The Zanzibar Echo
JF-Expert Member
- Apr 21, 2025
- 490
- 836
Rais Donald Trump amesema Marekani haihusiki katika vita vinavyoendelea kati ya Israel na Iran.
"Marekani haikuwa na uhusiano wowote na shambulio dhidi ya Iran, usiku wa leo," Trump amesema katika chapisho kwenye jukwaa lake la Truth Social platform.
Iran imeionya Marekani na washirika wake kutoisaidia Israel kuzuia mashambulizi yake ya kulipiza kisasi.
"Ikiwa tutashambuliwa kwa namna yoyote na Iran, mutakabiliana na nguvu kamili na nguvu ya wanajeshi wa Marekani katika viwango ambavyo havijawahi kuonekana," Trump ameongeza. "Hata hivyo, tunaweza kufikia makubaliano kwa urahisi kati ya Iran na Israel, na kumaliza mzozo huu wa umwagaji damu
"Marekani haikuwa na uhusiano wowote na shambulio dhidi ya Iran, usiku wa leo," Trump amesema katika chapisho kwenye jukwaa lake la Truth Social platform.
Iran imeionya Marekani na washirika wake kutoisaidia Israel kuzuia mashambulizi yake ya kulipiza kisasi.
"Ikiwa tutashambuliwa kwa namna yoyote na Iran, mutakabiliana na nguvu kamili na nguvu ya wanajeshi wa Marekani katika viwango ambavyo havijawahi kuonekana," Trump ameongeza. "Hata hivyo, tunaweza kufikia makubaliano kwa urahisi kati ya Iran na Israel, na kumaliza mzozo huu wa umwagaji damu