mwaomba lakini hamoati kwakuwa hamuombi kwa imaniInabidi tusali sana ili kuachilia nguvu za Mungu zitakazotufanya tukaone vitu ambavyo kwa uelewa wa kibinadamu hatuwezi kuviona. Itakuwa rahisi sana kwetu na tutakuwa kamwe hatupati hasara maishani mwetu manake wapo wanaotafuta na wanapata ila vile wanavyovipata kumbe havikuwa mpango wa Mungu wao kuvipata hvyo vinaishia kuwa vya muda tu na si vya kudumu!