Trump kutopewa taarifa nyeti za Marekani ambazo hutolewa kwa Marais wastaafu

STRUGGLE MAN

JF-Expert Member
May 31, 2018
8,638
16,566
Utawala wa Rais wa Marekani Joe Biden umesema unafikiria kuzuia Trump asipewe taarifa za siri nzito za Nchi hiyo ambazo kwa kawaida Marais Wastaafu huwa wanapewa dokezo, Msemaji wa Ikulu Marekani Jen Psaki amesema kitendo cha Trump kuwashawishi Wafuasi wake kuvamia Bunge ni miongoni mwa mambo ambayo bado yanawapa wasiwasi kuhusu kumuamini Trump.

Sababu Nyingne ambazo zijatajwa kama chanzo cha Trump kutaka kuzuiliwa kupewa siri nzito za Serikali ya Marekani ni madai ya kwamba alivujisha taarifa kuhusu ISS kwa Warusi na aliwahi kupost kwenye mtandao wa Twitter picha za satellite za kituo cha Nyuklia cha Iran ambazo zilikuwa za siri.
 
Sio kweli, trump hajui siri nyingi za USA sababu yeye ni mgeni katika siasa za America.
Biden anajua siri nyingi yeye ni mwanasiasa mkongwe sana nchini USA.
JB is just a single largest epitome of a real, blatant puppet in the entire world -- he must be told what to do, how, when, where. His brain does not have to work or exercise his free will anymore. Trump wanted to stand as a real president -- something that the previous corrupt system could not allow it further.
 
Sio kweli, trump hajui siri nyingi za USA sababu yeye ni mgeni katika siasa za America.
Biden anajua siri nyingi yeye ni mwanasiasa mkongwe sana nchini USA.
Mkuu wa dola ambae ndie amiri jushi mkuu ndie mtu wa kipaumbele namba moja katika taifa.
Vyombo vyote vya dola huripoti kwake.
Trump kapiga hapo plot One miaka minne, Biden yeye ana chini ya miezi miwili.
 
Mkuu wa dola ambae ndie amiri jushi mkuu ndie mtu wa kipaumbele namba moja katika taifa.
Vyombo vyote vya dola huripoti kwake.
Trump kapiga hapo plot One miaka minne, Biden yeye ana chini ya miezi miwili.
Biden Yuko serikali kwa miaka 30+, sema Kama sheria inawataka marais wastaafu wapewe siri basi lazima na Trump atapewa kwa sababu katiba unataka hivyo, usipofanya hivyo utavunja katiba, utabidi upeleke shairi mahakamani ndipo mahakama iamuru kuwa Trump asipewe hizo taarifa.

Biden ni mgomvi Sana maana alianza kuomba siri za jeshi la Marekani hata kabla hajaapishwa kitu ambacho hakikuwa sahihi
 

TRAMP KUZUIWA KUTOPEWA TAARIFA ZA SIRI NZITO ZA NCHI YA MAREKANI​

Andika Trump na Sio Tramp??
 
Biden Yuko serikali kwa miaka 30+, sema Kama sheria inawataka marais wastaafu wapewe siri basi lazima na Trump atapewa kwa sababu katiba unataka hivyo, usipofanya hivyo utavunja katiba, utabidi upeleke shairi mahakamani ndipo mahakama iamuru kuwa Trump asipewe hizo taarifa.

Biden ni mgomvi Sana maana alianza kuomba siri za jeshi la Marekani hata kabla hajaapishwa kitu ambacho hakikuwa sahihi
Nakuhakikishia wazungu sio kama sisi wao taifa kwanza, na sio chama kwanza!!jambo lenye maslahi ya taifa halina mjadala, tena kwa upotolo huo alioufanya jan.6!!hata wapambe wake wamemuona jinga tu!!ukizingatia na historia yake huko, nyuma kama ni vifungu vitabadirishwa tu ili asipewe taarifa hizo.kuna kipindi alivujisha taarifa za satelaiti kwa urusi, juu ya ISS!!yule ni hatari kwa taifa, na wao hawawezi kukubali hilo!!
 
Sleepy Joe atambwela Mbwela Weee Na kulia lia kila wakati kama mjane alieachwa kuja kushituka Miaka 4 imeisha...Tunamuangalia tu Sleepy Joe anajua kabisa Mwamba Trump Kupewa Taarifa ni takwa la kikatiba wala sio uwezo wake mbona asimuondolee ulinzi sasa Kule Kuna Taasisi sio kama huku amri ya mtu mmoja inafanya kazi.

Mtu anaambiwa hapa hapana hata kama ni Rais.

kilichomtoa Trump ni system haikumtaka hajaenda vitani wapige deal...wanajua kwa kura alishinda.
 
Biden unamjua unamsikia?.

Trump cant be trusted..hakuwa mtu wa 'system' ,Biden yupo tangu 70's nafikiri
Kwahio trump aliokotwa jalalani? Miaka minne ya utumishi ukiwa kama raisi tayar wewe ni mtu wa system tena kuna siri nyingine siri kuu utakuwa unazijua kuwazidi hao wa miakaya 70. Biden mwenyewe akianza kumezeshwa hizo siri utashangaa anaachana na wazo la kumuengua trump kwenye maswala ya dokezo za siri
 
Kwahio trump aliokotwa jalalani? Miaka minne ya utumishi ukiwa kama raisi tayar wewe ni mtu wa system tena kuna siri nyingine siri kuu utakuwa unazijua kuwazidi hao wa miakaya 70. Biden mwenyewe akianza kumezeshwa hizo siri utashangaa anaachana na wazo la kumuengua trump kwenye maswala ya dokezo za siri
Hujanielewa.,
Nilikua natofautisha uzoefu wa Biden na Trump

Biden anajua mengi kuhusu Marekani kuliko Trump.,usisahau amekuwa VP wa Obama 8 yrs na kuwepo kwenye Senate na Congress miaka nenda rudi...Trump hajawahi kuwa mtumishi wa Umma Marekani
 
Hujanielewa.,
Nilikua natofautisha uzoefu wa Biden na Trump

Biden anajua mengi kuhusu Marekani kuliko Trump.,usisahau amekuwa VP wa Obama 8 yrs na kuwepo kwenye Senate na Congress miaka nenda rudi...Trump hajawahi kuwa mtumishi wa Umma Marekani
4yrs inatosha kuyajua ayajuayo biden na mengine ambayo biden hayajui. Kwanini? Yeye ndio top na angalau kila jambo huitaji endorsement yake.... !!!
 
Kumbuka JB amekuwa makamu wa rais kwa miaka nane na pia amekaa kwenye siasa kwa miaka 40
Mkuu wa dola ambae ndie amiri jushi mkuu ndie mtu wa kipaumbele namba moja katika taifa.
Vyombo vyote vya dola huripoti kwake.
Trump kapiga hapo plot One miaka minne, Biden yeye ana chini ya miezi miwili.
 
Back
Top Bottom