LUS0MYA
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 862
- 1,097
Ukichukua sample ya madini yaliyokuwemo katika mchanga unaoshikiliwa..ukafanya sampling kama base..ukaangalia idadi ya makontena yaliyosafirishwa kwa miaka 17 huwezi kupata hii hesabu kweli?ukiona hizi fedha ni nyingi then unakubali kuwa nchi yetu ni maskini wa resources?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app