Truth about Ebola

Truth about Ebola

Unajua nn mpendwa, huu ugonjwa ni porojo tu...swali kama kweli upo huko west africa kwanini wapeleke wanajeshi wa kutosha wenye zana za kivita nzito badala ya kupeleka madaktari wengi? Pia congo ilikuwepo ebola then ikaondoka....je sababu iliyofanya ebola izaliwe congo na pia ife huko huko congo ni ipi? God bless Africa, God save Africa...

hili swali hata mie nilijiuliza, kwa nini wanapelekwa wanajeshi badala ya watumishi wa afya??
ebola ipo lakini ndugu yangu
 
Halafu utasikia Mwafrika mwenzako anakwambia ni kwa sababu sisi waafrika tunawaza ngono tu mda wote na hatuvai condom! Unaweza mrukia kichwa aisee. Utingo umesoma kuhusu immunity ya ukimwi walionao wazungu kutokana na mutation ya protein CCR5?
Je ulishawahi kusikia Plague, au the black death iliyokumba ulaya karne ya 14?

Unajua inasemekana ilikua ni kirusi kama EBOLA!! Sasa imeanzeje ghafla WA?

Was Ebola Behind the Black Death? - ABC News

Mkuu CDC ndiyo benki ya magonjwa na virus vyote duniani. Wakiamua kuwafanyizia wanawafanyizia tu....na mimi siamini kuwa CDC ipo kuwasaidia wanadamu but a certain evil order.

hizi chanjo hata zinazofanywa hapa tz mimi ninazitilia mashaka sana.....kila mwaka wanatoa chanzo ya minyoo kwa watoto, fanya utafiti katika maduka ya dawa utakuta dawa zinazonunuliwa sana ni antibiotics /za minyoo na wahanga ni watoto.....!!!????
 
Halafu utasikia Mwafrika mwenzako anakwambia ni kwa sababu sisi waafrika tunawaza ngono tu mda wote na hatuvai condom! Unaweza mrukia kichwa aisee. Utingo umesoma kuhusu immunity ya ukimwi walionao wazungu kutokana na mutation ya protein CCR5?
Je ulishawahi kusikia Plague, au the black death iliyokumba ulaya karne ya 14?

Unajua inasemekana ilikua ni kirusi kama EBOLA!! Sasa imeanzeje ghafla WA?

Was Ebola Behind the Black Death? - ABC News
Umenikumbusha sakata la Thambo Mbeki na UKIMWI, jinsi alivyowacharua wataalam wa HIV/AIDS na theory zao
 
Aisee isije ikawa kweli maana yule mliberia Duncan aliondoka kwao Liberia wala hakuwa na dalili za ugonjwa lakini kushuka tu kwenye ndege Marekani akaonekana anao
Incubation period ya Ebola ni wiki tatu ndugu yangu, nyie fanyeni utani tu!.
 
Mijitu mingine huku JF ni hovyo kabisa,yan inaamin kila makala inayoletwa humu kisa tu hiyo makala inam conderm mzungu!,..eti hakuna ebola!!,yan waafrika tutaisha kwa huu ujinga wa kutoamin na kua makin na mambo ya kitaalam!...Anayebish hakuna ebola,bas nenda liberia ukamkiss mgongwa wa ebola afu ukirudi mzima apa,me ntakulipa gharam zako zote 2x.achek upumbav kwe vitu vya msingi..
 
People,international politics is very broad,we need to know a lot of information before arriving at conclusion.It is not true that protein mutation of CCR5 is the one responsible for protecting white people from being clinically infected with HIV but rather HIV by itself is HARMLESS after antibody immunity.Our bodies/immunity(all people,blacks and whites) get rid of HIV within weeks after infection.
There is no such a thing as malaria vaccine,there is very good scientific explanation as to why in many developed countries there is no malaria/malaria cases are countless,but it is not vaccine which is responsible.I was studying in China for three years but never experienced malaria and even to people around me despite being bitten by a number of mosquitoes everyday during hot season.
Depopulation is not their main agenda though is one of them.Their main purpose is super profit(money) and power/control of everything under the sun,remember that all these dirty things are done by USA,the cartel between government and wealthiest people,this is known as corporatocracy.
Don't trust ABC,BBC,CNN,FOX NEWS,SKY NEWS folks,for these are owned by the corporatocracy,so you can't get the truth of sensitive information from these mainstream media.You can see some people on these media blaming the government and you will think they are opposing the government but the reality is they are together in the mission (they are just brainwashing you).Remmember, THE MORE YOU SEE THINGS CHANGE,THE MORE THEY STAY THE SAME.THEY MORE THEY SEEM TO BE AGAINST EACH OTHER,THE MORE THEY ARE CLOSE TOGETHER.
 
[Mijitu mingine huku JF ni hovyo kabisa,yan inaamin kila makala inayoletwa humu kisa tu hiyo makala inam conderm mzungu!,..eti hakuna ebola!!,yan waafrika tutaisha kwa huu ujinga wa kutoamin na kua makin na mambo ya kitaalam!...Anayebish hakuna ebola,bas nenda liberia ukamkiss mgongwa wa ebola afu ukirudi mzima apa,me ntakulipa gharam zako zote 2x.achek upumbav kwe vitu vya msingi]

Nakushauri wekeza muda wako kufanya utafiti na kujisomea,usichukulie mambo kirahisi,soma,elewa,ukishindwa uliza ueleweshwe,ukitaka vithibitisho utapewa hata ushauri wa wa siri kuna watu wako tayari kukupa.Kwa kufanya hivyo utajiokoa wewe na ndugu zako si tu kuhusu Ebola bali mambo mengi ambayo ndio yanasumbua afya na uchumi wetu.

-Najua unajua kwamba kansa/saratani haitibiki
-Najua unajua kwamba UKIMWI hautibiki
-Najua unajua kwamba kisukari hakitibiki n.k

Haya magonjwa yote si ya kuogopa,najua kwamba maelezo ninayotoa kwako ni kama muujiza,lakini ni sayansi iliyothibitishwa.Jiokoe kifikra,SOMA.
 
[mijitu mingine huku jf ni hovyo kabisa,yan inaamin kila makala inayoletwa humu kisa tu hiyo makala inam conderm mzungu!,..eti hakuna ebola!!,yan waafrika tutaisha kwa huu ujinga wa kutoamin na kua makin na mambo ya kitaalam!...anayebish hakuna ebola,bas nenda liberia ukamkiss mgongwa wa ebola afu ukirudi mzima apa,me ntakulipa gharam zako zote 2x.achek upumbav kwe vitu vya msingi]

nakushauri wekeza muda wako kufanya utafiti na kujisomea,usichukulie mambo kirahisi,soma,elewa,ukishindwa uliza ueleweshwe,ukitaka vithibitisho utapewa hata ushauri wa wa siri kuna watu wako tayari kukupa.kwa kufanya hivyo utajiokoa wewe na ndugu zako si tu kuhusu ebola bali mambo mengi ambayo ndio yanasumbua afya na uchumi wetu.

-najua unajua kwamba kansa/saratani haitibiki
-najua unajua kwamba ukimwi hautibiki
-najua unajua kwamba kisukari hakitibiki n.k

haya magonjwa yote si ya kuogopa,najua kwamba maelezo ninayotoa kwako ni kama muujiza,lakini ni sayansi iliyothibitishwa.jiokoe kifikra,soma.


mia mkuu,lakini si mbaya ungedadavua hapa jamvini sisi waafrika ndivyo tulivyo tukapata elimu ya kutukomboa sheikh.
 
The United States has withheld assurances from Germany that the Ebola virus - among other related diseases - would not be weaponized in the event of Germany exporting it to the US Army Medical Research Institute for Infectious Diseases.

German MFA Deputy Head of Division for Export Control Markus Klinger provided a paper to the US consulate's Economics Office (Econoff), "seeking additional assurances related to a proposed export of extremely dangerous pathogens."

SOURCE :RT.com
 
Mijitu mingine huku JF ni hovyo kabisa,yan inaamin kila makala inayoletwa humu kisa tu hiyo makala inam conderm mzungu!,..eti hakuna ebola!!,yan waafrika tutaisha kwa huu ujinga wa kutoamin na kua makin na mambo ya kitaalam!...Anayebish hakuna ebola,bas nenda liberia ukamkiss mgongwa wa ebola afu ukirudi mzima apa,me ntakulipa gharam zako zote 2x.achek upumbav kwe vitu vya msingi..

Acha panic, come and prove that ebola in not man made?
 
[Mijitu mingine huku JF ni hovyo kabisa,yan inaamin kila makala inayoletwa humu kisa tu hiyo makala inam conderm mzungu!,..eti hakuna ebola!!,yan waafrika tutaisha kwa huu ujinga wa kutoamin na kua makin na mambo ya kitaalam!...Anayebish hakuna ebola,bas nenda liberia ukamkiss mgongwa wa ebola afu ukirudi mzima apa,me ntakulipa gharam zako zote 2x.achek upumbav kwe vitu vya msingi]

Nakushauri wekeza muda wako kufanya utafiti na kujisomea,usichukulie mambo kirahisi,soma,elewa,ukishindwa uliza ueleweshwe,ukitaka vithibitisho utapewa hata ushauri wa wa siri kuna watu wako tayari kukupa.Kwa kufanya hivyo utajiokoa wewe na ndugu zako si tu kuhusu Ebola bali mambo mengi ambayo ndio yanasumbua afya na uchumi wetu.

-Najua unajua kwamba kansa/saratani haitibiki
-Najua unajua kwamba UKIMWI hautibiki
-Najua unajua kwamba kisukari hakitibiki n.k

Haya magonjwa yote si ya kuogopa,najua kwamba maelezo ninayotoa kwako ni kama muujiza,lakini ni sayansi iliyothibitishwa.Jiokoe kifikra,SOMA.

hahah..thibitisha kwamba ebola virus is man made....acha kelele..
 
Acha panic, come and prove that ebola in not man made?

Bado kuna matumaini ya kukomesha udhalimu huu. Warusi wako kazini kutunusuru na kadhia hii. Si unajua hawa wanatengeneza virus hawa wanatengeneza antivirus...

By RT.com

Russian scientists are developing a technology to make monoclonal antibodies specific to the Ebola virus. If successful, the resulting medicine could be available as soon as December. Testing points to a positive effect within 24 hours of administering.

Mikrogen – one of the Russian leaders in the market for alternatives to antibiotics first had the idea. The company partnered up with the health ministry in Ufa, in Russia’s Republic of Bashkortostan, to develop “a system for rapidly diagnosing the virus in human fluids and in the environment."
 
Bado kuna matumaini ya kukomesha udhalimu huu. Warusi wako kazini kutunusuru na kadhia hii. Si unajua hawa wanatengeneza virus hawa wanatengeneza antivirus...

By RT.com

Russian scientists are developing a technology to make monoclonal antibodies specific to the Ebola virus. If successful, the resulting medicine could be available as soon as December. Testing points to a positive effect within 24 hours of administering.

Mikrogen – one of the Russian leaders in the market for alternatives to antibiotics first had the idea. The company partnered up with the health ministry in Ufa, in Russia’s Republic of Bashkortostan, to develop “a system for rapidly diagnosing the virus in human fluids and in the environment."

Thanks for the information.
 
Mijitu mingine huku JF ni hovyo kabisa,yan inaamin kila makala inayoletwa humu kisa tu hiyo makala inam conderm mzungu!,..eti hakuna ebola!!,yan waafrika tutaisha kwa huu ujinga wa kutoamin na kua makin na mambo ya kitaalam!...Anayebish hakuna ebola,bas nenda liberia ukamkiss mgongwa wa ebola afu ukirudi mzima apa,me ntakulipa gharam zako zote 2x.achek upumbav kwe vitu vya msingi..
Hivi inawezekana kabisa na wewe kuna watu wanakutegemea kabisa huko kwenu.
Usikurupuke ndugu. Soma uelewe na ni vizuri kuuliza, tu debate na kueleweshana. Sio wote wanaosema ebola aipo, wengi wetu tunasema:
1. Ipo lakini Western Media ina exaggerate uwepo wake kwa ajili ya agenda zao.
2. Ipo lakini hatuamini imetokana na popo wa huko West Africa. Kuna ushahidi wa kuonyesha ya kwamba, ebola ni kirusi cha kutengenezwa kama ilvyo UKIMWI.

Usikurupuke tu mkuu, humu ndani kuna watu wana elimu za mambo tofauti duniani na wana experience tofauti tofauti nyingi za hali ya juu. Wapuuzi pia nao wako wengi sana. Sasa kabla ya kutukana, hembu jaribu kumchallenge mtu kwanza ukiona haeleweki then una haki ya kusema ni mpumbavu kwenye hilo swala.
Sasa kwa mfano mimi ukiniita mpumbavu kwenye swala la Virology, Microbiology, Immunology e.t.c. nitacheka tu.
 
Kwa jinsi post anazorusha Nyamgluu zilivyo sensitive na muhimu kwa watu kuzitumia ili kubadili fikra zao lakini watu wanazichukulia kirahisi tu na kuzipuuzia/kusahau,inanifanya niwe mvivu kutoa post zangu kwa kuwa najua zitapuuziwa kama zile za Nyamgluu halafu nitakuwa nimepoteza muda wangu.
Most people only think about LEARNING,but I tell you that you can also UNLEARN.To LEARN is easy but to UNLEARN is one of the most difficult things to do.
Mfano:Watu wanajua kwamba bangi ni haramu kwa sababu wameambiwa hivyo(do you remember my quote? official lies are the greatest lies of all),mimi nitakapowaambia watu kwamba bangi si haramu,watabisha kwanza kama kwaida yao kabla ya kuhoji.Ila ukiamua kuhoji utagundua kwamba sheria ya kwamba bangi haramu si yetu bali tumeambiwa na marekani kupitia Umoja wa mataifa kwamba tuweke sheria kwamba bangi ni haramu,kwa nini?watakuambia kwa sababu inaharibu akili ukivuta.Sigara/tumbaku je?BULLSHIT!!!
-Nani anujua kwamba bangi ni tiba safi kabisa ya kansa,kisukari na magonjwa mengi sugu?Tumefichwa.
-Nani anajua kwamba bangi ni source of energy/fuel or free energy?Tumefichwa.
-Nani anajua kama bangi ingeruhusiwa viwanda vingi kama vile viwanda vya madawa tunavyovisifia leo hii vingefungwa?Makampuni ya mafuta/umeme yangepunguziwa soko?

Hili si suala linalohitaji sayansi lakini bado watu watashindwa kukubali/kufuatilia/kuelewa.Je masuala ya kisayansi kama Ebola watu wataelewa kweli?
If you use your brain to search for the truth you will find things like EBOLA,HIV,CANCER and DIABETES become more obvious and things like marijuana is illegal is nonsense and illogical.
 
Nitakua wa mwsho kuamni hii kitu mbona pia wazungu wanafariki hata ukimwi kipindi unaingia yalisemwa mengi lakn ukwel kwa sasa kila mtu ni mashahd wa nn kinaendelea
 
Deception hata mimi nimechoka ndugu.

Ila hilo la bangi nilikua sijui sema nikaanza kujiuliza kwanini wameanza kuhalalisha huko kwao? Nitafwatilia.
 
Last edited by a moderator:
Wakuu Deception, na Nyamgluu,msifanye hivyo itakuwa hamtutendei haki sisi tunaojifunza kutoka kwenu,binafsi nafaidika sana na elimu yenu,huwa nasoma post nikiwa offline,kwahiyo nawaomba muendelee kutufunza sie wagema ulimbo. Shukrani.
Nalog off
 
Last edited by a moderator:
[Deception hata mimi nimechoka ndugu.

Ila hilo la bangi nilikua sijui sema nikaanza kujiuliza kwanini wameanza kuhalalisha huko kwao? Nitafwatilia.]

Nyamgluu najua wewe ni active,kwa kukurahisishia kuhusu hili la bangi;
1.Angalia kwenye youtube-Run From The Cure documentary by Rick Simpson(Hemp oil cancer cure).Najua utakutana na nyingine nyingi zinazoendana na hiyo kwenye youtube,angalia then you will arrive to your conclusion.
2.Fuatilia pia American War against drugs/Nixon War against Cancer-1971.
3.Angalia kwenye youtube Weed-CNN Special Dr Sanjay Gupta 2013 Documentary.Kumbuka Sanjay Gupta ni CNN special missile ya ku-brainwash watu hasa katika suala hili la EBOLA,lakini wewe mwenyewe angalia ujionee mwenyewe katika suala hili la bangi.

Fuatilia pia kuna madaktari wengi wenye uwezo mkubwa wamefanya utafiti na wanakubali kwamba bangi ina uwezo mkubwa wa kutibu cancer.Sometimes later we will share information because I found you have something I don't have and I need it.
 
[Wakuu Deception, na Nyamgluu,msifanye hivyo itakuwa hamtutendei haki sisi tunaojifunza kutoka kwenu,binafsi nafaidika sana na elimu yenu,huwa nasoma post nikiwa offline,kwahiyo nawaomba muendelee kutufunza sie wagema ulimbo. Shukrani.
Nalog off]

Washawasha,mimi niko tayari kwa aliye tayari kama wewe kujadiliana/kubadilishana uelewa,napenda pia kupata uelewa kutoka kwa wengine kama wewe ndio maana niko humu kwa kuwa baada ya kuangali post nyingi nimeona humu kuna watu wanajua mambo mengi ambayo nilikua siyafahamu.Unaweza kuuliza pale unapotaka kufahamu then nitajaribu kukueleza kwa kadiri ninavyoweza.Thanks.
 
Back
Top Bottom