari kuelewa,nisingependa kupoteza muda kubishana.If you want to take a vaccine wait until you listen to me,your doctor will not tell you so,because they have been hidden from knowing the truth.

PROPAGANDA:Is government conspiracy to manipulate public opinion in order to further the agenda.

There are several agenda they want to accomplish using EBOLA propaganda,do you know them?One of them is to poison you with THE BILL GATES VACCINE.Don't blame to me that I have not told you.Bill Gates seems to be humble and many people appreciate him,but is very dangerous.US Government is always like that,they use famous people you appreciate the most to harm you.

I know that very few people know about the following;
1.Medical schools takeover by the Rockefeller,Carnegie and the Morgan in 1910 and its aftermath.
2.FED-Federal Reserve System of USA-1913.
3.Why USA entered the WW1
4.Why Wooldrow Wilson presented agenda for the formation of League of Nations
5.Why USA entered the WW2
6.Why USA fought Vietnam war
7.Why Franklin D.Roosevelt presented second agenda for the formation of UN
8.MOSANTO and GMO
9.American/Nixon war against drugs and then cancer-1971
10.Why marijuana is illegal
11.Why USA invaded Afghanistan,Iraq,Libya,Syria etc
12.Mind control and micro-chipping programs

Take your time to read,do your research or ask if you don't know.Kupinga bila kuhoji ni kujinyima haki ya kuelewa kitu kipya ambacho pengine kingeokoa maisha yako au ya watu wako wa karibu.

-Official Lies are the greatest lies of all.
-The more things change the more they stay the same.
-The Truth is stranger than fiction.
 
Kenya wao wamekataa Chanjo kwa akina Mama (Catholic Church ya Kenya ndio wamegundua huu upuuzi) as a weapon ya kupunguza "population "

Nashangaa...najiuliza...ikiwa waMarekani wanataka kupunguza 'population' Africa, kwa nini watumie Ebola wakati wanatumia mabilioni ya madola Africa kupunguza vifo vya watoto, vifo vya kina mama vinavyotokana na uzazi, vifo vinavyotokana na Malaria Ukimwi na TB!? Si wangeacha tu wafe maana idadi ya vifo wanavyosaidia kuviepusha ni vingi kuliko vya Ebola. Kwa nini waingie gharama nyingine kulipua Ebola ili kuua watu ambao wanakufa tayari na wao wanatoa mahela kibao kuokoa wasife!? Hizi ni propaganda za kipuuzi kabisa na hazitusaidii hata kidogo...
 
Nashangaa...najiuliza...ikiwa waMarekani wanataka kupunguza 'population' Africa, kwa nini watumie Ebola wakati wanatumia mabilioni ya madola Africa kupunguza vifo vya watoto, vifo vya kina mama vinavyotokana na uzazi, vifo vinavyotokana na Malaria Ukimwi na TB!? Si wangeacha tu wafe maana idadi ya vifo wanavyosaidia kuviepusha ni vingi kuliko vya Ebola. Kwa nini waingie gharama nyingine kulipua Ebola ili kuua watu ambao wanakufa tayari na wao wanatoa mahela kibao kuokoa wasife!? Hizi ni propaganda za kipuuzi kabisa na hazitusaidii hata kidogo...

Ukiangalia kwa juuu juu hoja yako inakua na mashiko sana sana. Lakini kama ukiangalia kwa jicho la pili hoja yako haina mashiko, hakuna msaada wa Mmarekani au mgeni mwingine yeyote wenye lengo kamili la kutuokoa. Hatuhitaji pesa tunahitaji knowledge. kamwe pesa haijawahi kuwa mkombozi wa matatizo yetu. Huwezi kumsaidia mtu kwa kumpatia fedha utakua umjinga na ni mjinga peke yake atakayeona kuwa pesa ndio suluhisho la matatizo. Tunahitaji kufundishwa kuvua samaki ili tuweze kuvua wenyewe na sio kutuletea samaki tule(funds).

Nina muda mrefu niko kwenye miradi hii unayoisifia na kamwe haijawahi kusaidia na sasa kwa taarifa yako unakuja mradi wa mabilioni ya fedha na lengo lake ni kuongeza mambo fulani. Utajua muda ukifika.

Kwa sasa Mtwara kuna International NGOs kibao. Je ni kweli leo baada ya gesi kugunduliwa ndio watake kuja kuondoa umaskini Mtwara? Mpwa hoja yako ni potofu sana. Je vyandarua vya mabilioni vimepunguza malaria kwa kiasi gani? Je tulihitaji vyandarua au tulihitaji elimu ya kuteketeza mazalia ya mbu? Kama jibu ni hapana, je kwanini tulipewa vyandarua? That is market creation ya goods zao. We are paying back kwa kununua madawa na vitu vya namna hio. Stuka Mpwa usiwe mkali bila kufikiri...
 
Back
Top Bottom