Trust katika Mahusiano

Mtu asipo kuwa mwaminifu kwa kitu kidogo jua majanga hayo

Kabisa. Wengi ambao wamezoea uongo ndio pia mstari wa mbele kwenye cheating. Behavior breeds behaviour. Nishaona wengine wanasema uongo hadi wanaamini huo uongo ndio ukweli. Problem with lying u gotta have a good memory...
 
ha haaaa, ukiona hivi ujue nina mpango wa kuaga naenda kwa mjomba kwa muda wa wiki 2.
hizi simu za mkononi ndo nazo zimeleta janga kubwa sana la uongo..... watu wanadanganya sana location. mi nadhani sasa ile ambayo wanatumia kulocate location ya mtu iwe ina-reflect kwenye simu zetu, i.e. nikimpigia mtu niwe nina uwezo wa kuona yuko wapi naye aone niko wapi........
 
Hmmm...lakini kweli aisee. Manake ukimweleza mwenzio anaweza akapatwa hisia zisizo kabisa na kuzusha sokomoko lisilo na kichwa wala miguu. Yaani haya mapenzi haya...
ha haaa, mimi sijui kwa nini sitishikagi na x. nipo hivyo
akikutana naye huwa ananiambia tu na sometimes anampigia akiwa naye namsalimu na kumwambia anichungie asiibiwe na watu, lol!
 
Reactions: BAK
Hata ukimkuta Juma/Amina njiani bora useme kama mlikutana na kuzungumza zaidi ya salam tu

Bora ajue unamwambia ukweli japo hampendi hiyo rafiki, kuliko kuonekana unaficha ficha
Kuna tija kuyasema hayo yote?
 

Kama ingekuwa zaidi ya salam, mazungumzo marefu, au mnakwenda for a bite umueleze yako, alipaswa aseme huko

Manake msije mkaonekana ndio mkaonekana mlikuwa na la kuficha
 
una sababu ya kudanganya ingawa siyo ya lazima saana......
anapaswa kujua kuwa wewe ni mtu huru, tena yeye ni BF tu, akupe uhuru wako, na wewe usimpe sababu za kukosa uaminifu na wewe, kama unamwambia unaenda kwa aunt nenda huko
 
Reactions: BAK
ha haaaa, hao ni wa kuwaambia, akikudanganya unamwambia kabisa hapa dada umedanganya, ataona aibu ukishamwambia mara 27 atapunguza
 
Reactions: BAK
kweli unapaswa kufanya kitu ambacho mpenzi hakipendi? ndo utajiona unampenda?
yaani mpenzi hapendi niende disco mimi naenda disco kwa kumdanganya ili nisimwumize. atajisikiaje akigundua kuwa ulimdanganya? si ndo ataumia zaidi?
 
Reactions: BAK
katika haya maisha yetu tunayoishi kuna mazingira hayakwepeki kusema japo kauongo, la msingi ni kuwa usiwe uongo wa majanga, ili hata akija kugundua huko mbeleni ukimweleza kisa cha kudanganya angalau akuelewe kuwa nia yako haikuwa mbaya.
 
ha haaa, mimi sijui kwa nini sitishikagi na x. nipo hivyo
akikutana naye huwa ananiambia tu na sometimes anampigia akiwa naye namsalimu na kumwambia anichungie asiibiwe na watu, lol!

Labda wewe hivyo ni ndivyo ulivyo. Lakini kwa wengine hayo mambo ya kukutana na ex huleta mifarakano sana.

Kwa wale ambao huamini kwamba 'old flames are easy to reignite', kukutana na ex kunaweza kukawapa jakamoyo sana.

Mwenzio anaweza kupatwa na mawazo mengi - je, ina maana walikutana kwa bahati mbaya tu au walipanga wakutane?

Kama walipanga wakutane basi ina maana huwa wanawasiliana. Na kama huwa wanawasiliana huwa wanawasiliana kwa kiasi gani na kwa njia ipi/zipi?

Na walipokutana walizungumzia mambo gani? Na walikutania wapi? Na walipoagana, je, walipanga miadi ya kukutana tena?

Kama walipanga hiyo miadi, ni lini, wapi, na muda gani watakutana?

Hahahaa unaona sasa madhila unayoweza kumsababishia mwenzio....?
 
ha haaa, hapo tunakubaliana na mimi kabisa.... kama una sababu inayokufanya ukadanganya kwa "mambo ya kawaida" ndo hivyo, otherwise sioni kabisa sababu
 
Reactions: BAK
Ukiona mtu anakudanganya kwamba anaenda sehemu fulani kumbe haendi huko bali anaenda kwengineko, basi wewe mke utakuwa na negative attitude na hiyo sehemu (labda hamuelewani vizuri na wifi zako) sasa anahisi akikwambia anaenda huko utakasirika na utahisi kana kwamba atakwenda kujazwa maneno ya kinafiki ambayo yatahatarisha ndoa yenu, na mfano wa hivyo.. Mimi mawazo yangu ni kwamba wanandoa hawatakiwi kuwa na "conflict of interests" muwe kitu kimoja murekebishe penye tatizo, basi kudanganywa hakuna tena.
Kitu ambacho wanadanganya ni kimoja tu, pindi iwapo anaenda au ametoka kwa "nje ya ndoa" hapa piga ua hakuna kusema ndio, vinginevyo vyoote vinatekelezeka...
 

Mboa simu za hivyo zipo ila ni watu wachache walio nazo. Labda tuwape hili wazo Made in China watusaidie kututengenezea mpaka Nokia tochi ziwe na huo uwezo wa kumuona mwenzio pale mnapoongea nae kwenye simu.

Ngoja nichakachue mada kidogo
Hivi Jf mmeppunguza wiwango vyakua-Premium member sanasana Tanzanite member?
CC: Bishanga, BAK, Superman na @FP.
 
Halafu hii ya kuaga unaenda kwa shangazi kumbe unaenda kwa dada sio nzuri kabisa kiufupi uongo si kitu chema na ukisha kosa uaminifu ni vigumu sana mtu kukuamini tena hata kama siku nyingine utasema ukweli. Hasa kwenye mahusiano ndio mbaya kabisa

^^
Unajua FP laiti kama sala watu wangezishika akilini na moyoni ...awapo njiani kwenda kusaliti basi angerudi kwake na kumalizia hamu yake kwa mwenza wake
^^
 
Last edited by a moderator:
AH!kunyonyesha huko ananyonyesha kituo!
atupishe kule!hebu aje hapa!
ish kwani hapa mbn kama nna hasira sana!
we mke mwenza hebu kuja huku!
ha haa, una hasira ya kudanganywa mchana kweupeeeeeeeeeee!
si ndo maana dada mkubwa nikaamua nianzishe hii mada tujuzane kwanza! labda wadau watatusaidia kupunguza hasira yetu
 
Kabisa. Wengi ambao wamezoea uongo ndio pia mstari wa mbele kwenye cheating. Behavior breeds behaviour. Nishaona wengine wanasema uongo hadi wanaamini huo uongo ndio ukweli. Problem with lying u gotta have a good memory...
ha haa not only good memory but also good justification......... otherwise unaumbuka
 
Kama ingekuwa zaidi ya salam, mazungumzo marefu, au mnakwenda for a bite umueleze yako, alipaswa aseme huko

Manake msije mkaonekana ndio mkaonekana mlikuwa na la kuficha
ndo maana najiuliza kama alimwambia mkewe. mimi mume wangu hana shida na tulishaongea kuhusu hilo siku nyingi tu
 
Reactions: BAK
ha haa, una hasira ya kudanganywa mchana kweupeeeeeeeeeee!
si ndo maana dada mkubwa nikaamua nianzishe hii mada tujuzane kwanza! labda wadau watatusaidia kupunguza hasira yetu

af wewe!
kwanza nasikia una salamu zangu kutoka kwa Kaizer au na yeye aliamua kunidanganya!
mi nakasirikaga mimi!
 
Last edited by a moderator:
katika haya maisha yetu tunayoishi kuna mazingira hayakwepeki kusema japo kauongo, la msingi ni kuwa usiwe uongo wa majanga, ili hata akija kugundua huko mbeleni ukimweleza kisa cha kudanganya angalau akuelewe kuwa nia yako haikuwa mbaya.
ha haa, binamu huo uongo wa majanga hata mimi nimesema naukubali, kwenye majanga there is no way utasema ukweli, utaonekana mwehu ukisema ukweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…