Trump amelinda heshima ya wanaume wote duniani

Trump amelinda heshima ya wanaume wote duniani

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
17,183
Reaction score
16,866
Hilary naye angeshinda urais wa taifa kubwa la Marekani dhana ya 50 kwa 50 ingebadilika ghafla na kuwa 80 kwa wanawake na 20 wanaume ili kuponyesha majeraha ya wanawake kubaguliwa na kunyanyaswa na wanaume kwa miaka mingi. Bi hilary angeungana na Angel Mackel na Thereza May wa Uingereza katika kukinukisha. Ahsante Mungu kwa kuyasimamia maneno yako kwa wanadamu kuhusu nafazi ya mwanamke na mwanamke katika jamii. Amen.
 
Nakubaliana na wewe.

Katika maisha yako yoote mwanaume unatakiwa uwe jeuri kwa mwanamke hata mke wako usije thubutu akuelewe.
hata mkeo gfriend wako akikushauri jambo hata kama nilaamana na umeliona lina manufaa kwenu wewe likatae afu lilete kwa mlango wa nyuma mlifanyie kazi.
 
Mwanamume ndiye aliyepewa ukuu hapa duniani, yaani hiyo ndiyo asilia, ukileta habari ya mwanamke akutawale wew mwanamume, utakuwa unaleta mpango wa shetani,huo sio mpango wa Mungu. Tangu lin mwanamke akaweza kujisimamia? Kama hawezi iweje atoe dira mbele ya dume
 
Kwa akili hizi ndiyo maana Africa ipo hapa ilipo. Nyie mnaoongozwa na wanaume mmeendelea kiasi gani kushinda wanaoongozwa na wanawake?

Dini hakika ni opium ya akili zimefanya wengi wenu muwe nusu vichaa na kuwacha kuwa na fikra huria.
 
Hapana kama napata kaukakasi kutoa ya moyoni, hii ni kwa sababu natambua mchango mkubwa wa mwanamke ktk jamii lkn nachelea kusema kwamba hapana shaka mwanaume kwa mujibu wa imani zetu lazma amwongoze mwanamke, maana huyu mwana mama angekamata usukani na ukizingatia ushawishi wake binafsi na wa nchi yake huku akishirikiana na kina mama wenzie kutoka Germany na Uingereza wangetaka dunia nzima ikaliwe na kina mama kinyume na mpango wa Mungu, kuhusu Trump amechukiwa kutokana na misimamo yake ambayo kiukweli ipo mingi yupo kinyume kabisa haswa kutokana na kua mbaguzi lkn mengi sana anayoyasema kuhusu Afrika yana ukweli kwamba bara hili kwa miongo na karne kadhaa sasa viongozi wake wamekua ni mizigo na sio wachochea maendeleo..Ni wakat wa kuamka na kuijenga Afrika kwa kutumia rasilimali zetu na kuiga mazuri ya huyo bwana mkubwa lkn tusichelee kupinga upuuzi wake kwa namna yeyote
 
Amelinda heshima ya mwanaume kama apendavyo MUNGU
 
Hii ndio inferiority complex sasa...! Face palm !
 
Binaadamu wa sasa wanachekesha sana na vielimu vyao wanajifanya wanajuaaa kuliko aliyewaumba tulishapewa utaratibu wa kuishi hapa duniani tatizo tumeuacha na tunaona mungu amekosea tunalazimisha tunavyotaka sisi (najua mnaweza Fanya sisi tunachofanya ila hamuwezi kwenda haja ndogo huku mmesimama)[emoji23][emoji23][emoji23]
 
wanawake wana tabu sn, mm nmesoma shule ambazo walimu wakuu wake walikuw n wanawake yaan n tabu tupu.. wananchi wa Marekani walifanya maamuzi sahihi kabsa
Ndiyo mana tunaambiwa tuishi na hawa viumbe kwa akili
 
Back
Top Bottom